Kutoa ajira kwa waliofeli divisheni 4 tena kuanzia point 28 mpaka 31 ni kutuharibia jamii

Kwa elimu ya kidato cha nne alifeli huyo maana hata form five haendi huyo.

lakini pointi yangu ajira kama tunaajiri kidato cha nne basi tushindanishe wa kidato cha nne walioko mtaani na kati ya wale watakaojitokeza basi tuchukue the best katika hao.

kwa vigezo vyao kama mtu alipata divisheni 2 au 3 na hana lolote kwa sasa maana kuna mtu anaweza kupata hata 1 form four na six akachemsha lakini hawa wanasema huyo hana vigezo
Kufeli ni kupata division four au kupatao one isiyo kupa kipato?

Je tukiajiri div one pekee hawa wenye four tuwaweke wapi?

Ni dhamu ya wenye four, nyie wenye one subirini kazi za proffession zenu.
 
Kama sikosei tumeambiwa Uhamiaji litakuwa jeshi kamili.Na kama tujuavyo siyo kazi nyingi za jeshi zinahitaji waliosoma sana.Kugundua na kukamata wahamiaji haramu haihitaji elimu kubwa sana ya darasani.
Kuhusu Mrema alipopendekeza wafungwa kutengeneza SGR siyo jambo la ajabu.
Inasemekana kama sikusahau au sikosei hata wachina walipojenga reli ya Tazara walitumia wafungwa wao kujenga! Kutumia wafungwa kujenga,mbali na kukosesha ajira watu,inapunguza matumizi yasiyo ya lazima kwa aijili ya maendeleo.
 
Kuna chuo kikuu na chuo. Huyo aliyefeli anaweza kufundisha chuo na siyo chuo kikuu. Kwasababu kuna chuo cha mapishi, cha mapenzi, mabaunsa, muziki n.k
Chuo kikuu hakuna mwenye GPA mbovu yupo pale anafundisha. GPA zote ziwe zinaruhusu kusoma Masters. 2015 UDOM walikuwa wanashinikiza wakufunzi wote wawe na masters
Kwahiyo hujui na au huamini kuwa hakuna walimu wa vyuo waliofeli??
 
Mama anaupiga mwingi....ajira nje nje. Tunamuombea kwa Mwenyezi Mungu amzidishie hekima na busara.
 
F = Fail
A,B,C,D = Pass
Mr J alisoma mchepuo wa sayansi O'level na alipata matikeo kam ifuatavyo.

Math =F
Eng. =F
Phy =D
Chem =D
Bio. =D
Geo =D
Hist. =D
Kisw. =D
Civ. =D
Bible. =F
Hiyo ni sawa na division 4 point 28.

Vip huyo amefeli pia....
Mr J anasifa za kusoma hadi PHD.
Umeelezea,na umeweleweka,utaona wengi wanasema aliyepata Division 4,amefeli,hii ni sheria au ni vipi,hata shule nyingi za binafsi zinazojitangaza,kupata wanafunzi,huwa wanasema hatuna division 4.
 
Nimeona matangazo ya ajira ya uhamiaji kuwa wanahitaji kidato cha 4 waliopata divishen 4 kuanzia pointi 28 mpaka 31 nikajiuliza sana.

Hivi taifa hili akili huwa tunazipeleka wapi? kwa nini uwe specific kutoa upendeleo kwa waliofeli? unaipeleka wapi jamii yetu kwa upendeleo wa aina hiyo?

Tangazo hilo nimeliona wizara ya mambo ya ndani upande wa uhamiaji.

Lakini kwa kumbukumbu zangu wizara hii huwa inaibuka na mambo ya ajabu ajabu tu, nakumbuka mwenyekiti wa parole ndugu Augustine Mrema naye aliwahi kuomba ujenzi wa reli SGR watumike wafungwa. Mimi nilimshangaa Mrema, mtu ambaye aliwahi kugombea Urais wa nchi hii unawaza vile? Kwamba wakati una vijana wengi wako mitaani hawana ajira unatoa kipaumbele kwa wafungwa kwenye ajira maana yake ni kuwaambia vijana wakafanye uhalifu wafungwe ndipo wapate ajira.

Ndiyo maana yake maana kama unawanyima vijana walioko mtaani ajira na unatoa jira kwa wafungwa unakuwa unapeleka ujumbe kwa vijana kuwa wakawe waarifu ndiyo wapate kazi na uhalifu utaongezeka maana vijana waliokata tamaa kwa kukosa ajira ni wengi na ukiwaonyesha wafungwa wanapewa kipaumbele watafuta kufungwa ili kupata ajira.

Tukirudi kwenye mada yetu ya kutoa kipaumbele kwa waliofeli.

Wapo wachache wanaodai ukimuajiri aliyefaulu anafanya kazi miaka michache na kutaka kwenda kusoma. ninasema wapuuzi wachache tena ambao hatuwezi kuwasikiliza tunapotaka kufanya maendeleo katika nchi hii.

Tunalo tatizo kubwa sana la ajira katika nchi hii kwa kuwa na vyuo vingi na shule nyingi zikizalisha wahitimu kila mwaka na wengi wanakosa ajira na kuishia kufanya shughuli za kipuuzi mitaani. watu hawa wanaweza kuajirika popote na wakakaa makazini kwa masharti ya mwajiri.

Mbona kuna watumishi wameajiriwa na kukaa kazini miaka zaidi ya 5 bila kupanda vyeo wala mishahara na humu kuna watu walikuwa na elimu kubwa lakini wakawa wanafanya kazi za chini.

Nina ndugu yangu amesoma ana masters ya business admnistration na kwa sasa anafanya kazi ya mtendaji wa kata

Halafu kuna mpuuzi mmoja sehemu anasema wasomi ukiwaajiri hawafanyi kazi hivyo tuajiri waliofeli??????

Hawa hawatujengei taifa bali kulibomoa
Lengo ni kupata askari wa malindo na Doria!

Kwani hiyo inahitaji shahada!?

wakihitaji wataalam au wasomi watatutangazia
 
Hatari sana, ndiyo maana jeshi la polisi linaongoza kuwa na watu wasiojitambua, sababu ni haya haya mambo. Unakuta na polisi ukimsikiliza hadi unaona aibu wewe.
 
huu upuuzi kbsa, kuzan kuwa ufaulu wa darasan, unaendana na utendaji wa kazi, hizi colonial education zmewaharbu sana akil kwa kuwapa vipaumbele hao wasomi uchwara ktk kila jambo mnataka wapendelewe.

kufel form4 sio kigezo cha mtu kukosa akil na uwajibikan, kufaul form4 sio kigezo cha kuwa muwajibikaj, achen fikra potofu, jiulizen kwann matatizo hayakakwishi nchini japo kuna wasomi weng ktk kila nyanja???? mtoa mada bado ana mindset zakitumwa
Kesho la polisi liko hovyo kwa sababu ya kuchukua failures. Kama ufaulu wa darasani sio hoja, basi tusifanye mtihani ili kila aliyesoma apate fursa sawa na mwingine, otherwise mitihani ni lazima ili kutafuta competence.
 
Hakuna mtu hua anafeli mtihani hapa bongo tatizo lipo kwenye mfumo wa Elimu mbovu yaani mtu unasoma miaka 7 +4+2 halafu unakuja pewa mtihani mmoja ndio unaamua hatma ya Elimu Yako hiyo ni mbaya Sana sababu Kwa wale wenye uelewa wa taratibu itawagharimu tu mwisho wa siku wanaonekana kufeli kumbe Kuna vitu na maada specifically wanazielewa ila ndio utakuta hata kwenye mtihani hazipo sababu mtihani wenyewe imekaa zig zag balaa Hivyo Ili kuuwezea inahitaji mbinu mbadala!

Elimu ni mbovu bongo!

Elimu! Elimu! Elimu!
 
Nimeona matangazo ya ajira ya uhamiaji kuwa wanahitaji kidato cha 4 waliopata divishen 4 kuanzia pointi 28 mpaka 31 nikajiuliza sana.

Hivi taifa hili akili huwa tunazipeleka wapi? kwa nini uwe specific kutoa upendeleo kwa waliofeli? unaipeleka wapi jamii yetu kwa upendeleo wa aina hiyo?

Tangazo hilo nimeliona wizara ya mambo ya ndani upande wa uhamiaji.

Lakini kwa kumbukumbu zangu wizara hii huwa inaibuka na mambo ya ajabu ajabu tu, nakumbuka mwenyekiti wa parole ndugu Augustine Mrema naye aliwahi kuomba ujenzi wa reli SGR watumike wafungwa. Mimi nilimshangaa Mrema, mtu ambaye aliwahi kugombea Urais wa nchi hii unawaza vile? Kwamba wakati una vijana wengi wako mitaani hawana ajira unatoa kipaumbele kwa wafungwa kwenye ajira maana yake ni kuwaambia vijana wakafanye uhalifu wafungwe ndipo wapate ajira.

Ndiyo maana yake maana kama unawanyima vijana walioko mtaani ajira na unatoa jira kwa wafungwa unakuwa unapeleka ujumbe kwa vijana kuwa wakawe waarifu ndiyo wapate kazi na uhalifu utaongezeka maana vijana waliokata tamaa kwa kukosa ajira ni wengi na ukiwaonyesha wafungwa wanapewa kipaumbele watafuta kufungwa ili kupata ajira.

Tukirudi kwenye mada yetu ya kutoa kipaumbele kwa waliofeli.

Wapo wachache wanaodai ukimuajiri aliyefaulu anafanya kazi miaka michache na kutaka kwenda kusoma. ninasema wapuuzi wachache tena ambao hatuwezi kuwasikiliza tunapotaka kufanya maendeleo katika nchi hii.

Tunalo tatizo kubwa sana la ajira katika nchi hii kwa kuwa na vyuo vingi na shule nyingi zikizalisha wahitimu kila mwaka na wengi wanakosa ajira na kuishia kufanya shughuli za kipuuzi mitaani. watu hawa wanaweza kuajirika popote na wakakaa makazini kwa masharti ya mwajiri.

Mbona kuna watumishi wameajiriwa na kukaa kazini miaka zaidi ya 5 bila kupanda vyeo wala mishahara na humu kuna watu walikuwa na elimu kubwa lakini wakawa wanafanya kazi za chini.

Nina ndugu yangu amesoma ana masters ya business admnistration na kwa sasa anafanya kazi ya mtendaji wa kata

Halafu kuna mpuuzi mmoja sehemu anasema wasomi ukiwaajiri hawafanyi kazi hivyo tuajiri waliofeli??????

Hawa hawatujengei taifa bali kulibomoa
Ukiona hivyo, mtoa tangazo ana mbumbumbu wake kubao nyumbani. Matatizo yanayolipata jeshi la polisi kwa sasa ni kuwa na askari wengi wenye elimu ndogo. Uhamiaji mna iga? Kuzolota kwa elimu nchini lililetwa na kozi ya ualimu kuwachukua 'waliobaki' baada ya kuengua wa kuendelea na masomo na kozi zingine. Kuna walio faulu zaidi ya div 4 wamekosa nafasi kuendelea A level au vyuo wapo mitaani, kwa nini wazuiwe kuomba? Kuwa na failures uhamiaji ni sifa?
 
Tanzania wasomi wanachukiwa sana coz wengi wa watz ni failures in both side angalia MUSUKUMA kila akilala anawaaza watu wenye degrees and above huyu ana represent milions of tanzanian wanaoamini huwezi kupata kitu bila kumwangusha aliyejuu
 
Mtoa mada hujaelimika hata kama umefika chuo kikuu unaweza zidiwa na hao div 4.
Aliekwambia div 4 ni failure nani?
NECTA ndio wana eleza kuwa div4 ni failure au wizara ya elimu?
Kamsome plato upya jinsi ya kupanga makundi ya watu kuanzia Gold mpaka Silver.
Huna lolote kichwani, jeshi huwa linatoa special chance kwa graduate.
Umesoma mpaka chuo bado unawivu na vinafasi vya watu wa chini.
Anzisha kampuni uajiri wahitimu wenye digrii lakin usiipangie serikali.
 
Back
Top Bottom