Kuwa introvert ni tabu sana!

Kuwa introvert ni tabu sana!

Huyu ni mm asilimia 100 na tuna akili balaa mno halaf we overthink na mara nying tunavoviwaza muda mrefu huwa vya kweli sana...hata kuongea sana na simu hatupend unaweza kupiga simu nikaiangalia nisipokee na txt nisijib nikajib afta wiki moja 🤣🤣
Unaweza kushinda ndani kama jini nani sijui!, Halafu ukitoka nje dakika mbili tu unatamani tena kurudi ndani.. mbaya mbovu introvert tunaujinga huu.
Naweza nikawa nataka kutoka na wewe umekaa sehemu nayotaka kupita naweza nikasubiri mpaka utoke ndo namimi nipite!, mitabia myengine sijui ya wapi tu!..

Huku mitandaoni tumejazana maana ndo sehemu tunaweza hata kumtishia mtu kumdunda!, ila huku ana kwa ana hata kutukana tu ni kasheshe!.
Ndo viumbe pekee vinakaa mji fulani ila vinajua mitaa michache sana maana kutembeatembea sio pendeleo sana kwao!.

Mzazi mwenye mtoto wa aina hii usimsokote sana mwanao kumlazimisha achanganyikane na watu!, wakati wake ukifika atachanganyika na atachagua wakuchanganyika nao!.
pili mfatilie ila usimfatilie sana mpaka ukaziba uhuru wake ambao ni amani yake!, utamkosesha kujiamini hata akiwa peke yako atakuwa anaona kama unamuangalia 24/7.
Usiruhusu mtu mwengine ambae hazijui hulka za mwanao amsumbue hovyohovyo bila sababu za msingi.

Jua vitu anavyovipenda ukiweza mpatie kadri uwezavyo kwa vipimo vya wastani, usimzidishie.
Introvert wengi wana hulka ya uoga na akikuwa hiyo hulka ikakomaa ndo inamvaa na kumsababishia "anxiety".

Hivyo hakikisha akiwa bado mdogo mpe kazi ambazo zitaongeza ujasiri wake, sanasana hakikisha anakuwa anafanya zile kazi ngumu kiasi na pia uwe unampa maneno ya kumtia moyo ya kwamba anaweza!. jitahidi kumsoma hali zake maana ni mabingwa wa kuficha!, hivi ndo viumbe vinaweza kutunza siri mpaka kufa!.

Mwisho kuwa makini na namna unavyoenenda nae maana anaweza akawa anakushinda hata utafakari!, usimtake ajielezee sana bali kama ni kitu cha kufanya muache afanye!, maana huwa si wazuri sana kwenye kujieleza ila kutenda wapo smart sana!.
 
Inawezekana na mm niko
Nyongeza..
Kwenye mapenzi hivi viumbe usiwe na haraka navyo, mzazi usimtake mtoto wako mwenye hulka ya introvert akurupukie mapenzi!, tena zaidi zaidi hawa "melancholic!", Ni waoga, madomo zege! unaweza hata ukafikiria hatakuja kutongoza lakini elewa huyu anaweza kufanya kitu na usijue!.
Sasa kwenye mapenzi hawa hawanaga papara maana wana aibu!, huwachukua muda sana hata kuja kupata ujasiri wa kutongoza!.
na najua baadhi ya wazazi huanza kupata mashaka kuwa labda mwanae hayupo sawa ktk namna moja ama nyengine!, ni sawa maana wasiwasi ni akili.
zingatia zaidi kwenye kuimarisha ujasiri wake kuna baadhi ya hulka zikipungua itakuwa ni afadhari sana kwake!.

Introvert wenzangu someni hii..
Muda mwengine jichanganye na watu piga nao stori hata mbili tatu ni tiba na inachangamsha ila tu endelea kuziheshimu hulka zako ila zisiwe sehemu ya kukutesa!.

pili kama mtu hawezi kukuelewa usimlazimishe na usijisumbue kuutumia muda wako kumuelewesha kama haelewi!.
muda mwengine vaa ujasiri kama kitu hujapenda sema usikae kimya tu, maana ukimya unatutesa na kurundika vitu ndo huko kujuwekea ma depression na anxiety za ajabu ajabu!.
Najua tuna dark side!, huko sitoi siri ya kambi...😎
Pia jaribuni vitu vya hatari katika hali ya usalama sio unakakaa ki boya haswa kwasisi wakiume!. muda mwengine mtu akileta za kuleta nawe mletee, hiyo inaleta heshima kwa baadhi ya wale wanaokuona mpole na kuitumia hiyo nafasi kama advantage!.
Inawezekana na Mimi ni Semi-Intro ngoja nijichungulie make na enjoy zaidi nikiwa peke yangu japo nafasi hiyo naipataga kwa nadra sana
 
Huyu ni mm asilimia 100 na tuna akili balaa mno halaf we overthink na mara nying tunavoviwaza muda mrefu huwa vya kweli sana...hata kuongea sana na simu hatupend unaweza kupiga simu nikaiangalia nisipokee na txt nisijib nikajib afta wiki moja 🤣🤣
Mwisho wa kulerax na simu ni 2 minutes ukizidisha nakukatia pia sipendi mzunguko....nenda Moja kwa Moja kwenye mada
 
Mimi nilikuwa nikitoka home naulizwa na watu umerudi lini
Mimi nilikua na uwezo wa kua mpole mpaka walimu walinisamehe kua Mimi si stahili kupewa adhabu..

Na sura ya upole Sana na nilisha samehewa Sanaa Sana na walimu wakali balaa..

Tukio la udogo nalo kumbuka nikiwa shule za awali ILI WAI KUPELEKWA TAARIFA KUA MIMI SICHANGAMKI PIA SICHEZI NA WENZANGU..

NILISHANGAA SANA NILIPO PEWA ILE TAARIFA KUTO KUPENDA UTUNDU NA FUJO ZA WATOTO WENGINE NIKAAMBIWA SICHANGAMKI NA SICHEZI NA WENZANGU.
 
Me, myself and

Me, myself and I
Screenshot_20250325_192132_Audiomack.jpg

Naam!
 
Unaweza kushinda ndani kama jini nani sijui!, Halafu ukitoka nje dakika mbili tu unatamani tena kurudi ndani.. mbaya mbovu introvert tunaujinga huu.
Naweza nikawa nataka kutoka na wewe umekaa sehemu nayotaka kupita naweza nikasubiri mpaka utoke ndo namimi nipite!, mitabia myengine sijui ya wapi tu!..

Huku mitandaoni tumejazana maana ndo sehemu tunaweza hata kumtishia mtu kumdunda!, ila huku ana kwa ana hata kutukana tu ni kasheshe!.
Ndo viumbe pekee vinakaa mji fulani ila vinajua mitaa michache sana maana kutembeatembea sio pendeleo sana kwao!.

Mzazi mwenye mtoto wa aina hii usimsokote sana mwanao kumlazimisha achanganyikane na watu!, wakati wake ukifika atachanganyika na atachagua wakuchanganyika nao!.
pili mfatilie ila usimfatilie sana mpaka ukaziba uhuru wake ambao ni amani yake!, utamkosesha kujiamini hata akiwa peke yako atakuwa anaona kama unamuangalia 24/7.
Usiruhusu mtu mwengine ambae hazijui hulka za mwanao amsumbue hovyohovyo bila sababu za msingi.

Jua vitu anavyovipenda ukiweza mpatie kadri uwezavyo kwa vipimo vya wastani, usimzidishie.
Introvert wengi wana hulka ya uoga na akikuwa hiyo hulka ikakomaa ndo inamvaa na kumsababishia "anxiety".

Hivyo hakikisha akiwa bado mdogo mpe kazi ambazo zitaongeza ujasiri wake, sanasana hakikisha anakuwa anafanya zile kazi ngumu kiasi na pia uwe unampa maneno ya kumtia moyo ya kwamba anaweza!. jitahidi kumsoma hali zake maana ni mabingwa wa kuficha!, hivi ndo viumbe vinaweza kutunza siri mpaka kufa!.

Mwisho kuwa makini na namna unavyoenenda nae maana anaweza akawa anakushinda hata utafakari!, usimtake ajielezee sana bali kama ni kitu cha kufanya muache afanye!, maana huwa si wazuri sana kwenye kujieleza ila kutenda wapo smart sana!.
JF kila mtu ni Introvert
 
Unaweza kushinda ndani kama jini nani sijui!, Halafu ukitoka nje dakika mbili tu unatamani tena kurudi ndani.. mbaya mbovu introvert tunaujinga huu.
Naweza nikawa nataka kutoka na wewe umekaa sehemu nayotaka kupita naweza nikasubiri mpaka utoke ndo namimi nipite!, mitabia myengine sijui ya wapi tu!..

Huku mitandaoni tumejazana maana ndo sehemu tunaweza hata kumtishia mtu kumdunda!, ila huku ana kwa ana hata kutukana tu ni kasheshe!.
Ndo viumbe pekee vinakaa mji fulani ila vinajua mitaa michache sana maana kutembeatembea sio pendeleo sana kwao!.

Mzazi mwenye mtoto wa aina hii usimsokote sana mwanao kumlazimisha achanganyikane na watu!, wakati wake ukifika atachanganyika na atachagua wakuchanganyika nao!.
pili mfatilie ila usimfatilie sana mpaka ukaziba uhuru wake ambao ni amani yake!, utamkosesha kujiamini hata akiwa peke yako atakuwa anaona kama unamuangalia 24/7.
Usiruhusu mtu mwengine ambae hazijui hulka za mwanao amsumbue hovyohovyo bila sababu za msingi.

Jua vitu anavyovipenda ukiweza mpatie kadri uwezavyo kwa vipimo vya wastani, usimzidishie.
Introvert wengi wana hulka ya uoga na akikuwa hiyo hulka ikakomaa ndo inamvaa na kumsababishia "anxiety".

Hivyo hakikisha akiwa bado mdogo mpe kazi ambazo zitaongeza ujasiri wake, sanasana hakikisha anakuwa anafanya zile kazi ngumu kiasi na pia uwe unampa maneno ya kumtia moyo ya kwamba anaweza!. jitahidi kumsoma hali zake maana ni mabingwa wa kuficha!, hivi ndo viumbe vinaweza kutunza siri mpaka kufa!.

Mwisho kuwa makini na namna unavyoenenda nae maana anaweza akawa anakushinda hata utafakari!, usimtake ajielezee sana bali kama ni kitu cha kufanya muache afanye!, maana huwa si wazuri sana kwenye kujieleza ila kutenda wapo smart sana!.
tupo hapa ni kweli mitandaoni tumechangamka ila mtaani ni kama hatupo,mm nilishangaa kuna watu mtaani huwa tunaonana na mda mwingine kuna kijiwe tunakutanaga na kuongea kwa zaidi ya mwaka ila siku walipoambiwa mimi natokea familia fulani pale mtaani walikataa,kwanza kila siku nikija hapo kijiweni sitokei hiyo njia ya nyumbani natokea upande mwingine kwahiyo wakajua nakaa nyumba za huo upande naotokeaga zaidi ya mwaka tangu tujuane,wakati hapo kijiweni na nyumbani kwetu unapita nyumba 3 tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom