Kutoka Dodoma!

Kutoka Dodoma!

ONA NA MANENO YA CHILIGATI, ANASEMA JAMBO HILO HALIKUFANYIKA KWA SIRI KWANI KUNAWABUNGE WAWILI WALIONA

...Hawa waliona kila kitu

2008-06-16 18:12:54
Na Mwandishi Wetu, Jijini

Wakati sakata la ushirikiana lililotinga bungeni likiendelea kuvuma, kuna habari kuwa wabunge wawili wanadaiwa kushuhudia `live` tukio hilo ambalo limekuwa gumzo kwenye vyombo vya habari.

Kwa mujibu wa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Kapteni John Chiligati, ni kwamba walioshuhudia tukio hilo ni Mbunge wa Longido (CCM), Mhe. Lekule Laizer na Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Mhe. Anna Abdallah.

Kapten Chiligati amenukuliwa na vyombo vya habari leo asubuhi kuwa waheshimiwa Anna Abdallah na Lekule Leizer, walikuwepo na hawakuona kitu kinachohusishwa na imani ya ushirikina kikifanyika ndani ya Bunge.

Amekaririwa akitoa ufafanuzi huo wakati akizungumza na waandishi kuhusiana na yale yaliyojiri kwenye kikao cha Kamati ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na kuulizwa swali linalohusiana na sakata hilo.

Akasema wabunge hao, walisema mbunge mmoja alikuwa ameongozana na ofisa wa Bunge kwa ajili ya kuonyeshwa kiti cha kukaa.

Akaeleza zaidi Kapteni Chiligati kuwa mbunge huyo aliyeonekana akizunguka kwenye viti amefanya hivyo kwa sababu awali alikuwa akikaa kiti cha mbele.

Hata hivyo, Kapteni Chiligati amekaririwa akisema kuwa tukio hilo hivi sasa linachunguzwa zaidi na vyombo vya dola.

``Tukio la mtu kunyunyuzia vitu ndani ya Bunge linachuzungumzwa...bado linachunguzwa, Spika (Samuel Sitta) alitoa taarifa. Hivyo tunasubiri matokeo ya uchunguzi ,`` akasema Chiligati.

* SOURCE: Alasiri
 
ONA NA MANENO YA CHILIGATI, ANASEMA JAMBO HILO HALIKUFANYIKA KWA SIRI KWANI KUNAWABUNGE WAWILI WALIONA

...Hawa waliona kila kitu

2008-06-16 18:12:54
Na Mwandishi Wetu, Jijini

Wakati sakata la ushirikiana lililotinga bungeni likiendelea kuvuma, kuna habari kuwa wabunge wawili wanadaiwa kushuhudia `live` tukio hilo ambalo limekuwa gumzo kwenye vyombo vya habari.

Kwa mujibu wa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Kapteni John Chiligati, ni kwamba walioshuhudia tukio hilo ni Mbunge wa Longido (CCM), Mhe. Lekule Laizer na Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Mhe. Anna Abdallah.

Kapten Chiligati amenukuliwa na vyombo vya habari leo asubuhi kuwa waheshimiwa Anna Abdallah na Lekule Leizer, walikuwepo na hawakuona kitu kinachohusishwa na imani ya ushirikina kikifanyika ndani ya Bunge.

Amekaririwa akitoa ufafanuzi huo wakati akizungumza na waandishi kuhusiana na yale yaliyojiri kwenye kikao cha Kamati ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na kuulizwa swali linalohusiana na sakata hilo.

Akasema wabunge hao, walisema mbunge mmoja alikuwa ameongozana na ofisa wa Bunge kwa ajili ya kuonyeshwa kiti cha kukaa.

Akaeleza zaidi Kapteni Chiligati kuwa mbunge huyo aliyeonekana akizunguka kwenye viti amefanya hivyo kwa sababu awali alikuwa akikaa kiti cha mbele.

Hata hivyo, Kapteni Chiligati amekaririwa akisema kuwa tukio hilo hivi sasa linachunguzwa zaidi na vyombo vya dola.

``Tukio la mtu kunyunyuzia vitu ndani ya Bunge linachuzungumzwa...bado linachunguzwa, Spika (Samuel Sitta) alitoa taarifa. Hivyo tunasubiri matokeo ya uchunguzi ,`` akasema Chiligati.

* SOURCE: Alasiri

Nziku hiyo ni kazi ya wabunge na wao kama ni wa kweli!
Wao ndio watakaoamua kama huo uchunguzi uendelee ama la!
Nafikiri wao watakuwa wanayajali maisha yao zaidi ya sisi tunavyowasaidia kuyajali!
Kama na wao lao moja tutajua!
Wana data zote kama sisi tulizonazo!Hatuwezi kuwalazimisha kulichunguza jengo lao na bunge lao kama na wao ni madfisadi!
Hapa wananchi wataelewa tu kuwa mapinduzi ni LAZIMA.
 
Hatuna haja na propaganda za CCM! Narudia tena...Huu ujumbe ni kwa kina Anna Kilango Malecella na wenzako! Kama hamuta weka wazi upande mliopo na kuanza mabadiliko ya kweli kwa kujiunga na wazalendo wazi wazi bila kuwaogopa kina Kikwete,Mkapa,Makamba,Rostam Aziz,na mafisadi wengine wanaouana wenyewe kwa wenyewe na wenye kupandandikiza habari za kuwachanganya watanzania... then msije mkatulaumu!
 
na hili litamalizika hivi hivi kama masihara. tutaambiwa alikuwa anatafuta kiti, na habari imeisha. tanzania hasa naipenda!

hilo mbona lilishaisha long tym bandugu??!!nw twaaendelea na vikao vyetu vya bunge...

lakini nilikua najiuliza kwani huo uwaziri alivuliwa siku hiyo akiwanga?!!au siku zoote after kuvuliwa uwaziri alikua anakaa wapi bungeni??sina records vizuri!!hollo nadhani wewe kama sio chenge mwenyewe au kimada wake au secretary wake waweza tupa data zaidi kwa hilo
 
Hii itakuwa safi sanaaaaaaaaaaaaaa kama ikitokea akatengwa namna hiyo
Huyu mtu si wa kutengwa ni wa kukamatwa!
Sasa Kakindo ndiye anayedai wasimsogelee..Kwanini Rama mchawi aliyekutwa na kichwa cha binadamu asogelewe na kutiwa nguvuni halafu Chenge aachwe?
Chenge toka ajianzishie rumours za kufa kabla hajajitokeza kwenye radio ya MKJJ kukanusha huku na yeye mwenyewe akiwa hapa akipigana kiume kweli kunaonyesha ni jinsi gani yeye na Kikwete wanavyopeana time za kujisafi huku wakionekana kupata tumafanikio flani flani kwa kupenyeza rupia ama kwa kutumia ugaidi na style nyingine za kutisha za kimafioso!
 
Wazee wa dataz wako wapi? watuletee za jikoni kuhusu uchunguzi?
 
kwanza na kesi zake zingine za ufisadi zimeishia wapi??ikiwemo ile aliyoitwa hadi uk kuhojiwa??maana naona kale ka idara ka kuspin mambo kamefanikiwa as nw we don talk abt anythin else kasoro ya uchawi huu!!!
 
Msishangae swalal a Chenge kuishia maana mahela ya ufisadi kibao yamemwaga kuzima watu. Kama alikua anatafuta kiti kwanini aliingia saa mbili usiku?????????
 
Wazee wa dataz wako wapi? watuletee za jikoni kuhusu uchunguzi?

mie mwenyewe nimekaa mezani kuwasubiria hapa waje lakini naona bado wako jikoni wanamalizia makaangizo wakija waje na hot mamboz...lets hope bado hawaja jeuzwa bambucha na chenge & co.
 
Wakuu heshima mbele, ndio kwanza tumepata the dataz lakini bado tuko kwenye kujaribu kuzi-verify, then tutazimwaga ila kwa haraka tu ni kwamba jana moto mzito uliwaka ndani ya kikao,

na kwa mara ya kwanza toka awe rais wa jamhuri, muungwana made it very clear kwa mafisadi mbele ya wajumbe wote wa kikao hicho kuwa hatawakinga tena na kwamba hakuna sheria yoyote inayowalinda wasifikishwe kwenye mkondo wa sheria kama ambavyo amekuwa akisikia sana kwenye media, narudia alisema kuwa hakuna aliye juu ya sheria, kwamba mafisadi wote watakaobainika kuwa wamevunja sheria kwa kuwa mafisadi, wajitayarishe kusimama mbele ya sheria za jamhuri, kwamba hatamtetea yoyote yule hata awe nani?

Na muungwana amekubali kama mwenyekiti, mafisadi wote kuchukuliwa hatua za kichama kama ilivyotakiwa na wabunge, lakini amehimiza wajumbe kusubiri matokeo ya kamati ya Waziri Mkuu, ile ya miezi mitatu na kwamba watakaohukumiwa na CCM, lazima wapatikane na makosa kweli.

Ahsante Wakuu, Baaadaye itakapowezekana tena, na samahani kwamba hatuwezi kutoa zote unajua ni mpaka tuzithibitishe kwanza kwa wajumbe zaidi ya wanne ndio tuzibandike ili kuheshimu ukweli wake, kama hatuamini kuwa zina ukweli basi ni kuzitupa tu kwenye garbage cane, na pia samahani sana kwa kuchukua muda mrefu kama nilivyosema jana tuko safarini!
 
Wakati Munajadili haya mkumbuke... huyu mtuhumiwa ni mtanzania mwenzetu,,, mwenye haki ya kusikilizwa, kutendewa haki!!! sasa mambo tusioyajua tunapolazimisha as if tulikuwepo huko sio sawa hata kidogo!!!

Kuna wakati munastahili kuwa waumini wa dini kidogo!!! kwa kuwa mzee wa watu hana uwezo wa kuja hapa kwenye jukwaa!!! isiwe sababu ya kumpiga mawe kiasi hicho ebo???

kwa hiyo akiwa mtanzania mwenzetu ndio atumie uchawi na mbinu zisizo eleweka?!hebu kwendeni na u......wenu!!
hiyo dini unayoongelea huyo unayemtetea unajua imani yake??
 
Msishangae mambo ya Chenge yanaisha hivi hivi. Mihela imemwagwa kibao kuwazima watu. Mkanda unaweza kuonesha panya na popo. Kama alikuwa anatafuta kiti kwanini alienda saa mbili usiku na kwa speaker na naibu wake alifuata nini?
 
Wakuu heshima mbele, ndio kwanza tumepata the dataz lakini bado tuko kwenye kujaribu kuzi-verify, then tutazimwaga ila kwa haraka tu ni kwamba jana moto mzito uliwaka ndani ya kikao,

na kwa mara ya kwanza toka awe rais wa jamhuri, muungwana made it very clear kwa mafisadi mbele ya wajumbe wote wa kikao hicho kuwa hatawakinga tena na kwamba hakuna sheria yoyote inayowalinda wasifikishwe kwenye mkondo wa sheria kama ambavyo amekuwa akisikia sana kwenye media, narudia alisema kuwa hakuna aliye juu ya sheria, kwamba mafisadi wote watakaobainika kuwa wamevunja sheria kwa kuwa mafisadi, wajitayarishe kusimama mbele ya sheria za jamhuri, kwamba hatamtetea yoyote yule hata awe nani?

Na muungwana amekubali kama mwenyekiti, mafisadi wote kuchukuliwa hatua za kichama kama ilivyotakiwa na wabunge, lakini amehimiza wajumbe kusubiri matokeo ya kamati ya Waziri Mkuu, ile ya miezi mitatu na kwamba watakaohukumiwa na CCM, lazima wapatikane na makosa kweli.

Ahsante Wakuu, Baaadaye itakapowezekana tena, na samahani kwamba hatuwezi kutoa zote unajua ni mpaka tuzithibitishe kwanza kwa wajumbe zaidi ya wanne ndio tuzibandike ili kuheshimu ukweli wake, kama hatuamini kuwa zina ukweli basi ni kuzitupa tu kwenye garbage cane, na pia samahani sana kwa kuchukua muda mrefu kama nilivyosema jana tuko safarini!
Mkuu FEMS Hishma mbele kama unavyopendelea kusema!
Kwasasa KIKWETE NA YEYE NI FISADI Hivyo tunaomba uache kuzungusha maneno kwasababu ni yeye aliyemkatalia Lowassa kuwa Richmond ni mkataba mbovu na ndiye yeye mwenyewe aliyemrudisha Chenge madarakani ili aendelee kuwaroga ama kuwaua wenzake!
Ndiye yeye aliyesikiliza ushauri kuwa Ballai asubiriwe hadi afe ama kupotea ili kesi ya EPA ife!
Mlikuwa mikjadili hapa na yeye Kikwete kutetewa na kina Zitto na MKJJ na MWK na sasa wewe!
Hayo mambo ya CCM myajadili wenyewe humo ndani ya chama chenu.
Na kama hamtaki kuwashughulikia mafisadi wote hii ikiwa ni pamoja na Kikwete,Mkapa,Chenge,Mramba,Ballali,Karamagi,Rostam Aziz,Makamba na CCM yote top ambayo sasa wanataka ATTENTION kabla hata hawajawakamata mafisadi...Zaidi ya kuwapa muda na kuendelea na conspirations za kimafioso na kichawi.
 
kwa hiyo akiwa mtanzania mwenzetu ndio atumie uchawi na mbinu zisizo eleweka?!hebu kwendeni na u......wenu!!
hiyo dini unayoongelea huyo unayemtetea unajua imani yake??
Au ulimsindikiza mwenzetu umejuaje kama ni uchawi?give him a break.
 
hilo mbona lilishaisha long tym bandugu??!!nw twaaendelea na vikao vyetu vya bunge...

lakini nilikua najiuliza kwani huo uwaziri alivuliwa siku hiyo akiwanga?!!au siku zoote after kuvuliwa uwaziri alikua anakaa wapi bungeni??sina records vizuri!!hollo nadhani wewe kama sio chenge mwenyewe au kimada wake au secretary wake waweza tupa data zaidi kwa hilo
Utajiuliza sana ndugu yangu labda hadi malaika washuke wakuhakikishie kuwa sio uchawi!ndugu yangu baada na kabla ya kujiudhuru uwazili alikuwa anakaa kwenye kiti
 
Utajiuliza sana ndugu yangu labda hadi malaika washuke wakuhakikishie kuwa sio uchawi!ndugu yangu baada na kabla ya kujiudhuru uwazili alikuwa anakaa kwenye kiti


Kabla ya kujiuzuru uwaziri aliopewa kwa mara nyingine tena na Kikwete mara baada ya kuonekana kuwa anahusika na Ufisadi kwa karibu kama ilivyo kwa Kikwete mwenyewe...Hivyo basi

Kwasasa KIKWETE NA YEYE NI FISADI Hivyo tunaomba uache kuzungusha maneno kwasababu ni yeye aliyemkatalia Lowassa kuwa Richmond ni mkataba mbovu na ndiye yeye mwenyewe aliyemrudisha Chenge madarakani ili aendelee kuwaroga ama kuwaua wenzake!
Ndiye yeye aliyesikiliza ushauri kuwa Ballai asubiriwe hadi afe ama kupotea ili kesi ya EPA ife!
Yeye ndiye aliyeunda kamati na kuwajumuisha watu safi na wale mafisadi ili kuwachafua kama na yeye alivyokubali mara baada ya kuonja ufisadi na kuanza kuutetea huku akikubaliana na Mafioso ideas!
Na kama hamtaki kuwashughulikia mafisadi wote hii ikiwa ni pamoja na Kikwete,Mkapa,Chenge,Mramba,Ballali,Karamagi,Rosta m Aziz,Makamba na CCM yote top ambayo sasa wanataka ATTENTION kabla hata kabla hawajawakamata mafisadi...Zaidi ya kuwapa muda na kuendelea na conspirations za kimafioso na kichawi.
Wawe wachawi ama la hilo ni propaganda za kisimba na Yanga!
Issue hapa ni HAKI IMEPINDWA DOGGY STYLE NA KUBAKWA!
Tunataka ku restore dignity, and justice to the people!
Huu ni wakaki wa kuizika CCM na wakati wao wakiendelea kujadili kama uchawi na umafia bado unawafaa...Sisi tuendelee kujadili ni kivipi tutawakamata na kuanza upya!
 
Kabla ya kujiuzuru uwaziri aliopewa kwa mara nyingine tena na Kikwete mara baada ya kuonekana kuwa anahusika na Ufisadi kwa karibu kama ilivyo kwa Kikwete mwenyewe.

Kwasasa KIKWETE NA YEYE NI FISADI Hivyo tunaomba uache kuzungusha maneno kwasababu ni yeye aliyemkatalia Lowassa kuwa Richmond ni mkataba mbovu na ndiye yeye mwenyewe aliyemrudisha Chenge madarakani ili aendelee kuwaroga ama kuwaua wenzake!
Hivi wewe ndo mwendesha mashtaka,judge na mlinzi wa gereza?Chenge kaonekana anahusika na ufisadi gani?jamani subiri uchunguzi wa SFO na sio kutoa hukumu hapa!
Chenge kamroga nani?kamuua nani?Jamani hata biblia inasema msihukumu!
Haya maneno mnayosema mtalipa gharama yake!
 
...Wawe wachawi ama la hilo ni propaganda za kisimba na Yanga!
Issue hapa ni HAKI IMEPINDWA DOGGY STYLE NA KUBAKWA!
Tunataka ku restore dignity, and justice to the people!Huu ni wakaki wa kuizika CCM na wakati wao wakiendelea kujadili kama uchawi na umafia bado unawafaa...Sisi tuendelee kujadili ni kivipi tutawakamata na kuanza upya!

...😀 Dah, mkuu nimecheka sana, wakati huo huo natikisa kichwa kuyakubali maneno mazito uliyoyasema!

...kujadili uchawi au umafia upi unawafaa? LOL

maneno mazito yote, hasa restoration of Dignity!!!!

nakuunga mkono mkuu.
 
Hivi wewe ndo mwendesha mashtaka,judge na mlinzi wa gereza?Chenge kaonekana anahusika na ufisadi gani?jamani subiri uchunguzi wa SFO na sio kutoa hukumu hapa!
Chenge kamroga nani?kamuua nani?Jamani hata biblia inasema msihukumu!
Haya maneno mnayosema mtalipa gharama yake!

Subiri tu...Tartiibu.
Hakuna anayejali tena hiyo miripoti yenu
Ngoma lazima ianze upya..Narudia..HAKI YA MTANZANIA IMEPINDISHWA DOGGY STYLE NA HATIMAYE KUBAKWA!
Uchunguzi wa SFO wewe usubiri tu...Hakuna anayekuzuia!
Ila kama pesa zilisharudishwa...Pesa zilizotoka chini ya uongozi wa Kimafia wa Kikwete na Mkapa...Huku wakisaidiana na makanali wao wasaidizi kama kina Chenge,Ballali,Mgonja na wengineo...Then huelewi unachokisema pale unapodai kuwa eti tutalipa ghrama za haya maneno!
Nyinyi mnarudisha pesa halafu hamtaki kulipa gharama za ufisadi kwanini?
 
Back
Top Bottom