Hawa wanaouliza uliza ndo wanastahili mitama ya ndugu Mchomvu!Nafukuru haikuhusu malipo ni siri ya mtu nadhan ni busara kama utasema lengo lako ni nin kwanza ulitaka kuwakopa au ulitaka kuwaongezea
Nitakuwa nakupatia update. Wasanii wote Tanzania kwa moyo wa upendo walitunga nyimbo kuhusu serikali ya CCM.
Wapo katika kufanya mazoezi ya nyimbo zitakazotumika kwenye kampeni ya chama kikubwa barani Afrika CCM.
View attachment 1537939View attachment 1537940View attachment 1537941
Wanashangaa kwann soko la sanaa bongo ni gumu sana. Sababu siasa inaua soko lao.. na hili hawalioni. Baadae watarudi kutaka huruma za wananchiKampeni zikiisha wanaanza kujilizaliza!
Komba alikuwa next level. Hakuna atakae weza kum replace. Hata TOT bado wanaangaika mpaka lro lakin wapi.Bado sijamuona msanii anayeiimbia CCM kutoka moyoni kama alivyokuwa kapiteni John Komba.
Ngoja tuone labda atatokea.
Maendeleo hayana vyama!
Hilo tamasha lilikuwa la siku moja lakini kampeni tunaziona kwenye TBC na Chanel 10 kila uchaoKuna wanaodai kuna wagombea wameanza kampeni kabla ya muda
Naomba kuuliza..lile tamasha ambalo wasaanii walizindua nyimbo ..zilikuwa nyimbo za nini?..
polepole alihusikaje?
Magufuli alipiga simu ili iweje?.
Wasaanii waliokuwa wanasema mitano tena na kuimba nyimbo za Mgombea wa CCM..yote Yale sio kampeni kabla?..
nishaulizaga hili swali kwenye uzi mmoja hivi but bado nasubiri jibu hadi leo.Kuna wanaodai kuna wagombea wameanza kampeni kabla ya muda
Naomba kuuliza..lile tamasha ambalo wasaanii walizindua nyimbo ..zilikuwa nyimbo za nini?..
polepole alihusikaje?
Magufuli alipiga simu ili iweje?.
Wasaanii waliokuwa wanasema mitano tena na kuimba nyimbo za Mgombea wa CCM..yote Yale sio kampeni kabla?..
Waambieni wagombea wengine wa Urais walikatie rufaa NEC hapo tutajua mbivu na mbichiKuna wanaodai kuna wagombea wameanza kampeni kabla ya muda
Naomba kuuliza..lile tamasha ambalo wasaanii walizindua nyimbo ..zilikuwa nyimbo za nini?..
polepole alihusikaje?
Magufuli alipiga simu ili iweje?.
Wasaanii waliokuwa wanasema mitano tena na kuimba nyimbo za Mgombea wa CCM..yote Yale sio kampeni kabla?..
Haa! hapo ndiyo niguse ninukeWaambieni wagombea wengine wa Urais walikatie rufaa NEC hapo tutajua mbivu na mbichi