Godfirst
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 406
- 468
Hicho ni kigezo kidogo sana chakumpima binadamu , je wote waliofeli hawajaweza kufanikisha chochote katika maisha yao!?Kwa elimu ya kidato cha nne alifeli huyo maana hata form five haendi huyo.
lakini pointi yangu ajira kama tunaajiri kidato cha nne basi tushindanishe wa kidato cha nne walioko mtaani na kati ya wale watakaojitokeza basi tuchukue the best katika hao.
kwa vigezo vyao kama mtu alipata divisheni 2 au 3 na hana lolote kwa sasa maana kuna mtu anaweza kupata hata 1 form four na six akachemsha lakini hawa wanasema huyo hana vigezo
Je waliofaulu wote wamefanikiwa !?
Kufeli elimu haimaanishi your useless still unaweza ukafanya jambo. Wamepewa nafasi wacha waitumie.