Kuvaa vibaya na ukimwi

Kuvaa vibaya na ukimwi

Nimekua msomaji mzuri tuu wa JF, lakn siku mbili hizi kumekua na threads kibao zinazoongelea kuhusu members wa hapa kuungana kwenye grid ya taifa "kupeana miwaya" kwa makusudi.

hivi ni kweli?? Maana naona wake kwa waume wanaweka hadi picha zao zinazoonyesha majibu ya vipimo kua wako salama! bora sikua na wazo LA kuwa na mwanamke katika mtandao huu, wote walioungwa na grid ya taifa nawapa pole sana ndio wajifunze kua mitandaoni kumeoza.

MUNGU AZILAZE ROHO ZAO MAHALA PEMA PEPONI HUKO WATAKAPOENDA
message sent
 
Mkuu, misitaki kusutwa kabisa aiseeee...
Kuna wapenzi pia ambao ni member wenzetu, jana ilibidi tuka wasuluhishe. Maana mmoja alikuwa anamtuhumu mwenzake kwamba jina lake lilitajwa kwenye ule uzi wa kukulana kimaskhara....teh
Kanitag bathii ushiiii lol😂
 
Ni vzr kujua afya yko kama unajijua unapenda kula tunda kimasihara usiende kupima utakufa kabla ya siku zako.
 
natamani sana kupima lakini ujasiri uo sina kabisa, siku nikiweza nitafurahi sana na ntakua makini na afya yangu nikikuta mzima
 
In Loving memory of Zai, Rey, Justine, Lily, Rafael (ulikua rafiki halisi, sitasahau siku ile uliponiita na kunishika mkono na kunieleza, Elli jikinge, nakufa kwa AIDS! Mdomo wako ulikua umejaa vidonda, ulishindwa kula na kinywa chako kilijaa harufu mbaya), Nakukumbuka pia Dada na Rafiki yangu Vero, sikuamini kwamba siku ile ingekua mwisho wa kuonana na wewe Dada yetu, mchana ule ulinituma nikamuite Muinjilisti Gaddy! Nilikuja nae, tukasali pamoja, ukatubu! Kisha kesho yake ukapumzika kwa amani.

Sitakusahau classmate wangu Pili, uliondoka ukiwa mdogo! Hukufaidi hata matunda ya kusoma kwako! Ulianza matibabu na mshahara wako wa kwanza!

Kaka yangu Chris, mara ya mwisho nilikupeleka Ocean Road Hospital, kwakua kinga zako zilikua chini sana walishindwa kuendelea na mionzi, on that morning ya January 2013 nilifika Ocean Road kukuona, nikakuta kitanda kitupu! Maumivu yake hayaelezeki

Kwako Aunt G, pumzika! Hakika ulipigana Vita vigumu! Mapele, majipu, mkanda wa jeshi na kuchanganyikiwa yote haya yaligeuka kuwa sehemu ya maisha yako! Sitasahau simu ya Kaka Gasper siku ile Jumatano SAA tano asubuhi, Elli, Aunt G amepumzika daima! Dah

Vijana wangu AIDS is real
 
Kwani wamitandaoni wakiingia mtaani wameandikwa huyu ni wamtandaoni kweli wewe ukapimwe akili,
Wewe ni boya kweli, sasa wanawake wa mtaani unaojua historia yao unafananisha na hawa wa mtandaoni ambae hujui hata historia yake, huna unachojua chochote kuhusu yeye??? Kweli wewe ni 0 brain
 
Back
Top Bottom