Kuzalia Marekani

Kuzalia Marekani

But it is the easiest thing in the World to love USA, every does love USA so its no big deal even to talk about it, because you sound childish!

Where did you learn your English, ma'am?
 
ukisoma kitabu cha RUTH kwenye BIBLIA, utaona jinsi gani watu tunavyo pigwa upofu na kuondoka katika nchi iliyobarikiwa na kukimbilia utumwani.....MWENYE ENZI MUNGU atuongoze milele yote

ruthu nchi aliyobarikiwa haikuwa yake alikuja na mkwe wake kwenye nch ya mkwe wake
 
Kwa kiasi kikubwa kuna hitirafu kubwa kwenye bongo za wa afrika wa miaka hii...sijui ni kitu gani kimetokea katika bongo zetu.....
Ukitazama historia utakuta wazungu walifanya kazi kufa na kupona na hata kuhatarisha maisha yao kwa ajili ya kuwaandalia kesho njema vizazi vyao....katika harakati hizo uatakuja kuona kuwa ni jinsi gani wazee wetu walivyopambana kufa na kupona kupigania mali zao japo kwa silaha zao duni....hata wale waliotekwa kama watumwa walijiua huko kwa kuwa hawakuamini kuishi kuwa kuna maisha ya furaha katika ardhi ya ugenini.....tumesoma katika historia kuhusu vita vya maji maji na wakina Mkwawa walivyopambana na wajerumani kwa ajili ya utu wao.....
Lakini miaka hii imekuwa ni ajabu sana yaani mpaka inafikia hatua mpaka Muafrika yupo tayari kuhatarisha maisha yake ili aende utumwani.....yaani siku hizi tunatumia nauli zetu wenyewe kujipeleka utumwani......tunajipeleka wenyewe kwenye kubaguliwa....tunajipeleka wenyewe kwenye kudharauliwa na kufananishwa na nyani.......hii ni laana na kusaliti juhudi za wazee wetu katika kupigania uhuru wetu....hata hivi vilivobakia ni matunda ya mapambano yao....

Ndugu zangu wa Afrika hata siku moja mzungu au mtu mweupe hawezi kuwa na nia njema na mtu mweusi...hiyo ipo hivyo mpaka mwisho wa dunia...hata huo upendo wanaotuonyesha ni wa kinafiki.......hata wale ndugu zetu mliopata kazi huko ughaibuni msipasahau kwenu....

Hao wazungu mnaowakimbilia kwenda kuwazalia huko na kuwapa uraia sijui makaratasi si kwamba wao ni wajinga sana la hasha bali wanajua wanachokitaka kwa kuwa systerm zao zimeshaandaliwa miaka mingi na hi ni kama utekelezaji tu.....

Chonde chonde ndugu changamoto hazikimbiwi bali zinatafutiwa ufumbuzi....hao mnaowakimbilia kwa kuwa kwao kuna neema ni baada ya wao kufanikiwa kupambana na changamoto zao na hatimaye kuwa kama mnavyoona leo....

MUNGU BARIKI AFRIKA...

Ninaungana mkono na wewe 100%. Ukitembelea miji mikubwa duniani miundo mbinu yao ilipangwa na kujengwa miaka takribani 100 iliyopita. Hii ni kwasababu viongozi wao wanauchungu na nchi yao, wanauzalendo, na wanafanya kazi kwa manufaa ya kizazi kilichopo na kijacho.

Wengi wa viongozi wetu ni wabinafsi, wanajifikira wao na familia zao. Kiongozi anafikiria ajilimbizie mali itakayo msaidia yaye, wanae na wajukuu zake. Bila kufiria kuwa wale masikini waliowazunguka wanae na wajukuu wanaweza kuwapora hizo mali.

Mfano ukiangalia swala la elimu; tangia awamu ya pili watoto wa wanasiasa walituacha kabisa kule St Kayumba, walisoma English Medium kwasababu elimu ya St Kayumba si nzuri kwao lakini ni nzuri kwa wapiga kura. Sasa hivi tunalalamika kazi zote nzuri zinachukuliwa na Wakenya, wakati wenzetu waliwekeza St Kayumba zote zilikuwa English Medium.
 
....for preggo Dr who maybe in need of this stuff? Clarification please!

Preggo..... For pain free labor. That's not our priority Kwa sasa we still miss essential drugs in hospital so that one itangoja sanaaaaaa
 
Ninaungana mkono na wewe 100%. Ukitembelea miji mikubwa duniani miundo mbinu yao ilipangwa na kujengwa miaka takribani 100 iliyopita. Hii ni kwasababu viongozi wao wanauchungu na nchi yao, wanauzalendo, na wanafanya kazi kwa manufaa ya kizazi kilichopo na kijacho.

Wengi wa viongozi wetu ni wabinafsi, wanajifikira wao na familia zao. Kiongozi anafikiria ajilimbizie mali itakayo msaidia yaye, wanae na wajukuu zake. Bila kufiria kuwa wale masikini waliowazunguka wanae na wajukuu wanaweza kuwapora hizo mali.

Mfano ukiangalia swala la elimu; tangia awamu ya pili watoto wa wanasiasa walituacha kabisa kule St Kayumba, walisoma English Medium kwasababu elimu ya St Kayumba si nzuri kwao lakini ni nzuri kwa wapiga kura. Sasa hivi tunalalamika kazi zote nzuri zinachukuliwa na Wakenya, wakati wenzetu waliwekeza St Kayumba zote zilikuwa English Medium.

Ukweli ambao wa Afrika hatuujui ni kuwa wazungu wamefikia hapo kimaendeleo baada ya kupambana kwa dhati na changamoto ambazo sisi tunazikimbia huku kwetu......lakini wao mpaka kesho wanapambana nazo....juzi hapa tumeshuhudia wananchi wa ufaransa wakiandama maelfu kwa maelfu wakiishinikiza serikali yao iwafanyie jambo fulani.....hawa ni wazalendo wanaojua thamani ya taifa lao hawazikimbii changamoto zao bali wanapambana nazo kwenye taifa lao......

Hakuna asiyejua kuwa nchi za kiafrika zina matatizo ya kiuongozi....watawala hawawajali watawaliwa..bali wanajijali wao....lakini hao viongozi hawajashushwa kutoka mawinguni bali tumewaweka sisi wenyewe madarakani kwa nia njema kabisa.......sasa kama tuliwaweka sisi wenyewe tunashindwaje kiwatoa kama wako nje ya matarajio yetu kiutendaji......uwezo wa kuwangoa tunao hata kama ikitughalimu damu zetu lakini wajukuu zetu wanatakiwa waikute kesho njema........

Hayo maisha bora huko ulaya tunakokimbilia chanzo chake ni rasilimali za huku barani afrika.....kuna makampuni kibao ya wazungu yanakwapua na kukwiba rasilimali zetu huku kwetu kwa mwamvuli wa uwezekezaji na kwenda kuneemesha kwao.......wakati sisi huku tupo tayari hata kuuza mali zetu ili tupate nauli ya kwenda utumwanai tena kwa nguvu zote....muda huo huo tunapishana na ndege zao killa uchao zikija kuangalia fursa katika ardhi zetu.......
Ndio maana mpaka leo haishangazi kukuta mzungu katoka kwao masikini lakini akishafika huku anakuwa tajiri wa kupindukia.......

Kitu ambacho wengi hawakijui ni kuwa maendeleo tunayoyaona huko ughaibuni na hali bora za maisha yanawezekana hata yakawa hapa kwetu......kama tu tutaaamua kutulia na kuzijenga nchi zetu na kukabiliana na changamoto zetu wenyewe.....maendeleo na maisha bora yana gharama zake na wakati mwingine vina gharimu uhai wa wachache kwa neema au manufaa ya walio wengi..........

Kila mtu anajua ni jinsi gani mzungu anavyomdharau mtu mweusi hata awe wa aina gani lakini ukitazama kati kati ya mstari ni kuwa mbaguzi wa kwanza ni mtu mweusi kwa kuwa yeye ubaguzi wake umepita kikomo kwani mpaka anajibagua yeye mwenyewe...na kujidharau kana kwamba yeye ni mnyama na sio binaadamu......ushahidi upo kwenye michango ya uzi huu jinsi gani wanavyoonyesha ufundi wa kuzitukana nchi zao bila ya hawa wala soni......nina hakika kama kuna mzungu anayefuatilia uzi huu lazima atakuwa anacheka kwa kejeli.....yaani anajisifia miundombinu na huduma bora za kijamii kwa nchi za wenzako...!!!??

Utu na thamani yako katika ulimwengu huu vinaanza na wewe mwenyewe.....wazungu wamefika hapo walipo kwa kuthamini vya kwao na kuviheshimu na kuvitunza kwa uzalendo wa hali ya juu sana.........

Maendeleo hayawezi kuja katika bara letu kwa kukimbilia kwenda kufanya kazi utumwani kwani kwenda kufanya kazi huko ni mnajenga uchumi na maisha ya huko utumwani.....haishangazi kuona kuwa kuna wazungu wanalipwa malipo ya kujikimu bila hata ya kufanya kazi kwa kuwa watumwa bado wapo na wanazalisha kodi kubwa kwa ujira mdogo sana........mpaka leo haishangazi kukuta nchi nyingi za ulaya kama sio zote wameweka kodi kubwa sana kwa wageni......lengo ni kuhakikisha hutoki na kitu nchini kwao huku jasho lako likijenga uchumi wao.......

Mahali pekee ambapo mwafrika anajisikia yupo nyumbani ni kwenye ardhi ya AFRIKA.......

HOME SWEET HOME.....
 
Sema tena mkuu. It's a great country.

But the USA if far greater.

USA baby.....

And I guarantee you...in just a few short months the eyes and ears of the world....the world's attention will be focused on the US presidential election and I predict, with full confidence, that even people who have never stepped their feet on US soil will have a candidate whom they want to win.

That's just how great America is. Everybody is always concerned about it. Everybody wants to act American because it's cool. Nowadays many folks even prefer to use American English to British English.....from the accent, spelling, vocabulary, even the date format.

USA baby.......
 
But the USA if far greater.

USA baby.....

And I guarantee you...in just a few short months the eyes and ears of the world....the world's attention will be focused on the US presidential election and I predict, with full confidence, that even people who have never stepped their feet on US soil will have a candidate whom they want to win.

That's just how great America is. Everybody is always concerned about it. Everybody wants to act American because it's cool. Nowadays many folks even prefer to use American English to British English.....from the accent, spelling, vocabulary, even the date format.

USA baby.......

Ha ha ha
Watu weshaanza kwenda kuzalia China siku hizi
 
But the USA if far greater...

That's just how great America is. Everybody is always concerned about it. Everybody wants to act American because it's cool. Nowadays many folks even prefer to use American English to British English.....from the accent, spelling, vocabulary, even the date format...


....talking about American English VS British English, for some reasons I find it funny every time I hear British kids speaking American English in their heavy British accent 🙂
 
Back
Top Bottom