Heisenberg blue meth
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,310
- 1,633
Ile ni ID yake mpya, ya zamani ni ipi?Dada mzuri hivi utamwachaje?
@Priscilla
Ile ni ID yake mpya, ya zamani ni ipi?Dada mzuri hivi utamwachaje?
@Priscilla
message sentNimekua msomaji mzuri tuu wa JF, lakn siku mbili hizi kumekua na threads kibao zinazoongelea kuhusu members wa hapa kuungana kwenye grid ya taifa "kupeana miwaya" kwa makusudi.
hivi ni kweli?? Maana naona wake kwa waume wanaweka hadi picha zao zinazoonyesha majibu ya vipimo kua wako salama!
bora sikua na wazo LA kuwa na mwanamke katika mtandao huu, wote walioungwa na grid ya taifa nawapa pole sana ndio wajifunze kua mitandaoni kumeoza.
MUNGU AZILAZE ROHO ZAO MAHALA PEMA PEPONI HUKO WATAKAPOENDA![]()
Ni kweli wanaungana kwenye umeme wa REA?message sent
Kanitag bathii ushiiii lol😂Mkuu, misitaki kusutwa kabisa aiseeee...
Kuna wapenzi pia ambao ni member wenzetu, jana ilibidi tuka wasuluhishe. Maana mmoja alikuwa anamtuhumu mwenzake kwamba jina lake lilitajwa kwenye ule uzi wa kukulana kimaskhara....teh![]()
Kweli kabisa mkuu .ukiona umetoboa 35 huna ngoma jua hulogeki ***** nimekituliza mazima .Hupati UKIMWI mpaka ulogwe - Bujibuji
Mkuu, mbona wana julikana...??Kanitag bathii ushiiii lol![]()
Ile ni ID yake mpya, ya zamani ni ipi?
Macho yangu mazito mimi leo😫kila nikiangaza holaaMkuu, mbona wana julikana...??
Ukichangamsha macho kidogo tu, utaiona mingukano yao kwambaaaali. Maana nikama wameshindwa kuwa wavumilivu nje ya humu...
Kwani wamitandaoni wakiingia mtaani wameandikwa huyu ni wamtandaoni kweli wewe ukapimwe akili,Sina tabia ya kutembea na wanawake was mtandaoni
Wewe ni boya kweli, sasa wanawake wa mtaani unaojua historia yao unafananisha na hawa wa mtandaoni ambae hujui hata historia yake, huna unachojua chochote kuhusu yeye??? Kweli wewe ni 0 brainKwani wamitandaoni wakiingia mtaani wameandikwa huyu ni wamtandaoni kweli wewe ukapimwe akili,