NECTA rudisheni utaratibu wa kutoa matokeo ya mtihani wa kidato cha nne na cha sita kwa majina kilichotokea si kigeni mitaani huku

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Mar 6, 2014
4,451
9,374
Suala ambalo limejitokeza wiki hii mwanafunzi kungangania namba ya mtihani ambayo si yake na kusema ni yake si geni kwenye jamii zetu, wazazi ambao si waelewa sana wanadanganywa sana na watoto zao pale matokeo yanapotoka hasa mwanafunzi akiferi wengi huchukua namba za wenzao na kusema ni namba zao wanafunzi wengine hudanganya wazazi wamesahau namba wengine huenda mbali na kusema wamefauru kwa kupata arama zinazomuwezesha kwenda chuo cha kati.

Hivyo wazazi wanaingia gharama kutoa pesa mtoto aende chuo kijana anapanda gari anafika chuo husika anapanga gheto anakuwa asomi anaishi kubet, kunywa pombe, na kuomba pesa kwa wazazi za matumizi yani kijana anadanganya miaka hata sita kuwa yupo chuo wazazi wanatuma pesa nk mwisho wa siku wazazi wanagundua ni uongo wanaishia kulalamika tu ila chanzo nini hawakujua matokeo ya mtoto wao kidato cha nne kwani yalitoka kwa namba nao uelewa mdogo.

Kwahiyo toeni kwa majina ili iwe vyepesi hata majirani kujua mtoto wa bwana kipara matata kafauru au kaferi, leo hii kuna wazazi wengi wanamini vijana wao wapo vyuo wanasoma au wamehitimu astashahada furani kumbe ni invalid wana vyeti vya stationary wana matokeo ya stationary wanakuja umbuka hawataki kazi wanasumbua wazazi wawape mitaji wajiajiri lengo wasijulikane kama waliferi na wana vyeti feki.

Wito wangu NECTA rudisheni utaratibu wa zamani matokeo ya kidato cha nene na kidato cha sita toeni kwa majina kama aibu iwe sawa tusiogope kwanza hii inaweza saidia wanafunzi jituma maana akiferi atanikwa hii kuficha ficha ni tatizo kwanza kuferi si ugonjwa weekeni mambo hadharani.

Mbona matokeo ya upimaji kidato cha pili, darasa la nne na matokeo ya mtihani wa darasa la saba mnatoa matokeo kwa jina la mtahiniwa kwanini kidato cha nne na kidato cha sita mnatoa kwa number pekee wekeni mambo hadharani wajomba wanatudanganya sana anapata zero anakwambia amepata division four ya 28 anakusumbua umpe mtaji ataki shule, ukimwambia nenda VETA ataki at the end anataka umnunulie bodaboda yani ni shida juu ya shida NECTA tueleweni.
 
Suala ambalo limejitokeza wiki hii mwanafunzi kungangania namba ya mtihani ambayo si yake na kusema ni yake si geni kwenye jamii zetu, wazazi ambao si waelewa sana wanadanganywa sana na watoto zao pale matokeo yanapotoka hasa mwanafunzi akiferi wengi huchukua namba za wenzao na kusema ni namba zao wanafunzi wengine hudanganya wazazi wamesahau namba wengine huenda mbali na kusema wamefauru kwa kupata arama zinazomuwezesha kwenda chuo cha kati.

Hivyo wazazi wanaingia gharama kutoa pesa mtoto aende chuo kijana anapanda gari anafika chuo husika anapanga gheto anakuwa asomi anaishi kubet, kunywa pombe, na kuomba pesa kwa wazazi za matumizi yani kijana anadanganya miaka hata sita kuwa yupo chuo wazazi wanatuma pesa nk mwisho wa siku wazazi wanagundua ni uongo wanaishia kulalamika tu ila chanzo nini hawakujua matokeo ya mtoto wao kidato cha nne kwani yalitoka kwa namba nao uelewa mdogo.

Kwahiyo toeni kwa majina ili iwe vyepesi hata majirani kujua mtoto wa bwana kipara matata kafauru au kaferi, leo hii kuna wazazi wengi wanamini vijana wao wapo vyuo wanasoma au wamehitimu astashahada furani kumbe ni invalid wana vyeti vya stationary wana matokeo ya stationary wanakuja umbuka hawataki kazi wanasumbua wazazi wawape mitaji wajiajiri lengo wasijulikane kama waliferi na wana vyeti feki.

Wito wangu NECTA rudisheni utaratibu wa zamani matokeo ya kidato cha nene na kidato cha sita toeni kwa majina kama aibu iwe sawa tusiogope kwanza hii inaweza saidia wanafunzi jituma maana akiferi atanikwa hii kuficha ficha ni tatizo kwanza kuferi si ugonjwa weekeni mambo hadharani.

Mbona matokeo ya upimaji kidato cha pili, darasa la nne na matokeo ya mtihani wa darasa la saba mnatoa matokeo kwa jina la mtahiniwa kwanini kidato cha nne na kidato cha sita mnatoa kwa number pekee wekeni mambo hadharani wajomba wanatudanganya sana anapata zero anakwambia amepata division four ya 28 anakusumbua umpe mtaji ataki shule, ukimwambia nenda VETA ataki at the end anataka umnunulie bodaboda yani ni shida juu ya shida NECTA tueleweni.
Huu mfumo ni mzuri lazima privacy za watu zilindwe kwa gharama kubwa Sana .

Huu mchezo wa kusomea jina ulianza zamani na Muda huu umekomeshwa kwa kias Fulani.
 
hakuna hoja
uvivu wa ufatiliaji wa wazazi ndo hupelekea haya,

maendeleo ya mtoto wako unayafahamu yaani hushangai mtu wa kupata 0 anakuhadaa kapata 1 na ww unakurupuka kukubali
 
Suala ambalo limejitokeza wiki hii mwanafunzi kungangania namba ya mtihani ambayo si yake na kusema ni yake si geni kwenye jamii zetu, wazazi ambao si waelewa sana wanadanganywa sana na watoto zao pale matokeo yanapotoka hasa mwanafunzi akiferi wengi huchukua namba za wenzao na kusema ni namba zao wanafunzi wengine hudanganya wazazi wamesahau namba wengine huenda mbali na kusema wamefauru kwa kupata arama zinazomuwezesha kwenda chuo cha kati.

Hivyo wazazi wanaingia gharama kutoa pesa mtoto aende chuo kijana anapanda gari anafika chuo husika anapanga gheto anakuwa asomi anaishi kubet, kunywa pombe, na kuomba pesa kwa wazazi za matumizi yani kijana anadanganya miaka hata sita kuwa yupo chuo wazazi wanatuma pesa nk mwisho wa siku wazazi wanagundua ni uongo wanaishia kulalamika tu ila chanzo nini hawakujua matokeo ya mtoto wao kidato cha nne kwani yalitoka kwa namba nao uelewa mdogo.

Kwahiyo toeni kwa majina ili iwe vyepesi hata majirani kujua mtoto wa bwana kipara matata kafauru au kaferi, leo hii kuna wazazi wengi wanamini vijana wao wapo vyuo wanasoma au wamehitimu astashahada furani kumbe ni invalid wana vyeti vya stationary wana matokeo ya stationary wanakuja umbuka hawataki kazi wanasumbua wazazi wawape mitaji wajiajiri lengo wasijulikane kama waliferi na wana vyeti feki.

Wito wangu NECTA rudisheni utaratibu wa zamani matokeo ya kidato cha nene na kidato cha sita toeni kwa majina kama aibu iwe sawa tusiogope kwanza hii inaweza saidia wanafunzi jituma maana akiferi atanikwa hii kuficha ficha ni tatizo kwanza kuferi si ugonjwa weekeni mambo hadharani.

Mbona matokeo ya upimaji kidato cha pili, darasa la nne na matokeo ya mtihani wa darasa la saba mnatoa matokeo kwa jina la mtahiniwa kwanini kidato cha nne na kidato cha sita mnatoa kwa number pekee wekeni mambo hadharani wajomba wanatudanganya sana anapata zero anakwambia amepata division four ya 28 anakusumbua umpe mtaji ataki shule, ukimwambia nenda VETA ataki at the end anataka umnunulie bodaboda yani ni shida juu ya shida NECTA tueleweni.

Tumechoka kuona ndugu zetu wakina yakhe huko visiwani na kwengineko wakiburuza mkia,tumefanya kuwafichia aibu.
 
Mtoto wangu hanidanganyi jamani labda kama sio mimi Demi niliyesoma kayumba enzi za Mwalimu..

Matokeo yakitoka najua baada ya muda mfupi transcripts zitakuwa zimetoka.
Dogo nenda shule ukaniletee transcript
 
Nina ushuhuda kwenye hili. Dogo kafeli halafu kadanganya kwao amechaguliwa chuo, wazazi ni kujichanga huku dogo akila bata tu mjini.
Mwisho wa siku ajira zenyewe si ni kama hazipo, karudi zake home tu kutia huruma.
Kuna kijana wa jamaa yangu wa karibu kafanya kama unavyosema lakini yeye alipata matokeo mazuri ya kwenda CO lakini alipo kwenda chuo alisoma mwaka mmoja tu baada ya hapo akaachilia mbali chuo lakini akawa anaendelea kupewa ada na huduma zote zinazohusu chuo na wazazi wake mwisho wa siku miaka mitatu ilipoisha wazazi wanamwambia wamwombee ajira kwenye private sector alete vyeti anakodoa macho. Mzazi akaamua afuatilie kule chuoni alipo fika alichoambiwa alimpigia cm mkewe akiwa huko huko chuo na kumueleza akifika pale nyumbani asimkute yule mtoto wasije wakagawana majengo ya serikali. Kijana kakimbilia kwa wajomba xake
 
Suala ambalo limejitokeza wiki hii mwanafunzi kungangania namba ya mtihani ambayo si yake na kusema ni yake si geni kwenye jamii zetu, wazazi ambao si waelewa sana wanadanganywa sana na watoto zao pale matokeo yanapotoka hasa mwanafunzi akiferi wengi huchukua namba za wenzao na kusema ni namba zao wanafunzi wengine hudanganya wazazi wamesahau namba wengine huenda mbali na kusema wamefauru kwa kupata arama zinazomuwezesha kwenda chuo cha kati.

Hivyo wazazi wanaingia gharama kutoa pesa mtoto aende chuo kijana anapanda gari anafika chuo husika anapanga gheto anakuwa asomi anaishi kubet, kunywa pombe, na kuomba pesa kwa wazazi za matumizi yani kijana anadanganya miaka hata sita kuwa yupo chuo wazazi wanatuma pesa nk mwisho wa siku wazazi wanagundua ni uongo wanaishia kulalamika tu ila chanzo nini hawakujua matokeo ya mtoto wao kidato cha nne kwani yalitoka kwa namba nao uelewa mdogo.

Kwahiyo toeni kwa majina ili iwe vyepesi hata majirani kujua mtoto wa bwana kipara matata kafauru au kaferi, leo hii kuna wazazi wengi wanamini vijana wao wapo vyuo wanasoma au wamehitimu astashahada furani kumbe ni invalid wana vyeti vya stationary wana matokeo ya stationary wanakuja umbuka hawataki kazi wanasumbua wazazi wawape mitaji wajiajiri lengo wasijulikane kama waliferi na wana vyeti feki.

Wito wangu NECTA rudisheni utaratibu wa zamani matokeo ya kidato cha nene na kidato cha sita toeni kwa majina kama aibu iwe sawa tusiogope kwanza hii inaweza saidia wanafunzi jituma maana akiferi atanikwa hii kuficha ficha ni tatizo kwanza kuferi si ugonjwa weekeni mambo hadharani.

Mbona matokeo ya upimaji kidato cha pili, darasa la nne na matokeo ya mtihani wa darasa la saba mnatoa matokeo kwa jina la mtahiniwa kwanini kidato cha nne na kidato cha sita mnatoa kwa number pekee wekeni mambo hadharani wajomba wanatudanganya sana anapata zero anakwambia amepata division four ya 28 anakusumbua umpe mtaji ataki shule, ukimwambia nenda VETA ataki at the end anataka umnunulie bodaboda yani ni shida juu ya shida NECTA tueleweni.
Lakini Mkuu! Selection ya kwenda A level au vyuo uwa inatoka kwa majina. Hivyo hii ya kwenda kuripoti kwa jina la mtu mwingine halitamalizwa kwa NECTA kutoa matokeo yanayoonesha majina. Labda ungeshauri hao wanaosahau majina yao kama huyo binti wawe wanagongwa muhuli wa jina lake kwenye paji la uso wake!
 
Back
Top Bottom