Kutoka Mliman City, Diamond na Zuchu mahaba nje nje

Picha inazungumza mengi sana.
Baba is not in love kabisa yuko ki biashara zaidi. Ila mama amekuwa strategic akijisogeza sogeza kwa hila na ushawishi akitafuta love status. Kanaonekana king'ang'anizi lakini pia kinaonekana kinatumia hila na unafiki mwingi wa kichinichini ili kuolewa na mjukuu wangu Mondi.

BTW, ni kwa nini mlio karibu na huyo mtoto wakike msimshauri avae nguo za kujifunika kama mila yakwao ili angalau kuficha maumbile ya miguu yake? Nani alimwambia akikaa uchi anapendeeza?

Mondi umeona madhara ya kujifanya dume la mbegu? Sasa imekula kwako. Unaingizwa kwenye ndoana na wazenji, waliokubuhu kwa mambo yale, kwa lazima bila kujali hata kama mwali angelikuwa na miguu kama mihogo, ama sura kama mbegu na macho kama njegere pori.

Na hapo ndipo unafikia mwisho wa mziki na umaarufu wake. Wengine jifunzeni. Msijichanganye na wanawake wa uzenjini, ni balaa wale.
Planned , na masharti , hv huko zenj wanawake wote wa kule miyeyusho?
 
Planned , na masharti , hv huko zenj wanawake wote wa kule miyeyusho?
Taaluma za baharini, kupima upepo na kuamrisha matukio. Unaweza kuwa msukule bila kujijua. Ogopa sana wanawake mashangingi wa location!.

Hivi wewe unaona mondi ni wa kuenda na hako kamtu, japo kalisoma upepo kakajilengesha na kupewa support? Uzito wa backup yake unakapa confidence na kama Mond hatajifambua, mwiso wake ni majuto makubwa sana kwa kwake na familia yake.
 
Back
Top Bottom