jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,375
- 25,453
hoja ya kifo cha baba yake Obama umeileta wewe hapa ingawa bado haionekani kama inahusiana vipi na kinachoendelea hapa. Kwa vile mpaka sasa hujaleta uthibitisho wa habari ya Ballali, nitakuhesabu wewe kama fisadi, mzushi, na mshirikina.
Uthibitisho muulize huyo uliye MPA na unayetaka KUMPA 2010 ili aendelee kukusafisha vizuri zaidi!