Kutoa ajira kwa waliofeli divisheni 4 tena kuanzia point 28 mpaka 31 ni kutuharibia jamii

ego

JF-Expert Member
Apr 10, 2013
1,620
1,407
Nimeona matangazo ya ajira ya uhamiaji kuwa wanahitaji kidato cha 4 waliopata divishen 4 kuanzia pointi 28 mpaka 31 nikajiuliza sana.

Hivi taifa hili akili huwa tunazipeleka wapi? kwa nini uwe specific kutoa upendeleo kwa waliofeli? unaipeleka wapi jamii yetu kwa upendeleo wa aina hiyo?

Tangazo hilo nimeliona wizara ya mambo ya ndani upande wa uhamiaji.

Lakini kwa kumbukumbu zangu wizara hii huwa inaibuka na mambo ya ajabu ajabu tu, nakumbuka mwenyekiti wa parole ndugu Augustine Mrema naye aliwahi kuomba ujenzi wa reli SGR watumike wafungwa. Mimi nilimshangaa Mrema, mtu ambaye aliwahi kugombea Urais wa nchi hii unawaza vile? Kwamba wakati una vijana wengi wako mitaani hawana ajira unatoa kipaumbele kwa wafungwa kwenye ajira maana yake ni kuwaambia vijana wakafanye uhalifu wafungwe ndipo wapate ajira.

Ndiyo maana yake maana kama unawanyima vijana walioko mtaani ajira na unatoa jira kwa wafungwa unakuwa unapeleka ujumbe kwa vijana kuwa wakawe waarifu ndiyo wapate kazi na uhalifu utaongezeka maana vijana waliokata tamaa kwa kukosa ajira ni wengi na ukiwaonyesha wafungwa wanapewa kipaumbele watafuta kufungwa ili kupata ajira.

Tukirudi kwenye mada yetu ya kutoa kipaumbele kwa waliofeli.

Wapo wachache wanaodai ukimuajiri aliyefaulu anafanya kazi miaka michache na kutaka kwenda kusoma. ninasema wapuuzi wachache tena ambao hatuwezi kuwasikiliza tunapotaka kufanya maendeleo katika nchi hii.

Tunalo tatizo kubwa sana la ajira katika nchi hii kwa kuwa na vyuo vingi na shule nyingi zikizalisha wahitimu kila mwaka na wengi wanakosa ajira na kuishia kufanya shughuli za kipuuzi mitaani. watu hawa wanaweza kuajirika popote na wakakaa makazini kwa masharti ya mwajiri.

Mbona kuna watumishi wameajiriwa na kukaa kazini miaka zaidi ya 5 bila kupanda vyeo wala mishahara na humu kuna watu walikuwa na elimu kubwa lakini wakawa wanafanya kazi za chini.

Nina ndugu yangu amesoma ana masters ya business admnistration na kwa sasa anafanya kazi ya mtendaji wa kata

Halafu kuna mpuuzi mmoja sehemu anasema wasomi ukiwaajiri hawafanyi kazi hivyo tuajiri waliofeli??????

Hawa hawatujengei taifa bali kulibomoa
 
nimeona matangazo ya ajira ya uhamiaji kuwa wanahitaji kidato cha 4 waliopata divishen 4 kuanzia pointi 28 mpaka 31 nikajiuliza sana.

Hivi taifa hili akili huwa tunazipeleka wapi? kwa nini uwe specific kutoa upendeleo kwa waliofeli? unaipeleka wapi jamii yetu kwa upendeleo wa aina hiyo?

Tangazo hilo nimeliona wizara ya mambo ya ndani upande wa uhamiaji.

lakini kwa kumbukumbu zangu wizara hii huwa inaibuka na mambo ya ajabu ajabu tu, nakumbuka mwenyekiti wa parole ndugu augustine mrema naye aliwahi kuomba ujenzi wa reli SGR watumike wafungwa. Mimi nilimshangaa mrema, mtu ambaye aliwahi kugombea uraisi wa nchi hii unawaza vile? kwamba wakati una vijana wengi wako mitaani hawana ajira unatoa kipaumbele kwa wafungwa kwenye ajira maana yake ni kuwaambia vijana wakafanye uhalifu wafungwe ndipo wapate ajira.

Ndiyo maana yake maana kama unawanyima vijana walioko mtaani ajira na unatoa jira kwa wafungwa unakuwa unapeleka ujumbe kwa vijana kuwa wakawe waarifu ndiyo wapate kazi na uhalifu utaongezeka maana vijana waliokata tamaa kwa kukosa ajira ni wengi na ukiwaonyesha wafungwa wanapewa kipaumbele watafuta kufungwa ili kupata ajira.

Tukirudi kwenye mada yetu ya kutoa kipaumbele kwa waliofeli.

wapo wapuuzi wachache wanaodai ukimuajiri aliyefaulu anafanya kazi miaka michache na kutaka kwenda kusoma. ninasema wapuuzi wachache tena ambao hatuwezi kuwasikiliza tunapotaka kufanya maendeleo katika nchi hii.

Tunalo tatizo kubwa sana la ajira katika nchi hii kwa kuwa na vyuo vingi na shule nyingi zikizalisha wahitimu kila mwaka na wengi wanakosa ajira na kuishia kufanya shughuli za kipuuzi mitaani. watu hawa wanaweza kuajirika popote na wakakaa makazini kwa masharti ya mwajiri.

mbona kuna watumishi wameajiriwa na kukaa kazini miaka zaidi ya 5 bila kupanda vyeo wala mishahara na humu kuna watu walikuwa na elimu kubwa lakini wakawa wanafanya kazi za chini.

nina ndugu yangu amesoma ana masters ya business admnistration na kwa sasa anafanya kazi ya mtendaji wa kata

alafu kuna mpuuzi mmoja sehemu anasema wasomi ukiwaajiri hawafanyi kazi hivyo tuajiri waliofeli??????

hawa hawatujengei taifa bali kulibomoa
F = Fail
A,B,C,D = Pass
Mr J alisoma mchepuo wa sayansi O'level na alipata matikeo kam ifuatavyo.

Math =F
Eng. =F
Phy =D
Chem =D
Bio. =D
Geo =D
Hist. =D
Kisw. =D
Civ. =D
Bible. =F
Hiyo ni sawa na division 4 point 28.

Vip huyo amefeli pia....
Mr J anasifa za kusoma hadi PHD.
 
F = Fail
A,B,C,D = Pass
Mr J alisoma mchepuo wa sayansi O'level na alipata matikeo kam ifuatavyo.

Math =F
Eng. =F
Phy =D
Chem =D
Bio. =D
Geo =D
Hist. =D
Kisw. =D
Civ. =D
Bible. =F
Hiyo ni sawa na division 4 point 28.

Vip huyo amefeli pia....
Mr J anasifa za kusoma hadi PHD.
Kwa elimu ya kidato cha nne alifeli huyo maana hata form five haendi huyo.

lakini pointi yangu ajira kama tunaajiri kidato cha nne basi tushindanishe wa kidato cha nne walioko mtaani na kati ya wale watakaojitokeza basi tuchukue the best katika hao.

kwa vigezo vyao kama mtu alipata divisheni 2 au 3 na hana lolote kwa sasa maana kuna mtu anaweza kupata hata 1 form four na six akachemsha lakini hawa wanasema huyo hana vigezo
 
JKT ingefutwa maana haina lolote. Watu wanaotoka JKT wanaishia kuwa walinzi na kulialia mtaani
Ndiyo kundi linaongoza kwa wizi na ujambazi likikosa ajira. Mmoja wapo ni huyu.
Huyu muda si mrefu atakuwa mwizi na jambazi sugu.
Mkuu sisi tuliokwenda JKT kwa mujibu wa sheria ndiyo tulikuwa wa maana hasa hasa. Hawa vijana wanaokusanywa mitaani kwenda Jeshini ni kufundisha waporaji mbinu mpya na ujasiri.
 
Nimeona matangazo ya ajira ya uhamiaji kuwa wanahitaji kidato cha 4 waliopata divishen 4 kuanzia pointi 28 mpaka 31 nikajiuliza sana.

Hivi taifa hili akili huwa tunazipeleka wapi? kwa nini uwe specific kutoa upendeleo kwa waliofeli? unaipeleka wapi jamii yetu kwa upendeleo wa aina hiyo?

Tangazo hilo nimeliona wizara ya mambo ya ndani upande wa uhamiaji.

Lakini kwa kumbukumbu zangu wizara hii huwa inaibuka na mambo ya ajabu ajabu tu, nakumbuka mwenyekiti wa parole ndugu Augustine Mrema naye aliwahi kuomba ujenzi wa reli SGR watumike wafungwa. Mimi nilimshangaa Mrema, mtu ambaye aliwahi kugombea Urais wa nchi hii unawaza vile? Kwamba wakati una vijana wengi wako mitaani hawana ajira unatoa kipaumbele kwa wafungwa kwenye ajira maana yake ni kuwaambia vijana wakafanye uhalifu wafungwe ndipo wapate ajira.

Ndiyo maana yake maana kama unawanyima vijana walioko mtaani ajira na unatoa jira kwa wafungwa unakuwa unapeleka ujumbe kwa vijana kuwa wakawe waarifu ndiyo wapate kazi na uhalifu utaongezeka maana vijana waliokata tamaa kwa kukosa ajira ni wengi na ukiwaonyesha wafungwa wanapewa kipaumbele watafuta kufungwa ili kupata ajira.

Tukirudi kwenye mada yetu ya kutoa kipaumbele kwa waliofeli.

Wapo wachache wanaodai ukimuajiri aliyefaulu anafanya kazi miaka michache na kutaka kwenda kusoma. ninasema wapuuzi wachache tena ambao hatuwezi kuwasikiliza tunapotaka kufanya maendeleo katika nchi hii.

Tunalo tatizo kubwa sana la ajira katika nchi hii kwa kuwa na vyuo vingi na shule nyingi zikizalisha wahitimu kila mwaka na wengi wanakosa ajira na kuishia kufanya shughuli za kipuuzi mitaani. watu hawa wanaweza kuajirika popote na wakakaa makazini kwa masharti ya mwajiri.

Mbona kuna watumishi wameajiriwa na kukaa kazini miaka zaidi ya 5 bila kupanda vyeo wala mishahara na humu kuna watu walikuwa na elimu kubwa lakini wakawa wanafanya kazi za chini.

Nina ndugu yangu amesoma ana masters ya business admnistration na kwa sasa anafanya kazi ya mtendaji wa kata

Halafu kuna mpuuzi mmoja sehemu anasema wasomi ukiwaajiri hawafanyi kazi hivyo tuajiri waliofeli??????

Hawa hawatujengei taifa bali kulibomoa

Ni mkakati wa watu kuwapa ajira watoto, wajomba na vijana wao waliofeli wale matunda ya nchi... Ndio maana unasikia nina kijana wangu amefeli itabidi aende jeshini, au akasomee ualimu. Jiulize.
 
Muone km lamaa kamtukana mtoa mada. Mtoa mada anakosa gani?
Mnatakiwa muwe mfano hai na mzuri kwa jamii ili kila mtu apende kwenda JKT.
Mkuu sisi tuliokwenda JKT kwa mujibu wa sheria ndiyo tulikuwa wa maana hasa hasa. Hawa vijana wanaokusanywa mitaani kwenda Jeshini ni kufundisha waporaji mbinu.
 
hizi ni fikra potofu tu

hakuna kazi isiyohitaji usomi isipokuwa kwa watu wazembe wa kufikiri wanaopeleka mambo kwa mazoea tu
Asilimia kubwa kwenye wanaofanya operation ngumu za kivita kama kwenda congo nk uwa ni walio na elimu ndogo mkuu fatilia ukuti wamejazana wa degree kule
 
Siyo kweli katika sekta ambayo inahitaji wasomi na wanasayansi ni jeshi, polisi, magereza na uhamiaji.
Kila siku technolojia mpya inaibuka, huyu aliyefeli anaweza kupewa kazi ya ujasusi? Huyu aliyefeli anaweza kutengeneza website au virus au software yoyote kulinda taarifa zisiharibiwe na virus?
Wasomi wanahitajika sana, sasa hivi siyo km miaka ile ya 1945 ya vita ya pili kutegemea bunduki.
Sasa hivi mtu 1 au 5 wanaweza kuingamiza nchi na mkafa wote. Watu wanaingia laboratory wanatengeneza virus kisha watuma kwenye nchi yako kisha wanatengeneza na dawa. Unakufa huku unamtajirisha adui
Zama za nguvu zishapitwa na wakati sasa hivi watu wanatumia akili nyingi nguvu kidogo
Kazi za jeshi hakuna mambo ya division maana wanataka wapiga kazi sio wanaotaka mishahara mikubwa mkuu.
 
Kama waliofeli wako vizuri, waliopata dvn 1,2 & 3 wasiende form 5 ila wenye dvn 4 waendelee kusoma form 5 & 6 na kwenda chuo iwe hivyo hivyo.
Na chuo waliodisco wawe wanafundisha chuo maana wako vizuri.
Hata raisi anatakiwa aingie aliyefeli form 4,6 na chuo maana wako vizuri kuliko waliofaulu
Kwa kizazi cha leo, waliofeli wako vizuri kuliko hawa wanaofaulu
 
Siyo kweli katika sekta ambayo inahitaji wasomi na wanasayansi ni jeshi, polisi, magereza na uhamiaji.
Kila siku technolojia mpya inaibuka, huyu aliyefeli anaweza kupewa kazi ya ujasusi? Huyu aliyefeli anaweza kutengeneza website au virus au software yoyote kulinda taarifa zisiharibiwe na virus?
Wasomi wanahitajika sana, sasa hivi siyo km miaka ile ya 1945 ya vita ya pili kutegemea bunduki.
Sasa hivi mtu 1 au 5 wanaweza kuingamiza nchi na mkafa wote. Watu wanaingia laboratory wanatengeneza virus kisha watuma kwenye nchi yako kisha wanatengeneza na dawa. Unakufa huku unamtajirisha adui
Zama za nguvu zishapitwa na wakati sasa hivi watu wanatumia akili nyingi nguvu kidogo
Mkuu mbona hilo tangazo Lao limeainisha viwango mbalimbali vya elimu ikiwemo shahada?

Tafuta kujua kwanza ni kwanini hizo div zinahitajika mkuu wangu!
 
Siyo kweli katika sekta ambayo inahitaji wasomi na wanasayansi ni jeshi, polisi, magereza na uhamiaji.
Kila siku technolojia mpya inaibuka, huyu aliyefeli anaweza kupewa kazi ya ujasusi? Huyu aliyefeli anaweza kutengeneza website au virus au software yoyote kulinda taarifa zisiharibiwe na virus?
Wasomi wanahitajika sana, sasa hivi siyo km miaka ile ya 1945 ya vita ya pili kutegemea bunduki.
Sasa hivi mtu 1 au 5 wanaweza kuingamiza nchi na mkafa wote. Watu wanaingia laboratory wanatengeneza virus kisha watuma kwenye nchi yako kisha wanatengeneza na dawa. Unakufa huku unamtajirisha adui
Zama za nguvu zishapitwa na wakati sasa hivi watu wanatumia akili nyingi nguvu
Kwa bongo yetu wasomi wengi uingia jeshini kimaslai tu na kama ajira zingekuwepo za kutosha kwa kila taaluma wala usiongeona watu wa degree wanajazana huko jeshini, jeshi linataka watu watakaojitolea kufa na kupona na sio kupata mishahara na vyeo vikubwa mkuu nawasilisha.
 
huu upuuzi kbsa, kuzan kuwa ufaulu wa darasan, unaendana na utendaji wa kazi, hizi colonial education zmewaharbu sana akil kwa kuwapa vipaumbele hao wasomi uchwara ktk kila jambo mnataka wapendelewe.

kufel form4 sio kigezo cha mtu kukosa akil na uwajibikan, kufaul form4 sio kigezo cha kuwa muwajibikaj, achen fikra potofu, jiulizen kwann matatizo hayakakwishi nchini japo kuna wasomi weng ktk kila nyanja???? mtoa mada bado ana mindset zakitumwa
 
Back
Top Bottom