Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,665
- 2,520
Halafu kuna pimbi zinasema hakuna uchawiDogo karogwa si bure,unamuacha zari unaoa hiki macho kumchuzi kweli
Halafu kuna pimbi zinasema hakuna uchawiDogo karogwa si bure,unamuacha zari unaoa hiki macho kumchuzi kweli
NakaziaTutafute ela jamani..pesa pesa pesa!!
Hapoo hakuna cha mpnz wala mapenzi ,mondi kachezaa na akili za watu tu apigee hela na hilo kalifanikisha KWA asilimia mkuuKwahiyo hawa ni wapenzi au?
Kuloweka TuKwahiyo hawa ni wapenzi au?
Pekos ?!!!Mambo si mambo...!!! New couple in town? Wacha tuendelee kunywa mtori , nyama tutazikuta chini
View attachment 2119674
View attachment 2119675View attachment 2119676
Kwani kaoa au anasafisha tu rungu?!Dogo karogwa si bure,unamuacha zari unaoa hiki macho kumchuzi kweli
Kapiga hela za mambugilaHapoo hakuna cha mpnz wala mapenzi ,mondi kachezaa na akili za watu tu apigee hela na hilo kalifanikisha KWA asilimia mkuu
Kitamboo kashawapataa now yupo anazihesabuu tuKapiga hela za mambugila
Maana mambugila wako wengi
So atawapata tu
Ova
Hata kama mimi kale katoto sijaona uzuri wake,mjini hapa kuna pisi kali sana na zimetuliaKwani kaoa au anasafisha rungu tuu?!
Kabisa na walioenda sahv wameamka hoiKitamboo kashawapataa now yupo anazihesabuu tu
Uchawi upo.tena huyu kapigwa na majini ya kipemba kabisaHalafu kuna pimbi zinasema hakuna uchawi
Planned , na masharti , hv huko zenj wanawake wote wa kule miyeyusho?Picha inazungumza mengi sana.
Baba is not in love kabisa yuko ki biashara zaidi. Ila mama amekuwa strategic akijisogeza sogeza kwa hila na ushawishi akitafuta love status. Kanaonekana king'ang'anizi lakini pia kinaonekana kinatumia hila na unafiki mwingi wa kichinichini ili kuolewa na mjukuu wangu Mondi.
BTW, ni kwa nini mlio karibu na huyo mtoto wakike msimshauri avae nguo za kujifunika kama mila yakwao ili angalau kuficha maumbile ya miguu yake? Nani alimwambia akikaa uchi anapendeeza?
Mondi umeona madhara ya kujifanya dume la mbegu? Sasa imekula kwako. Unaingizwa kwenye ndoana na wazenji, waliokubuhu kwa mambo yale, kwa lazima bila kujali hata kama mwali angelikuwa na miguu kama mihogo, ama sura kama mbegu na macho kama njegere pori.
Na hapo ndipo unafikia mwisho wa mziki na umaarufu wake. Wengine jifunzeni. Msijichanganye na wanawake wa uzenjini, ni balaa wale.
Pisi kale za kupiga na kuacha wanaune wengi hawaoi pisi kali.Hata kama mimi kale katoto sijaona uzuri wake,mjini hapa kuna pisi kali sana na zimetulia
Domo hawezi kukaacha kale lazima akale tu hata mi nisingekaacha japo kabovu ila kuoa pisi kama inakuheshimu na kukupenda raha sana asikwambie mtuPisi kale za kupiga na kuacha wanaune wengi hawaoi pisi kali.
And by the way, sidhan kama wale wako mahabani ni njia tu ya kupiga pesa
Diamond ana mahusiano na aaliyah uko kwa Zuchu kacheza na upepo wenu na kwenye Hili kafanikiwa kwa kiasi kikubwa kupiga hela za maanaDomo hawezi kukaacha kale lazima akale tu hata mi nisingekaacha japo kabovu ila kuoa pisi kama inakuheshimu na kukupenda raha sana asikwambie mtu
Maisha ya ndoa ni zaidi ya mshape na sura nzuri ujue 😂😂Domo hawezi kukaacha kale lazima akale tu hata mi nisingekaacha japo kabovu ila kuoa pisi kama inakuheshimu na kukupenda raha sana asikwambie mtu
Taaluma za baharini, kupima upepo na kuamrisha matukio. Unaweza kuwa msukule bila kujijua. Ogopa sana wanawake mashangingi wa location!.Planned , na masharti , hv huko zenj wanawake wote wa kule miyeyusho?
Na jana aliwapata kweli kweli si mchezoKapiga hela za mambugila
Maana mambugila wako wengi
So atawapata tu
Ova
Wachawi kazini.Wataachana tu