Kuvaa shati moja kila siku sio umaskini

Kuvaa shati moja kila siku sio umaskini

Joined
Feb 1, 2025
Posts
29
Reaction score
42
Tunakuwa Maskini kwa sababu ya kuwekeza kwenye vitu ambavyo havina faida

Wakinga wanafanikiwa kwa sababu ya nidhamu ya Pesa.

Mtu anavaa nguo Moja lakini anawekeza kwenye biashara. Utasikia sina Hela ya kula kumbe kuna sehemu kawekeza hela yake.

Ukweli ni kwamba bila kujitoa Huwezi kuwekeza. Endelea Kuwekeza kwenye muonekano utawakumbuka BUSINESS IDEAS ACADEMY.

Wakati unafuga nywele wenzako wanafuga Kuku, bata, mbuzi na ng'ombe.

FB_IMG_1744202089528.jpg


Unapanda maua ya mapambo wenzako tunapanda Mboga Mboga

Anza leo kuwekeza hata kwenye maarifa:
White and Blue Geometric Business Book Cover_20250322_193040_0000.png


Kujipatia kitabu cha Mawazo 112 ya biashara unaweza kututafuta whatsapp: 0612607426 au kwa email: business.ideas613@gmail.com
 
Tunakuwa Maskini kwa sababu ya kuwekeza kwenye vitu ambavyo havina faida

Wakinga wanafanikiwa kwa sababu ya nidhamu ya Pesa.

Mtu anavaa nguo Moja lakini anawekeza kwenye biashara. Utasikia sina Hela ya kula kumbe kuna sehemu kawekeza hela yake.

Ukweli ni kwamba bila kujitoa Huwezi kuwekeza. Endelea Kuwekeza kwenye muonekano utawakumbuka BUSINESS IDEAS ACADEMY.

Wakati unafuga nywele wenzako wanafuga Kuku, bata, mbuzi na ng'ombe.

View attachment 3297934

Unapanda maua ya mapambo wenzako tunapanda Mboga Mboga

Anza leo kuwekeza hata kwenye maarifa:
View attachment 3297931

Kujipatia kitabu cha Mawazo 112 ya biashara unaweza kutufuta whatsapp: 0612607426
Kweli mkuu. Ila sasa kama unatafuta pesa ili uvae shati moha pesa unatafuta yanini sasa mkuu?
 
Asikudanganye hao wakinga kwao wameacha mashamba ya miti iendelee kukua huku mjini wanauza karanga na tuduka tudogo tudogo sasa subiria baada ya miaka kumi,,
Ni kweli mkuu, nimekaa kule kwako najua mitindo yao ya maisha na uchumi.

Ndio maana hapa dar tunawatia freemason mara wachawa nk lakini hesabu zao ni za mbali sana.
 
Tunakuwa Maskini kwa sababu ya kuwekeza kwenye vitu ambavyo havina faida

Wakinga wanafanikiwa kwa sababu ya nidhamu ya Pesa.

Mtu anavaa nguo Moja lakini anawekeza kwenye biashara. Utasikia sina Hela ya kula kumbe kuna sehemu kawekeza hela yake.

Ukweli ni kwamba bila kujitoa Huwezi kuwekeza. Endelea Kuwekeza kwenye muonekano utawakumbuka BUSINESS IDEAS ACADEMY.

Wakati unafuga nywele wenzako wanafuga Kuku, bata, mbuzi na ng'ombe.

View attachment 3297934

Unapanda maua ya mapambo wenzako tunapanda Mboga Mboga

Anza leo kuwekeza hata kwenye maarifa:
View attachment 3297931

Kujipatia kitabu cha Mawazo 112 ya biashara unaweza kutufuta whatsapp: 0612607426
Mwisho wa kuwa na hizo pesa ni nini? Huo ni ushamba. Njombe ni washamba, eti mwanamke ana 500M bado anauza mboga sokoni, hiyo ni akili au matope? Wakinga pesa zao za kishirikina siyo wa kutolea mfano. Km huwezi kuvaa vizuri, kula vizuri, kuishi pazuri, kumiliki mali za kisasa huo siyo utajiri, utakuwa ni uchawi
 
Mwisho wa kuwa na hizo pesa ni nini? Huo ni ushamba. Njombe ni washamba, eti mwanamke ana 500M bado anauza mboga sokoni, hiyo ni akili au matope? Wakinga pesa zao za kishirikina siyo wa kutolea mfano. Km huwezi kuvaa vizuri, kula vizuri, kuishi pazuri, kumiliki mali za kisasa huo siyo utajiri, utakuwa ni uchawi
Hah🤣🤣 Mkuu punguz ukali wa maneno
 
Mwisho wa kuwa na hizo pesa ni nini? Huo ni ushamba. Njombe ni washamba, eti mwanamke ana 500M bado anauza mboga sokoni, hiyo ni akili au matope? Wakinga pesa zao za kishirikina siyo wa kutolea mfano. Km huwezi kuvaa vizuri, kula vizuri, kuishi pazuri, kumiliki mali za kisasa huo siyo utajiri, utakuwa ni uchawi
Umetafuta,umezipata,Bado uteseke nazo!Hii Mirembe
 
Back
Top Bottom