buswagg
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,028
- 1,864
Ukubwani huku my introvency naona ndo inazidi
Mimi ni maua, pets , kupika na social media
Naweza kumaliza likizo ya siku 28 nikiwa nimetoka nje mara 4 tu, nazo ni kanisani paap(napo nitatafuta kona nitakayokaa mostly mwenyewe.
Sipendi kwenda harusini wala kwenye watu wengi popote.
Nikifika vituoni, sokoni kuna namna nasikia kubanwa pumzi.
The only place ninajiona niko happy, full and peace ni nyumbani kwangu.
Inanipa peace ya kutizama mimea yangu, wanyama ninaofuga, nachora sometimes, nafuma occasionally yani kwa ujumla mimi najiona kabisa Ulimwengu unajikamilisha ndani ya nyumba.
Kipindi cha working from home was my best working moment.
Watu tuongee ila muwe huko huko mliko like this, sending email, kuchat(sipendi pia simu , iwe kupiga na kupigiwa)
Sipendi video calls(kama wewe sio mwenzi wangu usinipigie video call, sitaki kukuona sitaki unione while talking, just send a text nitakujibu, maana sipendi hata mlio wa simu. Hata yeye anajua sipendi video calls, na simu ni vile tu ndiyo mawasiliano.
Ninaweza kuwasiliana kwa maandishi zaidi(nina uwezo wa kuchat hata na watu 10 kwa muda mmoja na hakuna atakayefeel siko makini nae!)
Weird i know, but with my age sijioni nikibadilika.
Sina opportunity yoyote ninakosa, links zangu zinajikamilisha kunifanya niishi , as sina tu ndoto ya utajiri, ninataka tu kumudu maisha yangu binafsi na ya familia, which nimeweza hizo zingine sioni ni my cup if tea.

