LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,121
- 27,128
Ni kama vile huwa wanaambiana au wanapeana semina.
Hii imenitokea mara nyingi mpaka nilipo anza kuchukua tahadhari. Hii inawahusu zaidi wanao toa kuanzia laki 2, 3 na kuendelea lakini pia hata wanao toa chini ya hapo inawahusu pia. Ni hivi ukienda kutoa hela kuanzia lets say laki 2 au 3 nakuendelea, lazima utamiksiwa kama sh elfu 20 hivi mpaka 30 ambazo ni mbovu.
Utakuja kustukia wakati unafanya manunuzi unatoa hela mbovu muuzaji anakwambi ni hela mbovu. So unabaki unajiuliza hii hela mbovu nimeitolea wapi bila majibu.
Kuna siku iliwahi kunitokea nimetoa kama laki nne na ushee naamka asubuhi nagundua kama sh. Elfu arobaini hivi ni mbovu. Siku hiyo nilikuwa na mishe town nikaenda town asubuhi nikarudi jioni nikamwambia mwenye kibanda anibadilishie hiyo 40 n.a. alibadilisha bila hata ku complain kwa sababu alikuwa anajua alicho kifanya.
Mimi nahisi huwa wananunuaga hela mbovu halafu wanawapiga watu mabomu kwa staili hiyo.
Ukienda kutoa hela kwenye kibanda cha huduma ya pesa kwa njia ya simu hakikisha unazihesabu na kuzihakiki kwanza usije kupigwa bomu.
Hii imenitokea mara nyingi mpaka nilipo anza kuchukua tahadhari. Hii inawahusu zaidi wanao toa kuanzia laki 2, 3 na kuendelea lakini pia hata wanao toa chini ya hapo inawahusu pia. Ni hivi ukienda kutoa hela kuanzia lets say laki 2 au 3 nakuendelea, lazima utamiksiwa kama sh elfu 20 hivi mpaka 30 ambazo ni mbovu.
Utakuja kustukia wakati unafanya manunuzi unatoa hela mbovu muuzaji anakwambi ni hela mbovu. So unabaki unajiuliza hii hela mbovu nimeitolea wapi bila majibu.
Kuna siku iliwahi kunitokea nimetoa kama laki nne na ushee naamka asubuhi nagundua kama sh. Elfu arobaini hivi ni mbovu. Siku hiyo nilikuwa na mishe town nikaenda town asubuhi nikarudi jioni nikamwambia mwenye kibanda anibadilishie hiyo 40 n.a. alibadilisha bila hata ku complain kwa sababu alikuwa anajua alicho kifanya.
Mimi nahisi huwa wananunuaga hela mbovu halafu wanawapiga watu mabomu kwa staili hiyo.
Ukienda kutoa hela kwenye kibanda cha huduma ya pesa kwa njia ya simu hakikisha unazihesabu na kuzihakiki kwanza usije kupigwa bomu.