Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Dada mzuri hivi utamwachaje?
@Priscilla
@Priscilla
Tulia wewe,ukimwi ni kama mafua tu
Tulia wewe,ukimwi ni kama mafua tu
Kama mtu umeshakutana na wanawake kibao lazima uwe na hofu hata kama hukucheza rafu..
ukiwa unajiamini unapima bila wasiwasi
bila hivyo jiunge kwanza kwenye kamati ya maamuzi magumu.
Kuna tofauti kubwaUnaweza ukawa hautumii umeme wa TANESCO ila home unatumia SOLAR
kikubwa mwanga na wote mnaupata tofauti ni source ya mwanga imetoka wapi.
Yupi huyo kaangukaMkuu, naona nawewe umeamua kuongeza taharuki tena....
Kwani haujaskia yule member ambae Jana alidondoka kwa presha, kisa kasoma Uzi kwamba ameunganishwa kwenye gridi....





nitonye mkuuMkuu, misitaki kusutwa kabisa aiseeee...Yupi huyo kaangukanitonye mkuu

Aiyaaaa kumbe huyu kaathurika duh!!!!Mama wa kuachia as long as kakuona u have something good in return.
@unforgetableView attachment 1276009
AiseeeMkuu, misitaki kusutwa kabisa aiseeee...
Kuna wapenzi pia ambao ni member wenzetu, jana ilibidi tuka wasuluhishe. Maana mmoja alikuwa anamtuhumu mwenzake kwamba jina lake lilitajwa kwenye ule uzi wa kukulana kimaskhara....teh![]()
Si ndio hapo mkuuDada mzuri hivi utamwachaje?
@Priscilla
Si ni zero iqYupi huyo kaangukanitonye mkuu
DuhSi ndio hapo mkuu
Mimi nimemfata pm

DuhDada mzuri hivi utamwachaje?
@Priscilla