Kuwa introvert ni tabu sana!

Kuwa introvert ni tabu sana!

Nimeshindwa kuvumilia maana ni kama koteee unanisema mimi😂😂😂😂hii situation uliyoisema hapa ilinitokea mimi kuna siku niko mtaa fulani mbali kidogo na nyumbani na rafiki yangu yaani tulikuwa tunapiga story basi nacheka namsimulia mfano kwa vitendo akapita mpangaji wa nyumbani akanikuta katikati ya ule mfano akasimama akaniambia ni wewe huyu kweli,mpaka akaenda kuwasimulia wenzake home sababu waliwahi muuliza mama yangu hivi mwanao anaongea kweli.Comments nyingine nimeambiwa na ndugu zangu wa karibu kaabisaaa

Tatizo mwanangu wewe ni msiri sana(mom)

Ataolewa na nani wakati kutwa anashinda ndani ataonwa na nani sasa😂😂(Aunt)

Ukitaka Queen akusindikize safari ya wiki moja mbele hakikisha umemwambia mwezi mmoja nyuma(Friend)

Hapo kwenye kutunza siri ndio usiseme mimi jamani kitu ulichiniambia cha siri simwambii mtu yoyote unless nisikie na kupata ushahidi unaninafikia kwa watu limit ya kutunza ndio itaishia hapo.Kwenye videos za kumbukumbu za matukio yangu muhimu sipendi hata kuziangalia sababu naonekana kabisa sipo comfortable kurekodiwa videos naona kama attention inakuja kwangu nawaza kwenye send off na harusi sijui itakuaje🙌🏼
My first heartbreak niliipata chuo mwezi mzima moyo unaniuma nalia mpaka homa ila hata marafiki zangu tuliokaa hostel moja hamna aliyejua mpaka namaliza walijua bado nipo na yule mwanaume
Nimalize na kusema huu uzi umenigusa vya kutosha
karibu wachache ndo wanaweza kuelewa...
 
Introvert????? Needing the internet to stay alone does not mean you are introvert . It means ur hooked and dopamine addicted

Watu mnachanganya being introverted with alot of solvable issues like low selfesteem and social anxiety

An introvert can live without the need to communicate virtually they usually have other hobbies watanzania hatuwez labda watu wa vijijin huko
sema wewe huwezi my dear!
I for one, niko na shughuli kibao za kufanya mwneywe bila uhitaji wa communication virtually.
Na nina bundle unlimited mwezi mzima hata sililipii kwanza kwamba nione linaisha na linaishi nikiwa sijamaliza.
 
Kuna jamaa humu anajiita extrovert id yake...
Enewei....sifa za introvert n hz hapa chini
1. N waoga
2. N wapole sana
3. Ni wasiri sana
4. Wana aibu mbele za watu
5. Domo zege [Nice guys]
6. Wanapenda chats kuliko calls
7. Wanapenda long distance comm. Kuliko live comm.
8. Wakishazoeana na mtu wanakuwa waongeaji hatari
9. Hawapendi shali, wanapenda amani
10. Dini na malezi/makuzi zmechangia sana wao kuwa hvo. Darasani wako vvzr sana. N wabunifu.
Source: from my own experience!
KUANZIA 3 ni sawa kabisa, kwenye uoga sio kweli. Most of us tuko so calucating! So mara nyingi hii huchukuliwa ni uaoga, wakati we unafikiria kupambana sisi tunawaza hivi nisipopambana si yatakuwa yameisha na sitapayuka sauti na sitaleta watu wengi waje, kwani nikimuachia itakuwaje?
 
Kuna jamaa humu anajiita extrovert id yake...
Enewei....sifa za introvert n hz hapa chini
1. N waoga
2. N wapole sana
3. Ni wasiri sana
4. Wana aibu mbele za watu
5. Domo zege [Nice guys]
6. Wanapenda chats kuliko calls
7. Wanapenda long distance comm. Kuliko live comm.
8. Wakishazoeana na mtu wanakuwa waongeaji hatari
9. Hawapendi shali, wanapenda amani
10. Dini na malezi/makuzi zmechangia sana wao kuwa hvo. Darasani wako vvzr sana. N wabunifu.
Source: from my own experience!
Wewe kweli ni Mzoefu sifa nyingi ulizoorodhesha wanazo
 
Unaweza kushinda ndani kama jini nani sijui!, Halafu ukitoka nje dakika mbili tu unatamani tena kurudi ndani.. mbaya mbovu introvert tunaujinga huu.

Naweza nikawa nataka kutoka na wewe umekaa sehemu nayotaka kupita naweza nikasubiri mpaka utoke ndo namimi nipite!, mitabia myengine sijui ya wapi tu!..

Huku mitandaoni tumejazana maana ndo sehemu tunaweza hata kumtishia mtu kumdunda!, ila huku ana kwa ana hata kutukana tu ni kasheshe!.

Ndo viumbe pekee vinakaa mji fulani ila vinajua mitaa michache sana maana kutembeatembea sio pendeleo sana kwao!.

Mzazi mwenye mtoto wa aina hii usimsokote sana mwanao kumlazimisha achanganyikane na watu!, wakati wake ukifika atachanganyika na atachagua wakuchanganyika nao!.

Pili mfatilie ila usimfatilie sana mpaka ukaziba uhuru wake ambao ni amani yake!, utamkosesha kujiamini hata akiwa peke yako atakuwa anaona kama unamuangalia 24/7.
Usiruhusu mtu mwengine ambae hazijui hulka za mwanao amsumbue hovyohovyo bila sababu za msingi.

Jua vitu anavyovipenda ukiweza mpatie kadri uwezavyo kwa vipimo vya wastani, usimzidishie.
Introvert wengi wana hulka ya uoga na akikuwa hiyo hulka ikakomaa ndo inamvaa na kumsababishia "anxiety".

Hivyo hakikisha akiwa bado mdogo mpe kazi ambazo zitaongeza ujasiri wake, sanasana hakikisha anakuwa anafanya zile kazi ngumu kiasi na pia uwe unampa maneno ya kumtia moyo ya kwamba anaweza!. jitahidi kumsoma hali zake maana ni mabingwa wa kuficha!, hivi ndo viumbe vinaweza kutunza siri mpaka kufa!.

Mwisho kuwa makini na namna unavyoenenda nae maana anaweza akawa anakushinda hata utafakari!, usimtake ajielezee sana bali kama ni kitu cha kufanya muache afanye!, maana huwa si wazuri sana kwenye kujieleza ila kutenda wapo smart sana!.
Nawapenda watu wa hivi, wakitaka kukaa ndani nakaa nao tunajifungia hadi raha wenyewe, comment yangu isiguswe nina kazi za kufanya sitaki makwazo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom