kui
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 6,467
- 6,494
Sasa mmeamua kumisiana naona
Valentina bwana mbona ulimwacha msukuma wako akawa mpweke?!
Sasa mmeamua kumisiana naona
Mpweke wakati upo naeValentina bwana mbona ulimwacha msukuma wako akawa mpweke?!
Valentina bwana mbona ulimwacha msukuma wako akawa mpweke?!
Mpweke wakati upo nae
ukisoma kitabu cha RUTH kwenye BIBLIA, utaona jinsi gani watu tunavyo pigwa upofu na kuondoka katika nchi iliyobarikiwa na kukimbilia utumwani.....MWENYE ENZI MUNGU atuongoze milele yote
Ila uzuri we ni chatu la maonyesho huna madhara kuiMie nilikuwa nampunga upepo maana pressure ilimpanda kwa kuku miss
Nchi bora ni Finland. ......USA ni nchi bora sana na ndo maana uliamua hivyo.
Kui girl....nani alikudanganya mi ni Msukuma wake?
Kuna katabia kamezuka miaka ya hivi karibuni kwa wanawake wajawazito Wakitanzania (na hata sehemu zingine za Afrika) wakifikia karibu na muda wa kujifungua wanaenda Marekani. Tena wengine utakuta wanatoka nchi za Ulaya kama Uingereza na kuja Marekani kuzalia. WTF?
Wanakaa hadi wanajifungulia huko. Wakishajifungua hao wanarudi zao huko walikotoka. Sielewi kwa nini wanafanya hivyo lakini sababu naijua. Nyinyi wadau mnalionaje hili? Ni jambo jema au ni jambo linaloendeleza ile dhana ya Miafrika na jinsi ilivyo....
Ila uzuri we ni chatu la maonyesho huna madhara kui
Wewe kweli punguani, unaliona hilo hivi karibuni? Mbona lipo miaka nenda miaka rudi. Labda ulimbukeni tu ulikufanya usilione hilo.
Sasa wtf is the issue here? Wewe ulienda kubeba boksi huko ukubwani haikuwa issue, wenzako waliona mbali siku nyingi wanaenda kuzalia huko kabla ya wewe kuzaliwa kwa kuwa umelijuwa hivi karibuni unaona imekuwa ni issue!
Hakika kwa watu kama wewe Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Njoo tufumue nywele mwaya,achana na huyo msukuma hana seraMa girl right here y'all!
U is right gurl, sina madhara mie!
Njoo tufumue nywele mwaya,achana na huyo msukuma hana sera
Ata ji jei jei.... Na leo atafute pa kwendaatukute aanze kujikuna kichwa.
Kuna katabia kamezuka miaka ya hivi karibuni kwa wanawake wajawazito Wakitanzania (na hata sehemu zingine za Afrika) wakifikia karibu na muda wa kujifungua wanaenda Marekani. Tena wengine utakuta wanatoka nchi za Ulaya kama Uingereza na kuja Marekani kuzalia. WTF?
Wanakaa hadi wanajifungulia huko. Wakishajifungua hao wanarudi zao huko walikotoka. Sielewi kwa nini wanafanya hivyo lakini sababu naijua. Nyinyi wadau mnalionaje hili? Ni jambo jema au ni jambo linaloendeleza ile dhana ya Miafrika na jinsi ilivyo....
Uwezo huo huna, wewe mwenyewe mtoto wa watu huko. Ungeweza usingekuja jf kulalamika kuwa mwanamke kakukimbia.Ajuza naona una hamu na mboli ya Kisukuma eeh?
Haya kaoge ujifukizie na udi halafu uje, sawa?
Kuna katabia kamezuka miaka ya hivi karibuni kwa wanawake wajawazito Wakitanzania (na hata sehemu zingine za Afrika) wakifikia karibu na muda wa kujifungua wanaenda Marekani. Tena wengine utakuta wanatoka nchi za Ulaya kama Uingereza na kuja Marekani kuzalia. WTF?
Wanakaa hadi wanajifungulia huko. Wakishajifungua hao wanarudi zao huko walikotoka. Sielewi kwa nini wanafanya hivyo lakini sababu naijua. Nyinyi wadau mnalionaje hili? Ni jambo jema au ni jambo linaloendeleza ile dhana ya Miafrika na jinsi ilivyo....
That's why I love the USA! Viva USA.