Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,306
- 96,384
i mean no malice to nobodyUnaweza kumuudhi na asikwambie 😊 siku akikasirika to the maximum ndipo utamjua her true color
i mean no malice to nobodyUnaweza kumuudhi na asikwambie 😊 siku akikasirika to the maximum ndipo utamjua her true color
Umejuaje sasa? Yaan ni humo humo.Ni introvert na ndio maana unachachuka mbele ya unaowajua!, huwezi kufanya hivyo kwa ambao hujawazoea!.
umaweza kucharuka mpk akija ambae hajakuzoea anamvuta rafiki yako pembeni anamuuliza "Mh! huyu ndo fulani..?"🤣
Aliyegundua tungi nina wasiwasi naye alikuwa introvert sio bure, nina mshkaji wangu hiyo hali inamtesa mpaka leo, hawezi ingia ofisini kwake kabla hajazimuaUkitumia pombe kidogo kidogo inasaidia kuondoa na kutibu na ku unlock 🔓 hizo codes za kua introvert hatare Sanaa.
Una hoja, usikilizwe 😂😂😂😂Wewe utakua upo kwenye transition period from introvert to extrovert 😊
Woyooooh!!nimejuaje wakati ni walewale!
Tena watu wasikuonee....Mimi hawajuagi hata Kama huwa na boost Mara moja moja..Mimi mpaka Leo napata kigugumizi kuingia sehemu Kama bar,guest n.klakini kwenda hata kuifata hiyo pombe unaona aibu kinyama...🤣
Huo ndio UKWERIIIII in JPM voice🤣Una hoja, usikilizwe 😂😂😂😂
Huyo noma Sanaa.Aliyegundua tungi nina wasiwasi naye alikuwa introvert sio bure, nina mshkaji wangu hiyo hali inamtesa mpaka leo, hawezi ingia ofisini kwake kabla hajazimua
Ukiona huwezi kukaa siti za mbele kanisani😊 ama safu ya mbele msikitini..
Au kuwa wa kwanza kupiga paper two kwenye misosi kwenye tafrija au sherehe..
Wengine hawawezi kukaa siti za mbele shuleni ama chuoni..usitufiche wewe ni introvert
Nakubalii, 😂😂😂😂Huo ndio UKWERIIIII in JPM voice🤣
Ok hapo sawaMuoga ni mtiifu, mpole ni muongeaji, mkimya ni mkali haswaa, msiri ndiyo mimi sasa
Hapo sawaaHapana darsani mpk chuo nimekaa siti za mbele, kanisani labda nyuma kujae ila napenda kukaa siti ya pili kutoka mwisho,
Msosi nikiamua kurudia narudia,
Kuomba maji naomba Ila naangalia mazingira km yanaruhusu
Yaani kama ulizama hapo basi ukitoa mguu kidogo utakua na traits za Ambivert naona wanaopata kazi ni extrovert kuwa introvert labda machawa wa naniii........Pia Mimi nimeweza kuacha japo kwa Sasa nipo kwenye both introvert & extrovert kiasi.
Hawa ni Agrovert kabisa.Kweli kabisa wagonjwa wa matatizo ya akili Hawa hawana lolote, halafu wanaya entertain, sijui napenda kukaa peke yangu, sijui mkimya, , badala ya kuwahi Mirembe, kama kuna mmoja anasema zamani alikua introvert ila sasa hivi sijui vikaenda vikarudi, Kelele tupu.
Ni sahihi sanaaYaani kama ulizama hapo basi ukitoa mguu kidogo utakua na traits za Ambivert naona wanaopata kazi ni extrovert kuwa introvert labda machawa wa naniii........