Kutoka Dodoma!

Kutoka Dodoma!

Nikuulize wewe unayesema ushindi wa Obama hauhusiani na siasa za Afrika!
Wewe si umesema wakati wa utawala wa kenyata?Sasa ushindi wa Obama unahusiana kivipi na sisi?itakuwa tu kama ilivyo kwa bush sasa hivi!
 
Sidhani kama huyu atarudi nyumbani. Makelele tu ndio anajua kupiga, aliahidi hapa kufuatilia suala la Ballali akaishia kuleta habari za uongo na udaku za mtandaoni.

Amesema kuwa wengine wote hapa kina FMES, Mkjj na Zitto ni mafisadi lakini yeye mwenyewe haonyeshi amefanya nini kwa ajili ya Tanzania. Huyu ataishia tu kupiga makelele hapa na baadaye kupotelea kama wengine waliomtangulia.

We mpambe kaa kushoto!
Utaweza vipi kuwashabikia BOTH Kikwete na Zitto?
Are they the same?
Wewe uko upande upi..?!
Wa Kikwete,Zitto ama BOTH?
Kikwete si fisadi na wewe ni nani?
 
We mpambe kaa kushoto!
Utaweza vipi kuwashabikia BOTH Kikwete na Zitto?
Are they the same?
Wewe uko upande upi..?!
Wa Kikwete,Zitto ama BOTH?
Kikwete si fisadi na wewe ni nani?

labda nikuulize wewe kuwa uko upande wa nani? maana kwako kila mtu kuanzia Kikwete hadi Zitto ni fisadi. Kwanza hujajibu swali hapa kuwa makelele yote uliyotoa hapa kuhusu Ballali yameishia wapi
 
Wewe inaonekana una chuki binafsi na Kikwete. Hakuna cha ufisadi wala nini ila wewe ndio fisadi unakaa tu nje ya nchi bila kulipa kodi au kuchangia kwenye maendeleo ya Tanzania.

Ona sasa hadi unaanza kupambana na mtu kama zitto ambaye angalau yuko msitari wa mbele kupiga makelele, wewe zaidi ya kuandika hapa mtandaoni umefanya nini kusaidia nchi yako?

Hata hivyo, yale maneno yote uliyosema kwenye thread ya Ballali kuwa una ushahidi yamefikia wapi, FBI wako uliosema una contact zao wameishia wapi?

Acha makelele kijana, kupondea wakuu hapa kama FMES na wengine sio njia ya kukupatia umaarufu unautaka kwa udi na uvumba.

Ngoja nianze na red highlights...Umesema hakuna ufisadi na pia kuwa mimi silipi kodi...Sasa pesa za EPA si kodi wanazotoa watanzania wenzangu wawe ndugu wa damu ama la?
Ndio wasitetewe?
 
labda nikuulize wewe kuwa uko upande wa nani? maana kwako kila mtu kuanzia Kikwete hadi Zitto ni fisadi. Kwanza hujajibu swali hapa kuwa makelele yote uliyotoa hapa kuhusu Ballali yameishia wapi

Wewe unayesema UMPE KIKWETE...! UMPE mara ngapi?
Na doggy style na makelele ni ya nani?
Unasikitisha kweli!
Halafu haiwezekani eti uwe shabiki wa BOTH ZITTO NA KIKWETE kwasababu kwa maoni yangu..Kikwete tayari ni FISADI...Sasa kama umelala na wewe unataka umuambukizie Zitto huo usingizi wako wa PONO then subiri waendelee kuuana!
 
Hivi unajua historia ya baba yake Obama na alivyokufa kwenye ajali yenye utatanishi wakati wa utawala wa Kenyatta?


NAOMBA KUTOA MAREKEBISHO HAPO...MZEE OBAMA ..ambaye alikwenda marekani kwa scholarship ya serikali ya marekani na akabahatika kupendana na binti mrembo wa kimarekani aliyekuja kuwa mama yake BARRACK..aliiingia kwenye wimbi la ULEVI...na baada ya kutalikiana na mama yake barrack aliamua kurudi kenya akiwa moja ya engeneers wa kwanza kenya wazalendo..aliporudi kenya hakuweza kutumika ipasavyo kwani aliendelea kuwa mlevi sana...hadi bahati mbaya akaja kugongwa na gari...inasadikiwa aligongwa akiwa amelewa....." soma kitabu cha BARRACK OBAMA kinaitwa MEMORIES OF MY FATHER.
 
Ngoja nianze na red highlights...Umesema hakuna ufisadi na pia kuwa mimi silipi kodi...Sasa pesa za EPA si kodi wanazotoa watanzania wenzangu wawe ndugu wa damu ama la?
Ndio wasitetewe?

Hujaifanyia chochote Tanzania na umekalia tu kupiga makelele hapa ndani na unabaki kujichanganya. Mara unamwita raisi wa nchi kuwa ni fisadi na wakati huo huo ukimwita zitto kuwa ni fisadi.

Mara utoe vitisho kuwa utafuatilia habari za Ballali (RIP) na kuthibitisha hapa kuwa hajafa na unaishia kuleta habari za udaku za mtandaoni. Unaanza sasa kupambana na wanachama mahiri kama FMES ili kupata umaarufu. Wewe huna jipya na unatia aibu sasa.
 
Wewe unayesema UMPE KIKWETE...! UMPE mara ngapi?
Na doggy style na makelele ni ya nani?
Unasikitisha kweli!
Halafu haiwezekani eti uwe shabiki wa BOTH ZITTO NA KIKWETE kwasababu kwa maoni yangu..Kikwete tayari ni FISADI...Sasa kama umelala na wewe unataka umuambukizie Zitto huo usingizi wako wa PONO then subiri waendelee kuuana!

Haya yote bila kuleta uthibitisho wa habari ya Ballali yanakufanya wewe kuwa fisadi namba moja aliyejaa mambo ya udaku tu na ushirikina wa kutafuta wale waliokufa.
 
NAOMBA KUTOA MAREKEBISHO HAPO...MZEE OBAMA ..ambaye alikwenda marekani kwa scholarship ya serikali ya marekani na akabahatika kupendana na binti mrembo wa kimarekani aliyekuja kuwa mama yake BARRACK..aliiingia kwenye wimbi la ULEVI...na baada ya kutalikiana na mama yake barrack aliamua kurudi kenya akiwa moja ya engeneers wa kwanza kenya wazalendo..aliporudi kenya hakuweza kutumika ipasavyo kwani aliendelea kuwa mlevi sana...hadi bahati mbaya akaja kugongwa na gari...inasadikiwa aligongwa akiwa amelewa....." soma kitabu cha BARRACK OBAMA kinaitwa MEMORIES OF MY FATHER.

Theories ziko nyingi!
Nani asiyejua mambo ya Kambona nayo ni spin kama spin nyingine tu?
Wewe huji ni kwa kiasi gani mwalimu alishirikiana sana na serikali nyingine za EA kuwakandamiza wapinzani kwa udi na uvumba!?
Kuna mlevi kama MKAPA?
 
Huyu mtu si wa kutengwa ni wa kukamatwa!
Sasa Kakindo ndiye anayedai wasimsogelee..Kwanini Rama mchawi aliyekutwa na kichwa cha binadamu asogelewe na kutiwa nguvuni halafu Chenge aachwe?
Chenge toka ajianzishie rumours za kufa kabla hajajitokeza kwenye radio ya MKJJ kukanusha huku na yeye mwenyewe akiwa hapa akipigana kiume kweli kunaonyesha ni jinsi gani yeye na Kikwete wanavyopeana time za kujisafi huku wakionekana kupata tumafanikio flani flani kwa kupenyeza rupia ama kwa kutumia ugaidi na style nyingine za kutisha za kimafioso!

Mkuu

Nimeona tena nasema eti Chenge asikamatwe!

Kama ni mhalifu kwa nini asikamatwe nafikiri vyombo vya dola viko kwa ajiri ya mambo kama haya. Kama ametenda kosa la kumfikisha mahakamani ni rukusa kushughulikiwa kama raia wa kawaida. Si unakumbuka Marehemu Ditopile pamoja na kuwa Mkuu wa Mkoa alijipeleka mwenyewe?

Nafikiri pia mweshimiwa kwa sababu moyoni anajua alikuwa anafanya nini atajipeleka mwenyewe kabla hata uchunguzi haujaisha.

Nafikiri kwa kuwa alikuwa mwanasheria mkuu, basi anazijua vizuri sheria zote za nchi hivyo atajitendea haki hata kabla vyombo vya dola havijamaliza uchunguzi wake.
 
Theories ziko nyingi!
Nani asiyejua mambo ya Kambona nayo ni spin kama spin nyingine tu?
Wewe huji ni kwa kiasi gani mwalimu alishirikiana sana na serikali nyingine za EA kuwakandamiza wapinzani kwa udi na uvumba!?
Kuna mlevi kama MKAPA?

Leta uthibitisho wa habari zako za kishirikina kuwa Ballali yuko hai na usianzishe mambo yasiyohusiana na topic inayoendelea hapa.
 
Haya yote bila kuleta uthibitisho wa habari ya Ballali yanakufanya wewe kuwa fisadi namba moja aliyejaa mambo ya udaku tu na ushirikina wa kutafuta wale waliokufa.

Nilioposema Anna Muganda Ballali abanwe ili atoe habari...JASUSI alinitukana matusi ya nguoni!
MWK alishabikia isipokuwa baadhi ya watu kama kina Mtanzania...MKJJ naye ilimchukua muda!
Field Marshall bado nampa respect kwasababu yeye ndiye kama mzee wangu aliyenipokea kwa mikono miwili hapa JF...Yeye pia hupenda kuwa upande wa haki!
Wewe ni mpambe tu na ndiye unayetaka umaarufu!
 
Leta uthibitisho wa habari zako za kishirikina kuwa Ballali yuko hai na usianzishe mambo yasiyohusiana na topic inayoendelea hapa.

Mbona unadandia dandia kwa mbele!
Huoni kuwa nilikuwa nikijibu hoja ya kifo cha Baba yake Obama na conspiracies za wazalendo kama kina Kambona waliokufa ama kuuwawa?
Watu ambao tuliaminishwa kuwa ni ma JASUSI AMA SIMPLY "WALEVI"?
 
Nilioposema Anna Muganda Ballali abanwe ili atoe habari...JASUSI alinitukana matusi ya nguoni!
MWK alishabikia isipokuwa baadhi ya watu kama kina Mtanzania...MKJJ naye ilimchukua muda!
Field Marshall bado nampa respect kwasababu yeye ndiye kama mzee wangu aliyenipokea kwa mikono miwili hapa JF...Yeye pia hupenda kuwa upande wa haki!
Wewe ni mpambe tu na ndiye unayetaka umaarufu!

Kwa nini usiweke hapa hiyo thread ambayo ulitukanwa na Jasusi? hata kama Jasusi alikutukana na MWK akashangilia, hiyo inakuzuia nini kuleta uthibitisho wa udaku na longolongo nyingi hapa kuwa umewasiliana na FBI kuhakikisha kuwa Ballali yuko hai?

Wewe ndio fisadi tu na sasa unatafuta umaarufu kwa kuita wengine hapa kuwa mafisadi.
 
Mbona unadandia dandia kwa mbele!
Huoni kuwa nilikuwa nikijibu hoja ya kifo cha Baba yake Obama na conspiracies za wazalendo kama kina Kambona waliokufa ama kuuwawa?
Watu ambao tuliaminishwa kuwa ni ma JASUSI AMA SIMPLY "WALEVI"?

hoja ya kifo cha baba yake Obama umeileta wewe hapa ingawa bado haionekani kama inahusiana vipi na kinachoendelea hapa. Kwa vile mpaka sasa hujaleta uthibitisho wa habari ya Ballali, nitakuhesabu wewe kama fisadi, mzushi, na mshirikina.
 
Theories ziko nyingi!
Nani asiyejua mambo ya Kambona nayo ni spin kama spin nyingine tu?
Wewe huji ni kwa kiasi gani mwalimu alishirikiana sana na serikali nyingine za EA kuwakandamiza wapinzani kwa udi na uvumba!?
Kuna mlevi kama MKAPA?

..KWENYE HICHO KITABU.."MEMORIES OF MY FATHER:" by barrack obama...yeye mwenyewe ndio anaelezea namna baba yake alivyoingia kwenye lindi la ulevi...SASA SIDHANI KAMA MTOTO WA KUMZAA MWENYEWE angekuwa na haja ya kuficha kama kenyatta alimuuwa babake...

anyway mimi i just wanted to clarify this informatio!!!...kata ishu!!!
 
..KWENYE HICHO KITABU.."MEMORIES OF MY FATHER:" by barrack obama...yeye mwenyewe ndio anaelezea namna baba yake alivyoingia kwenye lindi la ulevi...SASA SIDHANI KAMA MTOTO WA KUMZAA MWENYEWE angekuwa na haja ya kuficha kama kenyatta alimuuwa babake...

anyway mimi i just wanted to clarify this informatio!!!...kata ishu!!!

Mkapa alifanya ufisadi kwa sababu ya wimbi la ulevi?
Hivi unajua ni kwanini hata Kibaki anamwogopa vibaya sana?
Kwanini hata Kikwete mwenyewe na kina Andrew Young na kina Sinclair hawataki ashinde?
Hivi hujui kuwa nyakati zile za zamani ulikuwa ukitoka kusoma nje ya nchi halafu una mawazo ya tofauti ya kuwatetea wanyonge unauwawa?
Unajua ni mara ngapi serikali hizo zilishirikiana kwenye hili la kuwadhibiti watu wenye mawazo ya tofauti?
 
Hivi ndugu yangu Philemon...Unafikiri Historia ikiandikwa upya Tanzania yetu haita muenzi Kambona kwa namna moja ama nyingine?
Nani asiyekumbuka tulivyokuwa tukiimba kuwa ameolewa huko Uingereza...Sasa si afadhali yeye kuolewa kuliko huu uchangudoa wa hawa Viongozi wetu wa sasa?!
 
Nilioposema Anna Muganda Ballali abanwe ili atoe habari...JASUSI alinitukana matusi ya nguoni!
MWK alishabikia isipokuwa baadhi ya watu kama kina Mtanzania...MKJJ naye ilimchukua muda!
Field Marshall bado nampa respect kwasababu yeye ndiye kama mzee wangu aliyenipokea kwa mikono miwili hapa JF...Yeye pia hupenda kuwa upande wa haki!
Wewe ni mpambe tu na ndiye unayetaka umaarufu!

Nimeipata copy ya debate kati yako na Jasusi na nimekuwekea link hapa. Hayo matusi ya nguoni uliyotukanwa na Jasusi yako wapi?

https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=13873&page=41
 
Back
Top Bottom