Kuvaa vibaya na ukimwi

Kuvaa vibaya na ukimwi

Mzee nilipima mara ya kwanza niliogopa Sana ,kilichosababisha kupima nilikuwa nakohoa mke anakohoa na watoto Wawil wanakohoa na afya zao mgogoro hatari, Kwa kweli nilipata ujasiri wa kupima ili kama ni kweli nitibu wanangu na nijilaumu Kwa kuwaletea magonjwa,Nilijipima tu daktari akasema mimi safi mke safi na watoto safi, nikawapa watoto dawa ya minyoo na vitamin D&C hali yao ikabadilika na wako chuo Sasa wanapiga kitabu
 
Wakuu habar zenu, ngja niende direct kwa Topic.Wakuu mimi kila nikiplan kupima UKIMWI huwa naishiwa kabisa nguvu ya kwenda kupima inshort siwez kwenda kupima. Ila sasa kuna watu huwa wanakwenda kupima kwa moyo mweupe hapa ndo najiuliza huu ujasir wanautoa wapi?? Binafsi nmeshindwa kabisaa nyie mnaoenda kwa hiari yenu mtupe mbinu bhasi mnazotumia ili na sisi wengine humu Jf tukapime UKIMWI....
Siku unajikaza tu unaenda kupima, baada ya kupata uhakika wa afya yako sasa kabla hujakutana na mtu mnapima afya maana utakua unajiamin n itakuepusha kupata maambukizi.
 
Wakuu habar zenu, ngja niende direct kwa Topic.Wakuu mimi kila nikiplan kupima UKIMWI huwa naishiwa kabisa nguvu ya kwenda kupima inshort siwez kwenda kupima. Ila sasa kuna watu huwa wanakwenda kupima kwa moyo mweupe hapa ndo najiuliza huu ujasir wanautoa wapi?? Binafsi nmeshindwa kabisaa nyie mnaoenda kwa hiari yenu mtupe mbinu bhasi mnazotumia ili na sisi wengine humu Jf tukapime UKIMWI....
ukiwa unajiamini unapima bila wasiwasi
bila hivyo jiunge kwanza kwenye kamati ya maamuzi magumu.
 
Nimekua msomaji mzuri tuu wa JF, lakn siku mbili hizi kumekua na threads kibao zinazoongelea kuhusu members wa hapa kuungana kwenye grid ya taifa "kupeana miwaya" kwa makusudi.

hivi ni kweli?? Maana naona wake kwa waume wanaweka hadi picha zao zinazoonyesha majibu ya vipimo kua wako salama! bora sikua na wazo LA kuwa na mwanamke katika mtandao huu, wote walioungwa na grid ya taifa nawapa pole sana ndio wajifunze kua mitandaoni kumeoza.

MUNGU AZILAZE ROHO ZAO MAHALA PEMA PEPONI HUKO WATAKAPOENDA
 
Moderator edit CHAMSHA ni CHANGAMSHA
Moderator afute siyo kusahihisha huu uzi auna maana ni wakutia watu hofu kama umeungwa utajijua wewe na shetani wako kila siku tunasema kaa njia moja kwa nini uchepuke??ukishindwa kondomu sasa vyote umefeli unakuj akulialia hapa tukusaidieje nyuma ya keybord Moderator futa huu uzi.
 
Moderator afute siyo kusahihisha huu uzi auna maana ni wakutia watu hofu kama umeungwa utajijua wewe na shetani wako kila siku tunasema kaa njia moja kwa nini uchepuke??ukishindwa kondomu sasa vyote umefeli unakuj akulialia hapa tukusaidieje nyuma ya keybord Moderator futa huu uzi.
Mimi sijaungwa ndio maana nacheka nasina mwanamke hapa
 
mleta uzi una utan na watu wa tanesco??
anyway ngoja waje watakujb
 
Unaweza ukawa hautumii umeme wa TANESCO ila home unatumia SOLAR

kikubwa mwanga na wote mnaupata tofauti ni source ya mwanga imetoka wapi.
 
Back
Top Bottom