Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Samahani kwa mtoa hoja nimekuwa msomaji mzuri hapa ofisini kwangu watu hafanyikazi asubui kabla hawajasoma hapa hii Jambo Forum imekuwa bora kuliko magazeti.
ninaoba nijiunge na nyiye hapa ni wape maoni yangu kama mtaniakikishia usalama wa maisha yangu na familia yangu na kaumri pia kamesogea nimechoka na kunyenyekea watoto wasiyokuwa nanizamu kwa wazazi wao kwa sababu ya madaraka mimi siyo mwana siasa mimi nimesoma ninaelemu nzuri ndiyo sababu wakanipa kazi nipo kwenye nafasi kubwa na mengi machafu ninayo mezani kwangu, jamani simnajua nikiandika kisomi itakuwaje nyiye mnachotaka ni ujumbe ufike ''usiangalie kiswahili changu''nitatoa na ushaidi wa copy kama mtahitaji.
ninaomba samahani niliingia bila kukaribishwa kama mwanaJF MTANZANIA kunikumbusha asante nina kushukuru sasa ninaomba kutoa hoja
Huruma
NIMEONA "Nyoka" kama wawili humu ndani wananusa nusa....
Mbona tunashinda nao kutwa humu. Wao ni watu kama sisi, msifikiri hawana huruma na nchi hii, jamaa wapo na wanajua kwanini wakuharibie raia mmoja mpiga debe tupu ambaye kura yake ni almost hakuna?
Ni wabongo wangapi wanasoma internet? ni wabongo wangapi wanafanya kazi maofisini? humu wote hatuzidi elf 5 believe me, ambayo ni asilimia 0.0000000.... ya wapiga kura.
Wapiga kura wapo vijijini, na ukitaka kujua hawaelewi nini kinaendelea angalia walivyopiga kura kwenye UDIWANI.
Na wale wa mjini walio wengi angalia walivyojitokeza kumlaki JK kuwa kashinda uenyekiti ambao alikuwa anagombea pekee yake!
Hapo ndio utajua nini kinaendelea TZ. Hapa tunatayarisha kizazi cha mwaka 2025 ambacho ndio kitaondoa CCM madarakani au kukimegua CCM vipande vipande!
Anyway GROUND WORK ni muhimu... Tujitahidini!
FD,
Maneno yako ni mazito na machungu lakini ni ya ukweli.
Kitu kimoja natahadharisha though wale wanaofurahia umaarufu wa ccm vijijini ni hili. Hali za maisha ya watu vijijini zinadumaa na hiyo si sign nzuri. Watu wa vijijini wakiendelea kuwa nyuma hivi na kuwa marginalized like this matokeo yake ni mabaya.
Angalia vita vya ndani vilivyotokea kwa majirani zetu Rwanda, Congo, Burundi, Uganda, nk kisha ujibu maswali haya. Hivi hao rebels walianzia mijini au vijijini? Ilikuwaje rahisi kwa rebel leaders kupata wafuasi?
Jibu rahisi ni kuwa, makundi yote hayo yalijengeka vijijini ambapo watu wengi wamekwisha kata tamaa. Kama ccm itaendelea kushinda kwa kutumia nguvu ya watu walioko vijijini at the same time ikitumia mabilioni kujenga majengo ya BoT huku hao wapiga kura wake wakifa kwa njaa na magonjwa yanayotibiwa, basi ccm itabidi ijilaumu yenyewe siku hao wajinga wa vijijini wakichoka na maisha.
hili pia litauma masikioni mwa wengi ila ni ukweli.
watu waliochelewa kupata teknolojia thats how you refer them to as ??
no, no ! please rephrase that !
NIMEONA "Nyoka" kama wawili humu ndani wananusa nusa....
huruma alikuja kubeep nini ?
Hivi usalama wa taifa wakishinda hapa, ina maana wanataka kukamata watu "wanaopinga" serikali au wanasoma tuu ili kurahisisha kazi zao za data collection nakujua wananchi wanaonaje utendaji wa serikali?
Alafu Mwafrika wa kike vita vya Rwanda, Burundi, na Uganda vilikuwa vya ukabila zaidi na uchu wa madaraka sio wananchi kuchoka(as far as I know)
Jamaa amenitumia PM anasema kesho asubuhi sana ataweka vitu vya ajabu hapa, ila ana wasiwasi kama JF haitafungwa; nami nimemhakikishia kuwa JF ni immortal kama alivyokuwa Mzee Punch!
Jamaa amenitumia PM anasema kesho asubuhi sana ataweka vitu vya ajabu hapa, ila ana wasiwasi kama JF haitafungwa; nami nimemhakikishia kuwa JF ni immortal kama alivyokuwa Mzee Punch!