kilema
Member
- Feb 23, 2009
- 59
- 0
Nashangaa sana kusikia eti mavazi fulani ya wanawake huchangia kuongeza maambukizi ya hiv. Hivi wanawake kukaa vibaya au kuvaa vibaya inawahusu nini nyie wanaumewa kiafrika?
Mbona wazungu wao sio shida
Mimi naamini mwanamme kuntamani mwanamke kwa vile ameona nyeti au amevaa nguo za kutamanisha ile hali hata mwanake huyo hata hamjui lazma ni chizi. Kwani njaa inauma wakati umeona menu? Kwanini tusiwaze kunywa baada ya kuona rangi ya lager?
Mbona wazungu wao sio shida
Mimi naamini mwanamme kuntamani mwanamke kwa vile ameona nyeti au amevaa nguo za kutamanisha ile hali hata mwanake huyo hata hamjui lazma ni chizi. Kwani njaa inauma wakati umeona menu? Kwanini tusiwaze kunywa baada ya kuona rangi ya lager?