REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,451
- 9,374
Suala ambalo limejitokeza wiki hii mwanafunzi kungangania namba ya mtihani ambayo si yake na kusema ni yake si geni kwenye jamii zetu, wazazi ambao si waelewa sana wanadanganywa sana na watoto zao pale matokeo yanapotoka hasa mwanafunzi akiferi wengi huchukua namba za wenzao na kusema ni namba zao wanafunzi wengine hudanganya wazazi wamesahau namba wengine huenda mbali na kusema wamefauru kwa kupata arama zinazomuwezesha kwenda chuo cha kati.
Hivyo wazazi wanaingia gharama kutoa pesa mtoto aende chuo kijana anapanda gari anafika chuo husika anapanga gheto anakuwa asomi anaishi kubet, kunywa pombe, na kuomba pesa kwa wazazi za matumizi yani kijana anadanganya miaka hata sita kuwa yupo chuo wazazi wanatuma pesa nk mwisho wa siku wazazi wanagundua ni uongo wanaishia kulalamika tu ila chanzo nini hawakujua matokeo ya mtoto wao kidato cha nne kwani yalitoka kwa namba nao uelewa mdogo.
Kwahiyo toeni kwa majina ili iwe vyepesi hata majirani kujua mtoto wa bwana kipara matata kafauru au kaferi, leo hii kuna wazazi wengi wanamini vijana wao wapo vyuo wanasoma au wamehitimu astashahada furani kumbe ni invalid wana vyeti vya stationary wana matokeo ya stationary wanakuja umbuka hawataki kazi wanasumbua wazazi wawape mitaji wajiajiri lengo wasijulikane kama waliferi na wana vyeti feki.
Wito wangu NECTA rudisheni utaratibu wa zamani matokeo ya kidato cha nene na kidato cha sita toeni kwa majina kama aibu iwe sawa tusiogope kwanza hii inaweza saidia wanafunzi jituma maana akiferi atanikwa hii kuficha ficha ni tatizo kwanza kuferi si ugonjwa weekeni mambo hadharani.
Mbona matokeo ya upimaji kidato cha pili, darasa la nne na matokeo ya mtihani wa darasa la saba mnatoa matokeo kwa jina la mtahiniwa kwanini kidato cha nne na kidato cha sita mnatoa kwa number pekee wekeni mambo hadharani wajomba wanatudanganya sana anapata zero anakwambia amepata division four ya 28 anakusumbua umpe mtaji ataki shule, ukimwambia nenda VETA ataki at the end anataka umnunulie bodaboda yani ni shida juu ya shida NECTA tueleweni.
Hivyo wazazi wanaingia gharama kutoa pesa mtoto aende chuo kijana anapanda gari anafika chuo husika anapanga gheto anakuwa asomi anaishi kubet, kunywa pombe, na kuomba pesa kwa wazazi za matumizi yani kijana anadanganya miaka hata sita kuwa yupo chuo wazazi wanatuma pesa nk mwisho wa siku wazazi wanagundua ni uongo wanaishia kulalamika tu ila chanzo nini hawakujua matokeo ya mtoto wao kidato cha nne kwani yalitoka kwa namba nao uelewa mdogo.
Kwahiyo toeni kwa majina ili iwe vyepesi hata majirani kujua mtoto wa bwana kipara matata kafauru au kaferi, leo hii kuna wazazi wengi wanamini vijana wao wapo vyuo wanasoma au wamehitimu astashahada furani kumbe ni invalid wana vyeti vya stationary wana matokeo ya stationary wanakuja umbuka hawataki kazi wanasumbua wazazi wawape mitaji wajiajiri lengo wasijulikane kama waliferi na wana vyeti feki.
Wito wangu NECTA rudisheni utaratibu wa zamani matokeo ya kidato cha nene na kidato cha sita toeni kwa majina kama aibu iwe sawa tusiogope kwanza hii inaweza saidia wanafunzi jituma maana akiferi atanikwa hii kuficha ficha ni tatizo kwanza kuferi si ugonjwa weekeni mambo hadharani.
Mbona matokeo ya upimaji kidato cha pili, darasa la nne na matokeo ya mtihani wa darasa la saba mnatoa matokeo kwa jina la mtahiniwa kwanini kidato cha nne na kidato cha sita mnatoa kwa number pekee wekeni mambo hadharani wajomba wanatudanganya sana anapata zero anakwambia amepata division four ya 28 anakusumbua umpe mtaji ataki shule, ukimwambia nenda VETA ataki at the end anataka umnunulie bodaboda yani ni shida juu ya shida NECTA tueleweni.