Kutesa Kwa Zamu- Ikulu

Ukiisoma ile post ya Huruma....ni Hasara tupu. Nitashangaa kama ni watu tofauti.

Kuna watu walimkumbusha kwamba apige hodi na kusalimia katika post ya kwanza. Apige hodi mara ngapi?
 
Ngoja niwaambie,

Hasara asiwadanganye. Hakuna lolote jamani.

Mzee Kitila hat wewe pia?! nimeshangaa kidogo.
 
Ngoja niwaambie,

Hasara asiwadanganye. Hakuna lolote jamani.

Mzee Kitila hata wewe pia?! nimeshangaa kidogo.
 
Thread ndefu, lakini hewa tupu OOH my God! kweli Huruma tupu kwa hili taifa, maana linahitaji huruma!

Inabid tuanze kuionea JF huruma kabila ya taifa mkuu. Thread ambazo ni hewa tupu ndio unaona watu wanachangamkia kinoma na hii ni image ya hata Taifa na viongozi wake ndivyo hivyo mambo ya upupu wanayapigia kelele wanaacha ya maana.
 
Hapa naona tumefungwa goli la kisigino, tena hakuna hata mmoja aliyeshutuka kwamba anaweza kuwa hasara. Tunakuja shutuka wakati
filimba ya kumaliza mechi inapulizwa, too late wakuu.

Hii ni dalili ya hamu tuliyonayo kwenye vile vitokavyo jikoni.

Jamani, si tuoneeni hata huruma wenzenu? Maana hii mnatupotezea muda wetu. Sawa tumependa umbeya, lakini kwani nani hapa duniani hajawahi kuchangamkia umbeya? Eleweni kwamba mchezo wenu, ni mauti yetu.
 
Mungu aibariki JF, kila tukipiga hatua kumi mbele, lazima turudi mbili nyuma, lakini bado namba one!

Admin, please ondoa hii maana ni aibu!
 
Huruma hana huruma na muda wala pesa zetu. haya kama kweli ni hasara umedhihirisha kwamba wewe ni mtia hasara.
 
Hii mie niliistukia ni uzushi pale tu nilipoiona, watu hapa inabidi waache kuwa naive, its a dog eat dog world we'r living in.
Huruma, Hasara na maustaadhi wengine wawili majina kapuni si waaminifu. MWKJJ nae siku za karibuni amekuwa anashabikia sana upuuzi huu wa kuwapigisha watu kanyaboya, yeye anafikiri ni sifa kumbe ana jiharibia credibility yake(kama anayo). Prove ya tuhuma hizo juu ya MWKJJ....... ni wewe kuangalia juu ya thread hii, ile ya picha za JK na ile inayosema kwamba kanunuliwa, utaona maongezi yake na kama upo 'gado' mukichwa basi utaona ka-pattern flani hivi ka-kifisadi!!!.
Nyingi........sijui ninyi wenzangu lakini mie nikiona "kuku mgeni" kaja na "news mvunjiko" basi huwa nakuwa makini bin skeptical na si kujiunga tu na band wogan, ktk mtkasi wa kukidhi ile 'mentality' ya kuwa kwamba mie pia nilikuwapo, nilichangia au vyovyote, utajijua akilini mwako ulikuwa unafikiria nini wakati unachangia kwenye thread ya kizembe.
Mfano kuna thread hapa mpya imekuwa posted masaa machache yalopita, juu ya baraza la mawaziri kuvunjwa. Angalia ile thread vizuri.............mie naweza kusema alopost alikuwa analengesha, hana data na ni mzushi.
Siku za nyuma hapa nilisha sema kwamba wale walozoea kudeka/kudekezwa basi wakae wakijua kwamba "nanny" kachukua vacation......na ktk kila story kuna version mbili aidha zinakuwa binafsi au kwa pamoja. Nazo ni authentic news au kanjanja(bootyleg) news..........wasee, sio kila thread yenye kichwa cha habari kizuri basi ukategemea kupata your time wealthy materials. Wasanii wamekuwa wengi, ila tu watu hawa wakae wakijua kwamba tabia hii nayo ni UFISADI.
Nilikuwa natoa my two cents, Thanx.
 
Your name,

Upo sahihi.....ila sidahani kama wanafanya bila kujitambua, mi nahisi wanafanya maksudi ili JF ishuke thamanai mbele ya serikali na wananchi.

Wana malengo yao, husifikiri ni wajinga!
 
Hii mie niliistukia ni uzushi pale tu nilipoiona, watu hapa inabidi waache kuwa naive, its a dog eat dog world we'r living in.
Huruma, Hasara na maustaadhi wengine wawili majina kapuni si waaminifu. MWKJJ nae siku za karibuni amekuwa anashabikia sana upuuzi huu wa kuwapigisha watu kanyaboya, yeye anafikiri ni sifa kumbe ana jiharibia credibility yake(kama anayo). Prove ya tuhuma hizo juu ya MWKJJ....... ni wewe kuangalia juu ya thread hii, ile ya picha za JK na ile inayosema kwamba kanunuliwa, utaona maongezi yake na kama upo 'gado' mukichwa basi utaona ka-pattern flani hivi ka-kifisadi!!!.
Nyingi........sijui ninyi wenzangu lakini mie nikiona "kuku mgeni" kaja na "news mvunjiko" basi huwa nakuwa makini bin skeptical na si kujiunga tu na band wogan, ktk mtkasi wa kukidhi ile 'mentality' ya kuwa kwamba mie pia nilikuwapo, nilichangia au vyovyote, utajijua akilini mwako ulikuwa unafikiria nini wakati unachangia kwenye thread ya kizembe.
Mfano kuna thread hapa mpya imekuwa posted masaa machache yalopita, juu ya baraza la mawaziri kuvunjwa. Angalia ile thread vizuri.............mie naweza kusema alopost alikuwa analengesha, hana data na ni mzushi.
Siku za nyuma hapa nilisha sema kwamba wale walozoea kudeka/kudekezwa basi wakae wakijua kwamba "nanny" kachukua vacation......na ktk kila story kuna version mbili aidha zinakuwa binafsi au kwa pamoja. Nazo ni authentic news au kanjanja(bootyleg) news..........wasee, sio kila thread yenye kichwa cha habari kizuri basi ukategemea kupata your time wealthy materials. Wasanii wamekuwa wengi, ila tu watu hawa wakae wakijua kwamba tabia hii nayo ni UFISADI.
Nilikuwa natoa my two cents, Thanx.

kitu kimoja kinanishangaza kuhusu wewe unayejiita msomi wa east coast na kupondea wenzako hapa JF ni hii obsession yako kwa MKJJ.

Umeanza kutisha baba mweeeeh!

Watu kibao wamemkaribisha huruma hapa na kutoa tahadhari zao za nini afanye, wewe katika wote umeona jina la mkjj tu. Kila siku unapondea JF hapa na kuaga kuwa You have better things to do lakini log in information zinaonyesha ukija hapa JF every other minute.

Wewe ndio unaonekana bonge la fisadi na flawe. Kila mara kuponda watu hapa JF na kujisifia kuwa una marafiki wasomi wa Havard (as if hiyo Havard inachukua mtanzania mmoja tu a century) na kuaga kuwa ndio umetoka.

Come on, kama uko decisive na kuelimika kama unavyojisifia hapa kila siku ungekuwa umeanzisha website yako na kuiita:

ninaobsessionnamkjjnaninapondeaJFilanashidwatoka.co.ninaboasasa
 
Sawa Bibie Mwafrika wa Kike,
Sija pondea JF nadhani umenielewa vibaya.....JF ni kiunganishi changu na jumuia ya kitanzania na toka nilipogundua kuishi kwake nimekuwa na-enjoy kuja hapa kubadilishana mawazo.
Kuhusu Mwkjj, jibu ninalo lakini ni refu ila ka KIFUPI aache michezo!!!. Kuhusu mie kuwa hapa sana ni kwamba, natumia Palm Treo 850 na for the last month sija-log out toka JF, why?? b'se I can.
Mambo ya Harvard Square, Soldiers Field na Longwood unaweza ku-hate lakini huko ndipo "concepts" zinapozaliwa. Kuhusu kama wanachukua mbongo mmoja kwa karne hayo ni mawazo yako na yamekaa kikashfa, ila ukweli ni kwamba hata sasa hivi kuna wabongo wanne washkaji ZANGU products za Muhimbili na Mbalala wanapiga ma-infectious diseases ili waweze kusaidia ku-control 'ngoma' nyumbani.
Vinginevyo punguza stress, si nzuri kwa afya yako.
Nakutakia siku njema, asante.
 
Sawa Bibie Mwafrika wa Kike,
Sija pondea JF nadhani umenielewa vibaya.....JF ni kiunganishi changu na jumuia ya kitanzania na toka nilipogundua kuishi kwake nimekuwa na-enjoy kuja hapa kubadilishana mawazo.
Kuhusu Mwkjj, jibu ninalo lakini ni refu ila ka KIFUPI aache michezo!!!. Kuhusu mie kuwa hapa sana ni kwamba, natumia Palm Treo 850 na for the last month sija-log out toka JF, why?? b'se I can.
Mambo ya Harvard Square, Soldiers Field na Longwood unaweza ku-hate lakini huko ndipo "concepts" zinapozaliwa. Kuhusu kama wanachukua mbongo mmoja kwa karne hayo ni mawazo yako na yamekaa kikashfa, ila ukweli ni kwamba hata sasa hivi kuna wabongo wanne washkaji ZANGU products za Muhimbili na Mbalala wanapiga ma-infectious diseases ili waweze kusaidia ku-control 'ngoma' nyumbani.
Vinginevyo punguza stress, si nzuri kwa afya yako.
Nakutakia siku njema, asante.

Soma the last 10 or so posts zako hapa JF uone ulichosema kuhusu JF na wachangiaji wake. Tatizo ni kuwa unakuwa una-take this high point as if wewe ndio the most educated guy hapa.

Mara your friend ni msomi na amejaribu kuchangia issues hapa na watu (ambao si wasomi) wakampinga kwa hiyo ameacha, mara crap za Havard, mara unatoka maana JF inaboa etc.

Tatizo ndio hilo, hayo mambo ya palm unadanganya nani wakati log in info zako zinaonyesha kulog in and off! come on now!

Kuhusu Harvard nani anapondea? Nimekuuliza swali kuwa unasema hiyo Harvard as if wanachukua mtu mmoja for a century? Story ni kuwa kuna wabongo kibao tu wamepitia hapo Harvard na u never know may be mwafrika wa kike ni alumni Havard!

Kujua watu wawili waliosoma havard isiwe nongwa sasa, nenda tena kapitie majina ya graduates wa havard utakuwa surprised kugundua new names za watanzania usiowajua.

Wewe ndio unahitaji kupunguza stress labda utaacha kupondea JF na kuwa obsessed na mwanakijiji.
 
there u go again.....unatia maneno mdomoni na kwenye fikra zangu. Mwkjj ni sniper in the open, nadhani umenipata hapo. Tatizo lako wewe ni "its about winning," basi umeshinda na endelea kufikiria unavyotaka.........kwi kwi kwi kwi hata Sumaye pia kasoma Harvard kwi kwi kwi!!! Post ya mwisho hii napost kulumbana na wewe. Otherwise, welcome to the city of champions.!! Je wajua kwamba Celtics ndio timu pekee ambayo haijafungwa so far kwenye NBA msimu huu?? Don't hate na punguza hasira, mungu pia hayupo fair, sometimes I think labda na yeye pia ni FISADI!!!. Eazy now, have a nice day.
 
Karibu mheshimiwa, umekuja na mawe makali sana naamini kuwepo kwako JF tutasikia mengi na kupata mengi. Kwa kweli uteuzi wa JK ulilenga zaidi kwenye mtandandao na kauli mbiu ya maisha bora ni janja ya kuingilia ikulu.
 
Back
Top Bottom