Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,084
- 136,577
- Thread starter
- #121
Uwezo huo huna, wewe mwenyewe mtoto wa watu huko. Ungeweza usingekuja jf kulalamika kuwa mwanamke kakukimbia.
Njoo umejifunga kikoi tu.
Uwezo huo huna, wewe mwenyewe mtoto wa watu huko. Ungeweza usingekuja jf kulalamika kuwa mwanamke kakukimbia.
But it is the easiest thing in the World to love USA, every does love USA so its no big deal even to talk about it, because you sound childish!
Where did you learn your English, ma'am?
total truthAlafu watu hao hap baadae wanakuja na threads kuwa wazungu wanatubagua sana.....
ukisoma kitabu cha RUTH kwenye BIBLIA, utaona jinsi gani watu tunavyo pigwa upofu na kuondoka katika nchi iliyobarikiwa na kukimbilia utumwani.....MWENYE ENZI MUNGU atuongoze milele yote
ruthu nchi aliyobarikiwa haikuwa yake alikuja na mkwe wake kwenye nch ya mkwe wake
USA baby
It's awesome baby
Hivi wala vumbi wanajua hata epidural ni nini?
Hmmmmm! The reason behind Dr? Lack of epidural in our hospitals?
We have more important priorities than epidural boss
Kwa kiasi kikubwa kuna hitirafu kubwa kwenye bongo za wa afrika wa miaka hii...sijui ni kitu gani kimetokea katika bongo zetu.....
Ukitazama historia utakuta wazungu walifanya kazi kufa na kupona na hata kuhatarisha maisha yao kwa ajili ya kuwaandalia kesho njema vizazi vyao....katika harakati hizo uatakuja kuona kuwa ni jinsi gani wazee wetu walivyopambana kufa na kupona kupigania mali zao japo kwa silaha zao duni....hata wale waliotekwa kama watumwa walijiua huko kwa kuwa hawakuamini kuishi kuwa kuna maisha ya furaha katika ardhi ya ugenini.....tumesoma katika historia kuhusu vita vya maji maji na wakina Mkwawa walivyopambana na wajerumani kwa ajili ya utu wao.....
Lakini miaka hii imekuwa ni ajabu sana yaani mpaka inafikia hatua mpaka Muafrika yupo tayari kuhatarisha maisha yake ili aende utumwani.....yaani siku hizi tunatumia nauli zetu wenyewe kujipeleka utumwani......tunajipeleka wenyewe kwenye kubaguliwa....tunajipeleka wenyewe kwenye kudharauliwa na kufananishwa na nyani.......hii ni laana na kusaliti juhudi za wazee wetu katika kupigania uhuru wetu....hata hivi vilivobakia ni matunda ya mapambano yao....
Ndugu zangu wa Afrika hata siku moja mzungu au mtu mweupe hawezi kuwa na nia njema na mtu mweusi...hiyo ipo hivyo mpaka mwisho wa dunia...hata huo upendo wanaotuonyesha ni wa kinafiki.......hata wale ndugu zetu mliopata kazi huko ughaibuni msipasahau kwenu....
Hao wazungu mnaowakimbilia kwenda kuwazalia huko na kuwapa uraia sijui makaratasi si kwamba wao ni wajinga sana la hasha bali wanajua wanachokitaka kwa kuwa systerm zao zimeshaandaliwa miaka mingi na hi ni kama utekelezaji tu.....
Chonde chonde ndugu changamoto hazikimbiwi bali zinatafutiwa ufumbuzi....hao mnaowakimbilia kwa kuwa kwao kuna neema ni baada ya wao kufanikiwa kupambana na changamoto zao na hatimaye kuwa kama mnavyoona leo....
MUNGU BARIKI AFRIKA...
....for preggo Dr who maybe in need of this stuff? Clarification please!
Ninaungana mkono na wewe 100%. Ukitembelea miji mikubwa duniani miundo mbinu yao ilipangwa na kujengwa miaka takribani 100 iliyopita. Hii ni kwasababu viongozi wao wanauchungu na nchi yao, wanauzalendo, na wanafanya kazi kwa manufaa ya kizazi kilichopo na kijacho.
Wengi wa viongozi wetu ni wabinafsi, wanajifikira wao na familia zao. Kiongozi anafikiria ajilimbizie mali itakayo msaidia yaye, wanae na wajukuu zake. Bila kufiria kuwa wale masikini waliowazunguka wanae na wajukuu wanaweza kuwapora hizo mali.
Mfano ukiangalia swala la elimu; tangia awamu ya pili watoto wa wanasiasa walituacha kabisa kule St Kayumba, walisoma English Medium kwasababu elimu ya St Kayumba si nzuri kwao lakini ni nzuri kwa wapiga kura. Sasa hivi tunalalamika kazi zote nzuri zinachukuliwa na Wakenya, wakati wenzetu waliwekeza St Kayumba zote zilikuwa English Medium.
Sema tena mkuu. It's a great country.Nchi bora ni Finland. ......
Sema tena mkuu. It's a great country.
But the USA if far greater.
USA baby.....
And I guarantee you...in just a few short months the eyes and ears of the world....the world's attention will be focused on the US presidential election and I predict, with full confidence, that even people who have never stepped their feet on US soil will have a candidate whom they want to win.
That's just how great America is. Everybody is always concerned about it. Everybody wants to act American because it's cool. Nowadays many folks even prefer to use American English to British English.....from the accent, spelling, vocabulary, even the date format.
USA baby.......
Ha ha ha
Watu weshaanza kwenda kuzalia China siku hizi
But the USA if far greater...
That's just how great America is. Everybody is always concerned about it. Everybody wants to act American because it's cool. Nowadays many folks even prefer to use American English to British English.....from the accent, spelling, vocabulary, even the date format...