BUSINESS IDEAS ACADEMY
Member
- Feb 1, 2025
- 29
- 42
Tunakuwa Maskini kwa sababu ya kuwekeza kwenye vitu ambavyo havina faida
Wakinga wanafanikiwa kwa sababu ya nidhamu ya Pesa.
Mtu anavaa nguo Moja lakini anawekeza kwenye biashara. Utasikia sina Hela ya kula kumbe kuna sehemu kawekeza hela yake.
Ukweli ni kwamba bila kujitoa Huwezi kuwekeza. Endelea Kuwekeza kwenye muonekano utawakumbuka BUSINESS IDEAS ACADEMY.
Wakati unafuga nywele wenzako wanafuga Kuku, bata, mbuzi na ng'ombe.
Unapanda maua ya mapambo wenzako tunapanda Mboga Mboga
Anza leo kuwekeza hata kwenye maarifa:
Kujipatia kitabu cha Mawazo 112 ya biashara unaweza kututafuta whatsapp: 0612607426 au kwa email: business.ideas613@gmail.com
Wakinga wanafanikiwa kwa sababu ya nidhamu ya Pesa.
Mtu anavaa nguo Moja lakini anawekeza kwenye biashara. Utasikia sina Hela ya kula kumbe kuna sehemu kawekeza hela yake.
Ukweli ni kwamba bila kujitoa Huwezi kuwekeza. Endelea Kuwekeza kwenye muonekano utawakumbuka BUSINESS IDEAS ACADEMY.
Wakati unafuga nywele wenzako wanafuga Kuku, bata, mbuzi na ng'ombe.
Unapanda maua ya mapambo wenzako tunapanda Mboga Mboga
Anza leo kuwekeza hata kwenye maarifa:
Kujipatia kitabu cha Mawazo 112 ya biashara unaweza kututafuta whatsapp: 0612607426 au kwa email: business.ideas613@gmail.com