Mama Samia unanisikitisha sana; hukujifunza kwa Kikwete na hutaki kijifunza kwa Magufuli

WhoWeBe

JF-Expert Member
Dec 18, 2022
2,301
4,243
Nikianza na JK:

Mpaka unapata bahati ya kuingia ikulu, hakuna mtu aliyekuwa mpole na fea na mpenda watu kama JK, hakuna!

-Aliwapa watu uhuru wa kuongea.
-Waliotaka kuandamana walikuwa wanapewa nafasi.
-Ajira, hususani afya na elimu, alikuwa anaajiri kila mwaka; tena wote!
-Nyongeza za mishahara kila mwaka zilikuwa zinafanyika.
-Kina Mbowe na Lissu juisi walikunywa, tena ikulu kabisa.
-Maboom kwa wanafunzi wa elimu ya juu yaliongezeka maradufu na walipata wote.
-Mabarabara yalijengwa n.k.

Pamoja na hayo yote, hakuna mtawala, katika watawala waliokutangulia wote, aliyepata shida kama JK. Haki ya Mungu, alipata shida katika utawala wake yule mtu kuliko kawaida. Kuna muda niliona kabisa alitamani muda uende haraka atoke:

-Alioamua kuwasikiliza na kuwapa kila aina ya ushirikiano na upendeleo, ikiwemo hiyo kuwaita ikulu na kukaa pamoja, walimwita dhaifu na legelege.......tena walifanya hivyo kwa kiburi kabisa na kwa kurudia mara nyingi walivyopenda.

-Madereva walikuwa wanapewa hela stendi ili wagome, na waligoma kweli na kuleta taharuki kila leo.
-Vyuo vilikuwa si sehemu ya elimu tena bali harakati za kisiasa. Migomo kila leo; leo wakigomea 5,000/= na kupewa, kesho wanagoma tena na kutaka 10,000/=. Wakipewa hiyo keshokutwa wanagoma tena na kutaka 15,000/=......yaani ilikuwa haina mwisho.

-Madaktari, wanaharakati n.k wote walikuwa wanakesha kuhakikisha nchi haitawaliki.
-Serikali ikitoka tu kuongea na wananchi na kukubaliana kuchangia shughuli za kimaendeleo kama vile kuchimba msingi au kukusanya mawe ya kujengea shule, zahanati n.k, tundu Lissu na wenzake nao hufika muda huohuo kuwaambia wananchi 'hakuna kuchanga, msichangie chochote wala msiende kujitolea!' Hali ilikuwa ngumu kweli kiutawala.......JK hakupata nafasi ya kutawala kwa kujinafasi. Kila alichofanya kilidogoishwa mithili ya mdudu sisimizi.

Miaka karibia ishirini mbele, hakuna mtawala mstaafu katika wastaafu waliokutangulia anayepata tabu ya kutukanwa, narudia, anayepata tabu ya kutukanwa, kusilibwa, kuzushiwa, kuombewa mabaya, kupewa lolote kubwa la hovyo likiwemo la hata kuhusishwa na uuaji kama JK. Hakuna! Leo mitandaoni comments hazinogi kama hajatukanwa JK na familia yake.

Si hilo tu, JK kanyang'anywa kila kitu alichokifanya na kupewa mpendwa fulani.......
-Eti tunaambiwa JK hakujenga hata barabara!!!
-Eti tunaambiwa hajafanya lolote kwenye afya!!
-Eti tunaambiwa mwendokasi na flyovers hahusiki hata kidogo. Daaaaah!!! Haki ya nani binadamu!!!!!!!
-Eti tunaambiwa hali ya maisha ilikuwa ngumu sana!

Matusi yanaendelea kumfuata kila anapoenda........aseme jambo, hata kama kusalimia tu, atatukanwa; asiposema jambo pia watamtafuta na kumtukana!!!

The good thing is, moyo wa JK upo tofauti na mamilioni mengi ya mioyo ya watu wengine. JK hana kinyongo na makuu.......ndo maana hata watu kama kina Dr. Abbas, kipindi 'wapo juu ya dunia' hivyo juzi, walidiriki nao kuanza kumshambulia na kujibujibu hili na lile kwenye kila anachosema (ref is made katika mazishi ya Mkapa).

Kosa kubwa la JK; kujifanya kuwapenda Watanzania, kuwasikiliza, kuwanyenyekea, kuwapa uhuru wa kufunua vinywa vyao hovyo hovyo (watakavyo) na kuruhusu vidole vyao kutype kila aina ya takataka waliyojisikia. Kila takataka, ili mradi tu iwe inaitwa gazeti au jarida ilipata ruhusa (in the name of democracy.....freedom of speech). What a grave mistake it was! Upendo huo, umemgharimu wakati wa utawala wake na unaendelea kumgharimu mpaka leo.

Funzo la wazi kwa mama ambalo amekataa kujifunza kutoka kwa JK; uhuru bila mipaka ni janga na binadamu (Watanzania) hawasanifiki.....
-Huyo uliyemrudisha kutoka Ubelgiji na kumlipa stahiki zake zote msikilize anachokisema kwa nguvu zote huko nje.
-Huyo uliyemwita kwa utuvu muelewane naye unamsikia huko anavyokusagia kunguni?!!!!
-Umefungulia vyombo vingineeeee na wapo huru kuandika. Umewahi kusikia au kuona wanayoandika huko sasa?!!!!! Yanatisha! Ni matusi hadi ya nguoni juu yako. Na sasa, wako busy asubuhi, mchana na jioni kukuvua uraia.
-Umeona kuhusu yako uliyoyafanya?!!!! Wanasema hujafanya chochote mpaka sasa.

Tuje kwa JPM:

Alizuia ujinga ujinga wa kuropoka ropoka hovyo;
-Kale kanakojifanya katukutu alipojifanya kutaka kuonyesha utukutu wake alikiona......akakoma na nchi kuhama.
-Walipotaka kuandamana, sijui ukuta sijui nn, jamaa akawaambia nitapiga mpaka shangazi zenu.....kimyaaaa!

JPM akapata nafasi ya kutawala, akasikika kwa kushindo kikuu. Yake, yasiyo yake yote akakusanyiwa yeye na anaendelea kukusanyiwa mpaka leo! Kama JK, yako yanadogoishwa pia mithili ya sisimizi.

Funzo toka kwa JPM; utawala wa Tanzania unahitaji 'ubandidu'......utasemwa muda wa utawala, utaimbwa muda mrefu. Mama hapa hujaamua kujifunza tu bado? Unataka uwe wa kutukanwa kama JK?!
 
Nikianza na JK:
Mpaka unapata bahati ya kuingia ikulu, hakuna mtu aliyekuwa mpole na fea na mpenda watu kama JK, HAKUNA!
-aliwapa watu uhuru wa kuongea
-waliotaka kuandamana walikuwa wanapewa nafasi
-ajira, hususani afya na elimu, alikuwa anaajiri kila mwaka; tena wote!
-nyongeza za mishahara kila mwaka zilikuwa zinafanyika
-kina mbowe na lissu juisi walikunywa, tena ikulu kabisa.
-maboom kwa wanafunzi wa elimu ya juu yaliongezeka maradufu na walipata wote.
-mabarabara yalijengwa n.k
*****
Pamoja na hayo yoooote, hakuna mtawala, katika watawala waliokutangulia wote, aliyepata shida kama JK. Haki ya Mungu alipata shida katika utawala wake yule mtu kuliko kawaida. Kuna muda niliona kabisa alitamani muda uende haraka atoke:-

-alioamua kuwasikiliza na kuwapa kila aina ya ushirikiano na upendeleo, ikiwemo hiyo kuwaita ikulu na kukaa pamoja, walimwita DHAIFU na LEGELEGE.......tena walifaya hivyo kwa kiburi kabisa na kwa kurudia mara nyingi walivyopenda.
-madereva walikuwa wanapewa hela stendi ili wagome, na waligoma kweli na kuleta taharuki kila leo.
-vyuo vilikuwa si sehemu ya elimu tena bali harakati za kisiasa. Migomo kila leo; leo wakigomea 5,000/= na kupewa, kesho wanagoma tena na kutaka 10,000/=. Wakipewa hiyo keshokutwa wanagoma tena na kutaka 15,000/=......yaani ilikuwa haina mwisho.
Madaktari, wanaharakati n.k wote walikuwa wanakesha kuhakikisha nchi haitawaliki.
-serikali ikitoka tu kuongea na wananchi na kukubaliana kuchangia shughuli za kimaendeleo kama vile kuchimba msingi au kukusanya mawe ya kujengea shule, zahanati n.k, tundu lissu na wenzake nao hufika muda huohuo kuwaambia wananchi 'hakuna kuchanga, msichangia chochote wala msiende kujitolea!' Hali ilikuwa ngumu kwakweli kiutawala.......jk hakupata nafasi ya kutawala kwa kujinafasi. Kila alichofanya kilidogoishwa mithili ya mdudu sisimizi.
*****
Miaka karibia ishirini mbele, hakuna mtawala mstaafu katika wastaafu waliokutangulia anayepata tabu ya kutukanwa, narudia, anayepata tabu ya kutukanwa, kusilibwa, kuzushiwa, kuombewa mabaya, kupewa lolote kubwa la hovyo likiwemo la hata kuhusishwa na uuaji kama JK. HAKUNA! Leo mitandaoni comments hazinogi kama hajatukanwa JK na familia yake.
Si hilo tu, jk kanyang'anywa kila kitu alichokifanya na kupewa mpendwa fulani.......
-eti tunaambiwa jk hakujenga hata barabara!!!
-eti tunaambiwa hajafanya lolote kwenye afya!!
-eti tunaambiwa mwendokasi na flyovers hahusiki hata kidogo. Daaaaah!!! Haki ya nani binadamu!!!!!!!
-eti tunaambiwa hali ya maisha ilikuwa ngumu saaana!
Matusi yanaendelea kumfuata kila anapoenda........aseme jambo, hata kama kusalimia tu, atatukanwa; asiposema jambo pia watamtafuta na kumtukana!!!

The good thing is, moyo wa jk upo tofauti na mamilioni mengi ya mioyo ya watu wengine. JK hana kinyongo na makuu.......ndo maana hata watu kama kina Dr Abbas, kipindi 'wapo juu ya dunia' hv juzi, walidiriki nao kuanza kumshambulia na kujibujibu hili na lile kwenye kila anachosema (ref is made ktk mazishi ya Mkapa).

Kosa kubwa la JK; kujifanya kuwapenda watanzania, kuwasikiliza, kuwanyenyekea, kuwapa uhuru wa kufunua vinywa vyao hovyo hovyo (watakavyo) na kuruhusu vidole vyao kutype kila aina ya takataka waliyojisikia. Kila takataka, ili muradi tu iwe inaitwa gazeti au jarida ilipata ruhusa (in the name of democracy.....freedom of speech). What a grave mistake it was!!!! Upendo huo, umemgharimu wakati wa utawala wake na unaendelea kumgharimu mpaka leo.

Funzo la wazi kwa mama ambalo amekataa kujifunza kutoka kwa jk; uhuru bila mipaka ni janga na binadamu (watz) hawasanifiki.....
-huyo uliyemrudisha kutoka ugelgiji na kumlipa stahiki zake zote msikilize anachokisema kwa nguvu zote huko nje.
-huyo uliyemwita kwa utuvu muelewane nae unamsikia huko anavyokusagia kunguni?!!!!
-umefungulia vyombo vingiiiii na wapo huru kuandika. Umewahi kusikia au kuona wanayoandika huko sasa?!!!!! Yanatisha! Ni matusi hadi ya nguoni juu yako. Na sasa, wako busy asubuhi, mchana na jioni kukuvua uraia.
-umeona kuhusu yako uliyoyafanya?!!!! Wanasema hujafanya chochote mpaka sasa.



Tuje kwa JPM:

Alizuia ujinga ujinga wa kuropoka ropoka hovyo;
-kale kanakojifanya katukutu alipojifanya kutaka kuonyesha utukutu wake alikiona......akakoma na nchi kuhama.
-walipotaka kuandamana, sijui ukuta sijui nn, jamaa akawaambia nitapiga mpaka shangazi zenu.....kimyaaaa!

JPM akapata nafasi ya kutawala, akasikika kwa kushindo kikuu. Yake, yasiyo yake yooote akakusanyiwa yeye na anaendelea kukusanyiwa mpaka ya leo!!!! Jana JK, yako yanadogoishwa pia mithili ya sisimizi.

Funzo toka kwa JPM; utawala wa tz unahitaji 'ubandidu'......utasemwa muda wa utawala, utaimbwa muda mrefu. Mama hapa hujaamua kujifunza tu bado?!!!!!!!!!!!! Unataka uwe wa kutukanwa km JK?!!!
Bora tu awe wa kutukanwa, asiige tu tabia za lile shetani la Chato
 
Nikianza na JK:
Mpaka unapata bahati ya kuingia ikulu, hakuna mtu aliyekuwa mpole na fea na mpenda watu kama JK, HAKUNA!
-aliwapa watu uhuru wa kuongea
-waliotaka kuandamana walikuwa wanapewa nafasi
-ajira, hususani afya na elimu, alikuwa anaajiri kila mwaka; tena wote!
-nyongeza za mishahara kila mwaka zilikuwa zinafanyika
-kina mbowe na lissu juisi walikunywa, tena ikulu kabisa.
-maboom kwa wanafunzi wa elimu ya juu yaliongezeka maradufu na walipata wote.
-mabarabara yalijengwa n.k
*****
Pamoja na hayo yoooote, hakuna mtawala, katika watawala waliokutangulia wote, aliyepata shida kama JK. Haki ya Mungu alipata shida katika utawala wake yule mtu kuliko kawaida. Kuna muda niliona kabisa alitamani muda uende haraka atoke:-

-alioamua kuwasikiliza na kuwapa kila aina ya ushirikiano na upendeleo, ikiwemo hiyo kuwaita ikulu na kukaa pamoja, walimwita DHAIFU na LEGELEGE.......tena walifaya hivyo kwa kiburi kabisa na kwa kurudia mara nyingi walivyopenda.
-madereva walikuwa wanapewa hela stendi ili wagome, na waligoma kweli na kuleta taharuki kila leo.
-vyuo vilikuwa si sehemu ya elimu tena bali harakati za kisiasa. Migomo kila leo; leo wakigomea 5,000/= na kupewa, kesho wanagoma tena na kutaka 10,000/=. Wakipewa hiyo keshokutwa wanagoma tena na kutaka 15,000/=......yaani ilikuwa haina mwisho.
Madaktari, wanaharakati n.k wote walikuwa wanakesha kuhakikisha nchi haitawaliki.
-serikali ikitoka tu kuongea na wananchi na kukubaliana kuchangia shughuli za kimaendeleo kama vile kuchimba msingi au kukusanya mawe ya kujengea shule, zahanati n.k, tundu lissu na wenzake nao hufika muda huohuo kuwaambia wananchi 'hakuna kuchanga, msichangia chochote wala msiende kujitolea!' Hali ilikuwa ngumu kwakweli kiutawala.......jk hakupata nafasi ya kutawala kwa kujinafasi. Kila alichofanya kilidogoishwa mithili ya mdudu sisimizi.
*****
Miaka karibia ishirini mbele, hakuna mtawala mstaafu katika wastaafu waliokutangulia anayepata tabu ya kutukanwa, narudia, anayepata tabu ya kutukanwa, kusilibwa, kuzushiwa, kuombewa mabaya, kupewa lolote kubwa la hovyo likiwemo la hata kuhusishwa na uuaji kama JK. HAKUNA! Leo mitandaoni comments hazinogi kama hajatukanwa JK na familia yake.
Si hilo tu, jk kanyang'anywa kila kitu alichokifanya na kupewa mpendwa fulani.......
-eti tunaambiwa jk hakujenga hata barabara!!!
-eti tunaambiwa hajafanya lolote kwenye afya!!
-eti tunaambiwa mwendokasi na flyovers hahusiki hata kidogo. Daaaaah!!! Haki ya nani binadamu!!!!!!!
-eti tunaambiwa hali ya maisha ilikuwa ngumu saaana!
Matusi yanaendelea kumfuata kila anapoenda........aseme jambo, hata kama kusalimia tu, atatukanwa; asiposema jambo pia watamtafuta na kumtukana!!!

The good thing is, moyo wa jk upo tofauti na mamilioni mengi ya mioyo ya watu wengine. JK hana kinyongo na makuu.......ndo maana hata watu kama kina Dr Abbas, kipindi 'wapo juu ya dunia' hv juzi, walidiriki nao kuanza kumshambulia na kujibujibu hili na lile kwenye kila anachosema (ref is made ktk mazishi ya Mkapa).

Kosa kubwa la JK; kujifanya kuwapenda watanzania, kuwasikiliza, kuwanyenyekea, kuwapa uhuru wa kufunua vinywa vyao hovyo hovyo (watakavyo) na kuruhusu vidole vyao kutype kila aina ya takataka waliyojisikia. Kila takataka, ili muradi tu iwe inaitwa gazeti au jarida ilipata ruhusa (in the name of democracy.....freedom of speech). What a grave mistake it was!!!! Upendo huo, umemgharimu wakati wa utawala wake na unaendelea kumgharimu mpaka leo.

Funzo la wazi kwa mama ambalo amekataa kujifunza kutoka kwa jk; uhuru bila mipaka ni janga na binadamu (watz) hawasanifiki.....
-huyo uliyemrudisha kutoka ugelgiji na kumlipa stahiki zake zote msikilize anachokisema kwa nguvu zote huko nje.
-huyo uliyemwita kwa utuvu muelewane nae unamsikia huko anavyokusagia kunguni?!!!!
-umefungulia vyombo vingiiiii na wapo huru kuandika. Umewahi kusikia au kuona wanayoandika huko sasa?!!!!! Yanatisha! Ni matusi hadi ya nguoni juu yako. Na sasa, wako busy asubuhi, mchana na jioni kukuvua uraia.
-umeona kuhusu yako uliyoyafanya?!!!! Wanasema hujafanya chochote mpaka sasa.



Tuje kwa JPM:

Alizuia ujinga ujinga wa kuropoka ropoka hovyo;
-kale kanakojifanya katukutu alipojifanya kutaka kuonyesha utukutu wake alikiona......akakoma na nchi kuhama.
-walipotaka kuandamana, sijui ukuta sijui nn, jamaa akawaambia nitapiga mpaka shangazi zenu.....kimyaaaa!

JPM akapata nafasi ya kutawala, akasikika kwa kushindo kikuu. Yake, yasiyo yake yooote akakusanyiwa yeye na anaendelea kukusanyiwa mpaka ya leo!!!! Jana JK, yako yanadogoishwa pia mithili ya sisimizi.

Funzo toka kwa JPM; utawala wa tz unahitaji 'ubandidu'......utasemwa muda wa utawala, utaimbwa muda mrefu. Mama hapa hujaamua kujifunza tu bado?!!!!!!!!!!!! Unataka uwe wa kutukanwa km JK?!!!
Unachomuelekeza Mama akifanya km akili zako zinavyokutuma utapata wapi kuandika utumbo kama huu.

Sijui watanzania mnataka nini, wewe ungepata wap uhuru wa kuandika gazeti hili

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Nikianza na JK:
Mpaka unapata bahati ya kuingia ikulu, hakuna mtu aliyekuwa mpole na fea na mpenda watu kama JK, HAKUNA!
-aliwapa watu uhuru wa kuongea
-waliotaka kuandamana walikuwa wanapewa nafasi
-ajira, hususani afya na elimu, alikuwa anaajiri kila mwaka; tena wote!
-nyongeza za mishahara kila mwaka zilikuwa zinafanyika
-kina mbowe na lissu juisi walikunywa, tena ikulu kabisa.
-maboom kwa wanafunzi wa elimu ya juu yaliongezeka maradufu na walipata wote.
-mabarabara yalijengwa n.k
*****
Pamoja na hayo yoooote, hakuna mtawala, katika watawala waliokutangulia wote, aliyepata shida kama JK. Haki ya Mungu alipata shida katika utawala wake yule mtu kuliko kawaida. Kuna muda niliona kabisa alitamani muda uende haraka atoke:-

-alioamua kuwasikiliza na kuwapa kila aina ya ushirikiano na upendeleo, ikiwemo hiyo kuwaita ikulu na kukaa pamoja, walimwita DHAIFU na LEGELEGE.......tena walifaya hivyo kwa kiburi kabisa na kwa kurudia mara nyingi walivyopenda.
-madereva walikuwa wanapewa hela stendi ili wagome, na waligoma kweli na kuleta taharuki kila leo.
-vyuo vilikuwa si sehemu ya elimu tena bali harakati za kisiasa. Migomo kila leo; leo wakigomea 5,000/= na kupewa, kesho wanagoma tena na kutaka 10,000/=. Wakipewa hiyo keshokutwa wanagoma tena na kutaka 15,000/=......yaani ilikuwa haina mwisho.
Madaktari, wanaharakati n.k wote walikuwa wanakesha kuhakikisha nchi haitawaliki.
-serikali ikitoka tu kuongea na wananchi na kukubaliana kuchangia shughuli za kimaendeleo kama vile kuchimba msingi au kukusanya mawe ya kujengea shule, zahanati n.k, tundu lissu na wenzake nao hufika muda huohuo kuwaambia wananchi 'hakuna kuchanga, msichangia chochote wala msiende kujitolea!' Hali ilikuwa ngumu kwakweli kiutawala.......jk hakupata nafasi ya kutawala kwa kujinafasi. Kila alichofanya kilidogoishwa mithili ya mdudu sisimizi.
*****
Miaka karibia ishirini mbele, hakuna mtawala mstaafu katika wastaafu waliokutangulia anayepata tabu ya kutukanwa, narudia, anayepata tabu ya kutukanwa, kusilibwa, kuzushiwa, kuombewa mabaya, kupewa lolote kubwa la hovyo likiwemo la hata kuhusishwa na uuaji kama JK. HAKUNA! Leo mitandaoni comments hazinogi kama hajatukanwa JK na familia yake.
Si hilo tu, jk kanyang'anywa kila kitu alichokifanya na kupewa mpendwa fulani.......
-eti tunaambiwa jk hakujenga hata barabara!!!
-eti tunaambiwa hajafanya lolote kwenye afya!!
-eti tunaambiwa mwendokasi na flyovers hahusiki hata kidogo. Daaaaah!!! Haki ya nani binadamu!!!!!!!
-eti tunaambiwa hali ya maisha ilikuwa ngumu saaana!
Matusi yanaendelea kumfuata kila anapoenda........aseme jambo, hata kama kusalimia tu, atatukanwa; asiposema jambo pia watamtafuta na kumtukana!!!

The good thing is, moyo wa jk upo tofauti na mamilioni mengi ya mioyo ya watu wengine. JK hana kinyongo na makuu.......ndo maana hata watu kama kina Dr Abbas, kipindi 'wapo juu ya dunia' hv juzi, walidiriki nao kuanza kumshambulia na kujibujibu hili na lile kwenye kila anachosema (ref is made ktk mazishi ya Mkapa).

Kosa kubwa la JK; kujifanya kuwapenda watanzania, kuwasikiliza, kuwanyenyekea, kuwapa uhuru wa kufunua vinywa vyao hovyo hovyo (watakavyo) na kuruhusu vidole vyao kutype kila aina ya takataka waliyojisikia. Kila takataka, ili muradi tu iwe inaitwa gazeti au jarida ilipata ruhusa (in the name of democracy.....freedom of speech). What a grave mistake it was!!!! Upendo huo, umemgharimu wakati wa utawala wake na unaendelea kumgharimu mpaka leo.

Funzo la wazi kwa mama ambalo amekataa kujifunza kutoka kwa jk; uhuru bila mipaka ni janga na binadamu (watz) hawasanifiki.....
-huyo uliyemrudisha kutoka ugelgiji na kumlipa stahiki zake zote msikilize anachokisema kwa nguvu zote huko nje.
-huyo uliyemwita kwa utuvu muelewane nae unamsikia huko anavyokusagia kunguni?!!!!
-umefungulia vyombo vingiiiii na wapo huru kuandika. Umewahi kusikia au kuona wanayoandika huko sasa?!!!!! Yanatisha! Ni matusi hadi ya nguoni juu yako. Na sasa, wako busy asubuhi, mchana na jioni kukuvua uraia.
-umeona kuhusu yako uliyoyafanya?!!!! Wanasema hujafanya chochote mpaka sasa.



Tuje kwa JPM:

Alizuia ujinga ujinga wa kuropoka ropoka hovyo;
-kale kanakojifanya katukutu alipojifanya kutaka kuonyesha utukutu wake alikiona......akakoma na nchi kuhama.
-walipotaka kuandamana, sijui ukuta sijui nn, jamaa akawaambia nitapiga mpaka shangazi zenu.....kimyaaaa!

JPM akapata nafasi ya kutawala, akasikika kwa kushindo kikuu. Yake, yasiyo yake yooote akakusanyiwa yeye na anaendelea kukusanyiwa mpaka ya leo!!!! Jana JK, yako yanadogoishwa pia mithili ya sisimizi.

Funzo toka kwa JPM; utawala wa tz unahitaji 'ubandidu'......utasemwa muda wa utawala, utaimbwa muda mrefu. Mama hapa hujaamua kujifunza tu bado?!!!!!!!!!!!! Unataka uwe wa kutukanwa km JK?!!!
Huu ni uchochezi. Kwanini baadhi ya Watanzania hampendi amani?

Rais Samia Suluhu Hassani yuko Bize na Mambo ya Maendeleo hawezi kukwamishwa na vimaneno vya mitandaoni.

Yaani unataka Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan apoteze Focus ya kuongoza Nchi kisa vimaneno vya Facebook?

Hebu tuwe serious kidogo jamani.
 
Ni kwa nini vijana wengi wa ccm hamnazo?

Umeandika nini sasa hiki?

Ulichoandika kinalingana na mkataba wenye makosa mengi chefuchefu?

Hujiulizi kwamba watanzania ambao walimwimbia Rais Samia anaupiga mwingi juzijuzi tu hapo wamekuwa wehu ghafula? Wamemchukia wote ghafla?

Unadhani kwa nini wameacha huo wimbo na kujikuta wanageukia kuhoji uhuru wa nchi yao kuona kwamba kunahatari ya kutawaliwa na mwarabu??

Huoni maana ya hayo yote?

Raisi wetu tunampenda mno mno mno na tunamtakia heri kwa kila jambo jema, ila kwenye rasilimali zetu mhimu zenye kutufanya tujione nasi tuko huru! Hata yeye hawezi kukuelewa ulichoandika
 
Mkishapewa hela huko mnakuja kuanzisha mada zisizo na mbele wala nyuma.Hili la bandari hapana na hamna kati ya hao viongozi uliowataja walithubutu kufanya iweje yeye afanye hivyo?
 
Nikianza na JK:
Mpaka unapata bahati ya kuingia ikulu, hakuna mtu aliyekuwa mpole na fea na mpenda watu kama JK, HAKUNA!
-aliwapa watu uhuru wa kuongea
-waliotaka kuandamana walikuwa wanapewa nafasi
-ajira, hususani afya na elimu, alikuwa anaajiri kila mwaka; tena wote!
-nyongeza za mishahara kila mwaka zilikuwa zinafanyika
-kina mbowe na lissu juisi walikunywa, tena ikulu kabisa.
-maboom kwa wanafunzi wa elimu ya juu yaliongezeka maradufu na walipata wote.
-mabarabara yalijengwa n.k
*****
Pamoja na hayo yoooote, hakuna mtawala, katika watawala waliokutangulia wote, aliyepata shida kama JK. Haki ya Mungu alipata shida katika utawala wake yule mtu kuliko kawaida. Kuna muda niliona kabisa alitamani muda uende haraka atoke:-

-alioamua kuwasikiliza na kuwapa kila aina ya ushirikiano na upendeleo, ikiwemo hiyo kuwaita ikulu na kukaa pamoja, walimwita DHAIFU na LEGELEGE.......tena walifaya hivyo kwa kiburi kabisa na kwa kurudia mara nyingi walivyopenda.
-madereva walikuwa wanapewa hela stendi ili wagome, na waligoma kweli na kuleta taharuki kila leo.
-vyuo vilikuwa si sehemu ya elimu tena bali harakati za kisiasa. Migomo kila leo; leo wakigomea 5,000/= na kupewa, kesho wanagoma tena na kutaka 10,000/=. Wakipewa hiyo keshokutwa wanagoma tena na kutaka 15,000/=......yaani ilikuwa haina mwisho.
Madaktari, wanaharakati n.k wote walikuwa wanakesha kuhakikisha nchi haitawaliki.
-serikali ikitoka tu kuongea na wananchi na kukubaliana kuchangia shughuli za kimaendeleo kama vile kuchimba msingi au kukusanya mawe ya kujengea shule, zahanati n.k, tundu lissu na wenzake nao hufika muda huohuo kuwaambia wananchi 'hakuna kuchanga, msichangia chochote wala msiende kujitolea!' Hali ilikuwa ngumu kwakweli kiutawala.......jk hakupata nafasi ya kutawala kwa kujinafasi. Kila alichofanya kilidogoishwa mithili ya mdudu sisimizi.
*****
Miaka karibia ishirini mbele, hakuna mtawala mstaafu katika wastaafu waliokutangulia anayepata tabu ya kutukanwa, narudia, anayepata tabu ya kutukanwa, kusilibwa, kuzushiwa, kuombewa mabaya, kupewa lolote kubwa la hovyo likiwemo la hata kuhusishwa na uuaji kama JK. HAKUNA! Leo mitandaoni comments hazinogi kama hajatukanwa JK na familia yake.
Si hilo tu, jk kanyang'anywa kila kitu alichokifanya na kupewa mpendwa fulani.......
-eti tunaambiwa jk hakujenga hata barabara!!!
-eti tunaambiwa hajafanya lolote kwenye afya!!
-eti tunaambiwa mwendokasi na flyovers hahusiki hata kidogo. Daaaaah!!! Haki ya nani binadamu!!!!!!!
-eti tunaambiwa hali ya maisha ilikuwa ngumu saaana!
Matusi yanaendelea kumfuata kila anapoenda........aseme jambo, hata kama kusalimia tu, atatukanwa; asiposema jambo pia watamtafuta na kumtukana!!!

The good thing is, moyo wa jk upo tofauti na mamilioni mengi ya mioyo ya watu wengine. JK hana kinyongo na makuu.......ndo maana hata watu kama kina Dr Abbas, kipindi 'wapo juu ya dunia' hv juzi, walidiriki nao kuanza kumshambulia na kujibujibu hili na lile kwenye kila anachosema (ref is made ktk mazishi ya Mkapa).

Kosa kubwa la JK; kujifanya kuwapenda watanzania, kuwasikiliza, kuwanyenyekea, kuwapa uhuru wa kufunua vinywa vyao hovyo hovyo (watakavyo) na kuruhusu vidole vyao kutype kila aina ya takataka waliyojisikia. Kila takataka, ili muradi tu iwe inaitwa gazeti au jarida ilipata ruhusa (in the name of democracy.....freedom of speech). What a grave mistake it was!!!! Upendo huo, umemgharimu wakati wa utawala wake na unaendelea kumgharimu mpaka leo.

Funzo la wazi kwa mama ambalo amekataa kujifunza kutoka kwa jk; uhuru bila mipaka ni janga na binadamu (watz) hawasanifiki.....
-huyo uliyemrudisha kutoka ugelgiji na kumlipa stahiki zake zote msikilize anachokisema kwa nguvu zote huko nje.
-huyo uliyemwita kwa utuvu muelewane nae unamsikia huko anavyokusagia kunguni?!!!!
-umefungulia vyombo vingiiiii na wapo huru kuandika. Umewahi kusikia au kuona wanayoandika huko sasa?!!!!! Yanatisha! Ni matusi hadi ya nguoni juu yako. Na sasa, wako busy asubuhi, mchana na jioni kukuvua uraia.
-umeona kuhusu yako uliyoyafanya?!!!! Wanasema hujafanya chochote mpaka sasa.



Tuje kwa JPM:

Alizuia ujinga ujinga wa kuropoka ropoka hovyo;
-kale kanakojifanya katukutu alipojifanya kutaka kuonyesha utukutu wake alikiona......akakoma na nchi kuhama.
-walipotaka kuandamana, sijui ukuta sijui nn, jamaa akawaambia nitapiga mpaka shangazi zenu.....kimyaaaa!

JPM akapata nafasi ya kutawala, akasikika kwa kushindo kikuu. Yake, yasiyo yake yooote akakusanyiwa yeye na anaendelea kukusanyiwa mpaka ya leo!!!! Kama JK, yako yanadogoishwa pia mithili ya sisimizi.

Funzo toka kwa JPM; utawala wa tz unahitaji 'ubandidu'......utasemwa muda wa utawala, utaimbwa muda mrefu. Mama hapa hujaamua kujifunza tu bado?!!!!!!!!!!!! Unataka uwe wa kutukanwa km JK?!!!
Tuheshimu uchaguzi uone kama kuna mtu ataingia madarakani kwa shuruti na kuanza kutawala apendavyo. Kulazimisha kuingia madarakani kwa kupora uchaguzi ndio matatizo yake. Magufuli unayemsifia pamoja na kutishia watu hadi kuua, kupora uchaguzi ndio kulikuwa salama yake. Hadi anaenda motoni hakuwahi kuwa na raha kutokana na ukweli aliouona kwenye kampeni za uchaguzi wa 2020. Mwambie huyu mama atawale kama Magufuli uone kama atabaki na amani yake.
 
Nikianza na JK:
Mpaka unapata bahati ya kuingia ikulu, hakuna mtu aliyekuwa mpole na fea na mpenda watu kama JK, HAKUNA!
-aliwapa watu uhuru wa kuongea
-waliotaka kuandamana walikuwa wanapewa nafasi
-ajira, hususani afya na elimu, alikuwa anaajiri kila mwaka; tena wote!
-nyongeza za mishahara kila mwaka zilikuwa zinafanyika
-kina mbowe na lissu juisi walikunywa, tena ikulu kabisa.
-maboom kwa wanafunzi wa elimu ya juu yaliongezeka maradufu na walipata wote.
-mabarabara yalijengwa n.k
*****
Pamoja na hayo yoooote, hakuna mtawala, katika watawala waliokutangulia wote, aliyepata shida kama JK. Haki ya Mungu alipata shida katika utawala wake yule mtu kuliko kawaida. Kuna muda niliona kabisa alitamani muda uende haraka atoke:-

-alioamua kuwasikiliza na kuwapa kila aina ya ushirikiano na upendeleo, ikiwemo hiyo kuwaita ikulu na kukaa pamoja, walimwita DHAIFU na LEGELEGE.......tena walifaya hivyo kwa kiburi kabisa na kwa kurudia mara nyingi walivyopenda.
-madereva walikuwa wanapewa hela stendi ili wagome, na waligoma kweli na kuleta taharuki kila leo.
-vyuo vilikuwa si sehemu ya elimu tena bali harakati za kisiasa. Migomo kila leo; leo wakigomea 5,000/= na kupewa, kesho wanagoma tena na kutaka 10,000/=. Wakipewa hiyo keshokutwa wanagoma tena na kutaka 15,000/=......yaani ilikuwa haina mwisho.
Madaktari, wanaharakati n.k wote walikuwa wanakesha kuhakikisha nchi haitawaliki.
-serikali ikitoka tu kuongea na wananchi na kukubaliana kuchangia shughuli za kimaendeleo kama vile kuchimba msingi au kukusanya mawe ya kujengea shule, zahanati n.k, tundu lissu na wenzake nao hufika muda huohuo kuwaambia wananchi 'hakuna kuchanga, msichangia chochote wala msiende kujitolea!' Hali ilikuwa ngumu kwakweli kiutawala.......jk hakupata nafasi ya kutawala kwa kujinafasi. Kila alichofanya kilidogoishwa mithili ya mdudu sisimizi.
*****
Miaka karibia ishirini mbele, hakuna mtawala mstaafu katika wastaafu waliokutangulia anayepata tabu ya kutukanwa, narudia, anayepata tabu ya kutukanwa, kusilibwa, kuzushiwa, kuombewa mabaya, kupewa lolote kubwa la hovyo likiwemo la hata kuhusishwa na uuaji kama JK. HAKUNA! Leo mitandaoni comments hazinogi kama hajatukanwa JK na familia yake.
Si hilo tu, jk kanyang'anywa kila kitu alichokifanya na kupewa mpendwa fulani.......
-eti tunaambiwa jk hakujenga hata barabara!!!
-eti tunaambiwa hajafanya lolote kwenye afya!!
-eti tunaambiwa mwendokasi na flyovers hahusiki hata kidogo. Daaaaah!!! Haki ya nani binadamu!!!!!!!
-eti tunaambiwa hali ya maisha ilikuwa ngumu saaana!
Matusi yanaendelea kumfuata kila anapoenda........aseme jambo, hata kama kusalimia tu, atatukanwa; asiposema jambo pia watamtafuta na kumtukana!!!

The good thing is, moyo wa jk upo tofauti na mamilioni mengi ya mioyo ya watu wengine. JK hana kinyongo na makuu.......ndo maana hata watu kama kina Dr Abbas, kipindi 'wapo juu ya dunia' hv juzi, walidiriki nao kuanza kumshambulia na kujibujibu hili na lile kwenye kila anachosema (ref is made ktk mazishi ya Mkapa).

Kosa kubwa la JK; kujifanya kuwapenda watanzania, kuwasikiliza, kuwanyenyekea, kuwapa uhuru wa kufunua vinywa vyao hovyo hovyo (watakavyo) na kuruhusu vidole vyao kutype kila aina ya takataka waliyojisikia. Kila takataka, ili muradi tu iwe inaitwa gazeti au jarida ilipata ruhusa (in the name of democracy.....freedom of speech). What a grave mistake it was!!!! Upendo huo, umemgharimu wakati wa utawala wake na unaendelea kumgharimu mpaka leo.

Funzo la wazi kwa mama ambalo amekataa kujifunza kutoka kwa jk; uhuru bila mipaka ni janga na binadamu (watz) hawasanifiki.....
-huyo uliyemrudisha kutoka ugelgiji na kumlipa stahiki zake zote msikilize anachokisema kwa nguvu zote huko nje.
-huyo uliyemwita kwa utuvu muelewane nae unamsikia huko anavyokusagia kunguni?!!!!
-umefungulia vyombo vingiiiii na wapo huru kuandika. Umewahi kusikia au kuona wanayoandika huko sasa?!!!!! Yanatisha! Ni matusi hadi ya nguoni juu yako. Na sasa, wako busy asubuhi, mchana na jioni kukuvua uraia.
-umeona kuhusu yako uliyoyafanya?!!!! Wanasema hujafanya chochote mpaka sasa.



Tuje kwa JPM:

Alizuia ujinga ujinga wa kuropoka ropoka hovyo;
-kale kanakojifanya katukutu alipojifanya kutaka kuonyesha utukutu wake alikiona......akakoma na nchi kuhama.
-walipotaka kuandamana, sijui ukuta sijui nn, jamaa akawaambia nitapiga mpaka shangazi zenu.....kimyaaaa!

JPM akapata nafasi ya kutawala, akasikika kwa kushindo kikuu. Yake, yasiyo yake yooote akakusanyiwa yeye na anaendelea kukusanyiwa mpaka ya leo!!!! Kama JK, yako yanadogoishwa pia mithili ya sisimizi.

Funzo toka kwa JPM; utawala wa tz unahitaji 'ubandidu'......utasemwa muda wa utawala, utaimbwa muda mrefu. Mama hapa hujaamua kujifunza tu bado?!!!!!!!!!!!! Unataka uwe wa kutukanwa km JK?!!!
Hapo umdangaya kuwa walipotakiwa kuandamana waliruhusiwa ,umesahu vurugu za arusha ,kwa mashumbusi
 
Nikianza na JK:

Mpaka unapata bahati ya kuingia ikulu, hakuna mtu aliyekuwa mpole na fea na mpenda watu kama JK, hakuna!

-Aliwapa watu uhuru wa kuongea.
-Waliotaka kuandamana walikuwa wanapewa nafasi.
-Ajira, hususani afya na elimu, alikuwa anaajiri kila mwaka; tena wote!
-Nyongeza za mishahara kila mwaka zilikuwa zinafanyika.
-Kina Mbowe na Lissu juisi walikunywa, tena ikulu kabisa.
-Maboom kwa wanafunzi wa elimu ya juu yaliongezeka maradufu na walipata wote.
-Mabarabara yalijengwa n.k.

Pamoja na hayo yote, hakuna mtawala, katika watawala waliokutangulia wote, aliyepata shida kama JK. Haki ya Mungu, alipata shida katika utawala wake yule mtu kuliko kawaida. Kuna muda niliona kabisa alitamani muda uende haraka atoke:

-Alioamua kuwasikiliza na kuwapa kila aina ya ushirikiano na upendeleo, ikiwemo hiyo kuwaita ikulu na kukaa pamoja, walimwita dhaifu na legelege.......tena walifanya hivyo kwa kiburi kabisa na kwa kurudia mara nyingi walivyopenda.
-Madereva walikuwa wanapewa hela stendi ili wagome, na waligoma kweli na kuleta taharuki kila leo.
-Vyuo vilikuwa si sehemu ya elimu tena bali harakati za kisiasa. Migomo kila leo; leo wakigomea 5,000/= na kupewa, kesho wanagoma tena na kutaka 10,000/=. Wakipewa hiyo keshokutwa wanagoma tena na kutaka 15,000/=......yaani ilikuwa haina mwisho.
-Madaktari, wanaharakati n.k wote walikuwa wanakesha kuhakikisha nchi haitawaliki.
-Serikali ikitoka tu kuongea na wananchi na kukubaliana kuchangia shughuli za kimaendeleo kama vile kuchimba msingi au kukusanya mawe ya kujengea shule, zahanati n.k, tundu Lissu na wenzake nao hufika muda huohuo kuwaambia wananchi 'hakuna kuchanga, msichangie chochote wala msiende kujitolea!' Hali ilikuwa ngumu kweli kiutawala.......JK hakupata nafasi ya kutawala kwa kujinafasi. Kila alichofanya kilidogoishwa mithili ya mdudu sisimizi.

Miaka karibia ishirini mbele, hakuna mtawala mstaafu katika wastaafu waliokutangulia anayepata tabu ya kutukanwa, narudia, anayepata tabu ya kutukanwa, kusilibwa, kuzushiwa, kuombewa mabaya, kupewa lolote kubwa la hovyo likiwemo la hata kuhusishwa na uuaji kama JK. Hakuna! Leo mitandaoni comments hazinogi kama hajatukanwa JK na familia yake.

Si hilo tu, JK kanyang'anywa kila kitu alichokifanya na kupewa mpendwa fulani.......
-Eti tunaambiwa JK hakujenga hata barabara!!!
-Eti tunaambiwa hajafanya lolote kwenye afya!!
-Eti tunaambiwa mwendokasi na flyovers hahusiki hata kidogo. Daaaaah!!! Haki ya nani binadamu!!!!!!!
-Eti tunaambiwa hali ya maisha ilikuwa ngumu sana!

Matusi yanaendelea kumfuata kila anapoenda........aseme jambo, hata kama kusalimia tu, atatukanwa; asiposema jambo pia watamtafuta na kumtukana!!!

The good thing is, moyo wa JK upo tofauti na mamilioni mengi ya mioyo ya watu wengine. JK hana kinyongo na makuu.......ndo maana hata watu kama kina Dr. Abbas, kipindi 'wapo juu ya dunia' hivyo juzi, walidiriki nao kuanza kumshambulia na kujibujibu hili na lile kwenye kila anachosema (ref is made katika mazishi ya Mkapa).

Kosa kubwa la JK; kujifanya kuwapenda Watanzania, kuwasikiliza, kuwanyenyekea, kuwapa uhuru wa kufunua vinywa vyao hovyo hovyo (watakavyo) na kuruhusu vidole vyao kutype kila aina ya takataka waliyojisikia. Kila takataka, ili mradi tu iwe inaitwa gazeti au jarida ilipata ruhusa (in the name of democracy.....freedom of speech). What a grave mistake it was! Upendo huo, umemgharimu wakati wa utawala wake na unaendelea kumgharimu mpaka leo.

Funzo la wazi kwa mama ambalo amekataa kujifunza kutoka kwa JK; uhuru bila mipaka ni janga na binadamu (Watanzania) hawasanifiki.....
-Huyo uliyemrudisha kutoka Ubelgiji na kumlipa stahiki zake zote msikilize anachokisema kwa nguvu zote huko nje.
-Huyo uliyemwita kwa utuvu muelewane naye unamsikia huko anavyokusagia kunguni?!!!!
-Umefungulia vyombo vingineeeee na wapo huru kuandika. Umewahi kusikia au kuona wanayoandika huko sasa?!!!!! Yanatisha! Ni matusi hadi ya nguoni juu yako. Na sasa, wako busy asubuhi, mchana na jioni kukuvua uraia.
-Umeona kuhusu yako uliyoyafanya?!!!! Wanasema hujafanya chochote mpaka sasa.

Tuje kwa JPM:

Alizuia ujinga ujinga wa kuropoka ropoka hovyo;
-Kale kanakojifanya katukutu alipojifanya kutaka kuonyesha utukutu wake alikiona......akakoma na nchi kuhama.
-Walipotaka kuandamana, sijui ukuta sijui nn, jamaa akawaambia nitapiga mpaka shangazi zenu.....kimyaaaa!

JPM akapata nafasi ya kutawala, akasikika kwa kushindo kikuu. Yake, yasiyo yake yote akakusanyiwa yeye na anaendelea kukusanyiwa mpaka leo! Kama JK, yako yanadogoishwa pia mithili ya sisimizi.

Funzo toka kwa JPM; utawala wa Tanzania unahitaji 'ubandidu'......utasemwa muda wa utawala, utaimbwa muda mrefu. Mama hapa hujaamua kujifunza tu bado? Unataka uwe wa kutukanwa kama JK?!
Tangu hospitali ya Milembe ibadilishwe jina vichaa wamekuwa huru Sana.
Dada yangu Umy Mwalimu tafadhali Rudisha jina la awali la hospitali yetu. Watu walikuwa wanaficha kichaa Chao Kwa kuogopa kuhusianishwa na Milembe, lakini Sasa mmeliandika kizungu wehu wanaojiita "mental disorders' imekuwa vurugu.
 
Nikianza na JK:

Mpaka unapata bahati ya kuingia ikulu, hakuna mtu aliyekuwa mpole na fea na mpenda watu kama JK, hakuna!

-Aliwapa watu uhuru wa kuongea.
-Waliotaka kuandamana walikuwa wanapewa nafasi.
-Ajira, hususani afya na elimu, alikuwa anaajiri kila mwaka; tena wote!
-Nyongeza za mishahara kila mwaka zilikuwa zinafanyika.
-Kina Mbowe na Lissu juisi walikunywa, tena ikulu kabisa.
-Maboom kwa wanafunzi wa elimu ya juu yaliongezeka maradufu na walipata wote.
-Mabarabara yalijengwa n.k.

Pamoja na hayo yote, hakuna mtawala, katika watawala waliokutangulia wote, aliyepata shida kama JK. Haki ya Mungu, alipata shida katika utawala wake yule mtu kuliko kawaida. Kuna muda niliona kabisa alitamani muda uende haraka atoke:

-Alioamua kuwasikiliza na kuwapa kila aina ya ushirikiano na upendeleo, ikiwemo hiyo kuwaita ikulu na kukaa pamoja, walimwita dhaifu na legelege.......tena walifanya hivyo kwa kiburi kabisa na kwa kurudia mara nyingi walivyopenda.
-Madereva walikuwa wanapewa hela stendi ili wagome, na waligoma kweli na kuleta taharuki kila leo.
-Vyuo vilikuwa si sehemu ya elimu tena bali harakati za kisiasa. Migomo kila leo; leo wakigomea 5,000/= na kupewa, kesho wanagoma tena na kutaka 10,000/=. Wakipewa hiyo keshokutwa wanagoma tena na kutaka 15,000/=......yaani ilikuwa haina mwisho.
-Madaktari, wanaharakati n.k wote walikuwa wanakesha kuhakikisha nchi haitawaliki.
-Serikali ikitoka tu kuongea na wananchi na kukubaliana kuchangia shughuli za kimaendeleo kama vile kuchimba msingi au kukusanya mawe ya kujengea shule, zahanati n.k, tundu Lissu na wenzake nao hufika muda huohuo kuwaambia wananchi 'hakuna kuchanga, msichangie chochote wala msiende kujitolea!' Hali ilikuwa ngumu kweli kiutawala.......JK hakupata nafasi ya kutawala kwa kujinafasi. Kila alichofanya kilidogoishwa mithili ya mdudu sisimizi.

Miaka karibia ishirini mbele, hakuna mtawala mstaafu katika wastaafu waliokutangulia anayepata tabu ya kutukanwa, narudia, anayepata tabu ya kutukanwa, kusilibwa, kuzushiwa, kuombewa mabaya, kupewa lolote kubwa la hovyo likiwemo la hata kuhusishwa na uuaji kama JK. Hakuna! Leo mitandaoni comments hazinogi kama hajatukanwa JK na familia yake.

Si hilo tu, JK kanyang'anywa kila kitu alichokifanya na kupewa mpendwa fulani.......
-Eti tunaambiwa JK hakujenga hata barabara!!!
-Eti tunaambiwa hajafanya lolote kwenye afya!!
-Eti tunaambiwa mwendokasi na flyovers hahusiki hata kidogo. Daaaaah!!! Haki ya nani binadamu!!!!!!!
-Eti tunaambiwa hali ya maisha ilikuwa ngumu sana!

Matusi yanaendelea kumfuata kila anapoenda........aseme jambo, hata kama kusalimia tu, atatukanwa; asiposema jambo pia watamtafuta na kumtukana!!!

The good thing is, moyo wa JK upo tofauti na mamilioni mengi ya mioyo ya watu wengine. JK hana kinyongo na makuu.......ndo maana hata watu kama kina Dr. Abbas, kipindi 'wapo juu ya dunia' hivyo juzi, walidiriki nao kuanza kumshambulia na kujibujibu hili na lile kwenye kila anachosema (ref is made katika mazishi ya Mkapa).

Kosa kubwa la JK; kujifanya kuwapenda Watanzania, kuwasikiliza, kuwanyenyekea, kuwapa uhuru wa kufunua vinywa vyao hovyo hovyo (watakavyo) na kuruhusu vidole vyao kutype kila aina ya takataka waliyojisikia. Kila takataka, ili mradi tu iwe inaitwa gazeti au jarida ilipata ruhusa (in the name of democracy.....freedom of speech). What a grave mistake it was! Upendo huo, umemgharimu wakati wa utawala wake na unaendelea kumgharimu mpaka leo.

Funzo la wazi kwa mama ambalo amekataa kujifunza kutoka kwa JK; uhuru bila mipaka ni janga na binadamu (Watanzania) hawasanifiki.....
-Huyo uliyemrudisha kutoka Ubelgiji na kumlipa stahiki zake zote msikilize anachokisema kwa nguvu zote huko nje.
-Huyo uliyemwita kwa utuvu muelewane naye unamsikia huko anavyokusagia kunguni?!!!!
-Umefungulia vyombo vingineeeee na wapo huru kuandika. Umewahi kusikia au kuona wanayoandika huko sasa?!!!!! Yanatisha! Ni matusi hadi ya nguoni juu yako. Na sasa, wako busy asubuhi, mchana na jioni kukuvua uraia.
-Umeona kuhusu yako uliyoyafanya?!!!! Wanasema hujafanya chochote mpaka sasa.

Tuje kwa JPM:

Alizuia ujinga ujinga wa kuropoka ropoka hovyo;
-Kale kanakojifanya katukutu alipojifanya kutaka kuonyesha utukutu wake alikiona......akakoma na nchi kuhama.
-Walipotaka kuandamana, sijui ukuta sijui nn, jamaa akawaambia nitapiga mpaka shangazi zenu.....kimyaaaa!

JPM akapata nafasi ya kutawala, akasikika kwa kushindo kikuu. Yake, yasiyo yake yote akakusanyiwa yeye na anaendelea kukusanyiwa mpaka leo! Kama JK, yako yanadogoishwa pia mithili ya sisimizi.

Funzo toka kwa JPM; utawala wa Tanzania unahitaji 'ubandidu'......utasemwa muda wa utawala, utaimbwa muda mrefu. Mama hapa hujaamua kujifunza tu bado? Unataka uwe wa kutukanwa kama JK?!
Samia ataibuka kidedea

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Nikianza na JK:

Mpaka unapata bahati ya kuingia ikulu, hakuna mtu aliyekuwa mpole na fea na mpenda watu kama JK, hakuna!

-Aliwapa watu uhuru wa kuongea.
-Waliotaka kuandamana walikuwa wanapewa nafasi.
-Ajira, hususani afya na elimu, alikuwa anaajiri kila mwaka; tena wote!
-Nyongeza za mishahara kila mwaka zilikuwa zinafanyika.
-Kina Mbowe na Lissu juisi walikunywa, tena ikulu kabisa.
-Maboom kwa wanafunzi wa elimu ya juu yaliongezeka maradufu na walipata wote.
-Mabarabara yalijengwa n.k.

Pamoja na hayo yote, hakuna mtawala, katika watawala waliokutangulia wote, aliyepata shida kama JK. Haki ya Mungu, alipata shida katika utawala wake yule mtu kuliko kawaida. Kuna muda niliona kabisa alitamani muda uende haraka atoke:

-Alioamua kuwasikiliza na kuwapa kila aina ya ushirikiano na upendeleo, ikiwemo hiyo kuwaita ikulu na kukaa pamoja, walimwita dhaifu na legelege.......tena walifanya hivyo kwa kiburi kabisa na kwa kurudia mara nyingi walivyopenda.
-Madereva walikuwa wanapewa hela stendi ili wagome, na waligoma kweli na kuleta taharuki kila leo.
-Vyuo vilikuwa si sehemu ya elimu tena bali harakati za kisiasa. Migomo kila leo; leo wakigomea 5,000/= na kupewa, kesho wanagoma tena na kutaka 10,000/=. Wakipewa hiyo keshokutwa wanagoma tena na kutaka 15,000/=......yaani ilikuwa haina mwisho.
-Madaktari, wanaharakati n.k wote walikuwa wanakesha kuhakikisha nchi haitawaliki.
-Serikali ikitoka tu kuongea na wananchi na kukubaliana kuchangia shughuli za kimaendeleo kama vile kuchimba msingi au kukusanya mawe ya kujengea shule, zahanati n.k, tundu Lissu na wenzake nao hufika muda huohuo kuwaambia wananchi 'hakuna kuchanga, msichangie chochote wala msiende kujitolea!' Hali ilikuwa ngumu kweli kiutawala.......JK hakupata nafasi ya kutawala kwa kujinafasi. Kila alichofanya kilidogoishwa mithili ya mdudu sisimizi.

Miaka karibia ishirini mbele, hakuna mtawala mstaafu katika wastaafu waliokutangulia anayepata tabu ya kutukanwa, narudia, anayepata tabu ya kutukanwa, kusilibwa, kuzushiwa, kuombewa mabaya, kupewa lolote kubwa la hovyo likiwemo la hata kuhusishwa na uuaji kama JK. Hakuna! Leo mitandaoni comments hazinogi kama hajatukanwa JK na familia yake.

Si hilo tu, JK kanyang'anywa kila kitu alichokifanya na kupewa mpendwa fulani.......
-Eti tunaambiwa JK hakujenga hata barabara!!!
-Eti tunaambiwa hajafanya lolote kwenye afya!!
-Eti tunaambiwa mwendokasi na flyovers hahusiki hata kidogo. Daaaaah!!! Haki ya nani binadamu!!!!!!!
-Eti tunaambiwa hali ya maisha ilikuwa ngumu sana!

Matusi yanaendelea kumfuata kila anapoenda........aseme jambo, hata kama kusalimia tu, atatukanwa; asiposema jambo pia watamtafuta na kumtukana!!!

The good thing is, moyo wa JK upo tofauti na mamilioni mengi ya mioyo ya watu wengine. JK hana kinyongo na makuu.......ndo maana hata watu kama kina Dr. Abbas, kipindi 'wapo juu ya dunia' hivyo juzi, walidiriki nao kuanza kumshambulia na kujibujibu hili na lile kwenye kila anachosema (ref is made katika mazishi ya Mkapa).

Kosa kubwa la JK; kujifanya kuwapenda Watanzania, kuwasikiliza, kuwanyenyekea, kuwapa uhuru wa kufunua vinywa vyao hovyo hovyo (watakavyo) na kuruhusu vidole vyao kutype kila aina ya takataka waliyojisikia. Kila takataka, ili mradi tu iwe inaitwa gazeti au jarida ilipata ruhusa (in the name of democracy.....freedom of speech). What a grave mistake it was! Upendo huo, umemgharimu wakati wa utawala wake na unaendelea kumgharimu mpaka leo.

Funzo la wazi kwa mama ambalo amekataa kujifunza kutoka kwa JK; uhuru bila mipaka ni janga na binadamu (Watanzania) hawasanifiki.....
-Huyo uliyemrudisha kutoka Ubelgiji na kumlipa stahiki zake zote msikilize anachokisema kwa nguvu zote huko nje.
-Huyo uliyemwita kwa utuvu muelewane naye unamsikia huko anavyokusagia kunguni?!!!!
-Umefungulia vyombo vingineeeee na wapo huru kuandika. Umewahi kusikia au kuona wanayoandika huko sasa?!!!!! Yanatisha! Ni matusi hadi ya nguoni juu yako. Na sasa, wako busy asubuhi, mchana na jioni kukuvua uraia.
-Umeona kuhusu yako uliyoyafanya?!!!! Wanasema hujafanya chochote mpaka sasa.

Tuje kwa JPM:

Alizuia ujinga ujinga wa kuropoka ropoka hovyo;
-Kale kanakojifanya katukutu alipojifanya kutaka kuonyesha utukutu wake alikiona......akakoma na nchi kuhama.
-Walipotaka kuandamana, sijui ukuta sijui nn, jamaa akawaambia nitapiga mpaka shangazi zenu.....kimyaaaa!

JPM akapata nafasi ya kutawala, akasikika kwa kushindo kikuu. Yake, yasiyo yake yote akakusanyiwa yeye na anaendelea kukusanyiwa mpaka leo! Kama JK, yako yanadogoishwa pia mithili ya sisimizi.

Funzo toka kwa JPM; utawala wa Tanzania unahitaji 'ubandidu'......utasemwa muda wa utawala, utaimbwa muda mrefu. Mama hapa hujaamua kujifunza tu bado? Unataka uwe wa kutukanwa kama JK?!
Wewe mdanganye tu uone
 
You are cherry-picking history and brandishing your ignorance. Kikwete had a grand opportunity to be the best president ever, yet he squandered it. Now delving down the memory lane:

First off, Jakaya was hated the most because we loved him the most, but he betrayed our trust. He backstabbed us for big pay-checks and flattery. He was the grand architect and the god-father of factionalism within CCM. Factionalism was a cancer which rotted the bones of CCM by ordaining the likes of Magufuli and Samia to presidency. Had he been careful these two would never have been presidents.

Secondly, Kikwete is a man who nafeariously threw Warioba's Draft Constitution into a scrap heap of history. If the draft was inaugurated into the new constitution by 2015, it would have erected a strong bulwark against political aggrandizement and militancy of President Magufuli. Yes off course, it would have also averted a current BANDARI FIASCO by restraining an ill intent Zanzibari from auctioning the properties of Tanganyikans to Arabs.

With a federal system in place, our Bandaris would have been out of Samia's reach. But thanks to Jakaya, Samia is brutally gutting out Tanganyika.

Samia aondoke kwa amani tu, sisi watanganyika hatumtaki.
 
Tunampenda rais wetu ndo maana tuna mkosoa Ili wajinga kama wewe wasipate nafasi ya kulaumu baadae. Kokosolewa kiongozi ni jambo jema muhimu ni lugha iwe ya staha. Dikteta Magufuli alituachia majeraha ya kutosha hatutaki turudi huko. Na rudia tumkosoe Kwa lugha ya staha
 
Nikianza na JK:

Mpaka unapata bahati ya kuingia ikulu, hakuna mtu aliyekuwa mpole na fea na mpenda watu kama JK, hakuna!

-Aliwapa watu uhuru wa kuongea.
-Waliotaka kuandamana walikuwa wanapewa nafasi.
-Ajira, hususani afya na elimu, alikuwa anaajiri kila mwaka; tena wote!
-Nyongeza za mishahara kila mwaka zilikuwa zinafanyika.
-Kina Mbowe na Lissu juisi walikunywa, tena ikulu kabisa.
-Maboom kwa wanafunzi wa elimu ya juu yaliongezeka maradufu na walipata wote.
-Mabarabara yalijengwa n.k.

Pamoja na hayo yote, hakuna mtawala, katika watawala waliokutangulia wote, aliyepata shida kama JK. Haki ya Mungu, alipata shida katika utawala wake yule mtu kuliko kawaida. Kuna muda niliona kabisa alitamani muda uende haraka atoke:

-Alioamua kuwasikiliza na kuwapa kila aina ya ushirikiano na upendeleo, ikiwemo hiyo kuwaita ikulu na kukaa pamoja, walimwita dhaifu na legelege.......tena walifanya hivyo kwa kiburi kabisa na kwa kurudia mara nyingi walivyopenda.
-Madereva walikuwa wanapewa hela stendi ili wagome, na waligoma kweli na kuleta taharuki kila leo.
-Vyuo vilikuwa si sehemu ya elimu tena bali harakati za kisiasa. Migomo kila leo; leo wakigomea 5,000/= na kupewa, kesho wanagoma tena na kutaka 10,000/=. Wakipewa hiyo keshokutwa wanagoma tena na kutaka 15,000/=......yaani ilikuwa haina mwisho.
-Madaktari, wanaharakati n.k wote walikuwa wanakesha kuhakikisha nchi haitawaliki.
-Serikali ikitoka tu kuongea na wananchi na kukubaliana kuchangia shughuli za kimaendeleo kama vile kuchimba msingi au kukusanya mawe ya kujengea shule, zahanati n.k, tundu Lissu na wenzake nao hufika muda huohuo kuwaambia wananchi 'hakuna kuchanga, msichangie chochote wala msiende kujitolea!' Hali ilikuwa ngumu kweli kiutawala.......JK hakupata nafasi ya kutawala kwa kujinafasi. Kila alichofanya kilidogoishwa mithili ya mdudu sisimizi.

Miaka karibia ishirini mbele, hakuna mtawala mstaafu katika wastaafu waliokutangulia anayepata tabu ya kutukanwa, narudia, anayepata tabu ya kutukanwa, kusilibwa, kuzushiwa, kuombewa mabaya, kupewa lolote kubwa la hovyo likiwemo la hata kuhusishwa na uuaji kama JK. Hakuna! Leo mitandaoni comments hazinogi kama hajatukanwa JK na familia yake.

Si hilo tu, JK kanyang'anywa kila kitu alichokifanya na kupewa mpendwa fulani.......
-Eti tunaambiwa JK hakujenga hata barabara!!!
-Eti tunaambiwa hajafanya lolote kwenye afya!!
-Eti tunaambiwa mwendokasi na flyovers hahusiki hata kidogo. Daaaaah!!! Haki ya nani binadamu!!!!!!!
-Eti tunaambiwa hali ya maisha ilikuwa ngumu sana!

Matusi yanaendelea kumfuata kila anapoenda........aseme jambo, hata kama kusalimia tu, atatukanwa; asiposema jambo pia watamtafuta na kumtukana!!!

The good thing is, moyo wa JK upo tofauti na mamilioni mengi ya mioyo ya watu wengine. JK hana kinyongo na makuu.......ndo maana hata watu kama kina Dr. Abbas, kipindi 'wapo juu ya dunia' hivyo juzi, walidiriki nao kuanza kumshambulia na kujibujibu hili na lile kwenye kila anachosema (ref is made katika mazishi ya Mkapa).

Kosa kubwa la JK; kujifanya kuwapenda Watanzania, kuwasikiliza, kuwanyenyekea, kuwapa uhuru wa kufunua vinywa vyao hovyo hovyo (watakavyo) na kuruhusu vidole vyao kutype kila aina ya takataka waliyojisikia. Kila takataka, ili mradi tu iwe inaitwa gazeti au jarida ilipata ruhusa (in the name of democracy.....freedom of speech). What a grave mistake it was! Upendo huo, umemgharimu wakati wa utawala wake na unaendelea kumgharimu mpaka leo.

Funzo la wazi kwa mama ambalo amekataa kujifunza kutoka kwa JK; uhuru bila mipaka ni janga na binadamu (Watanzania) hawasanifiki.....
-Huyo uliyemrudisha kutoka Ubelgiji na kumlipa stahiki zake zote msikilize anachokisema kwa nguvu zote huko nje.
-Huyo uliyemwita kwa utuvu muelewane naye unamsikia huko anavyokusagia kunguni?!!!!
-Umefungulia vyombo vingineeeee na wapo huru kuandika. Umewahi kusikia au kuona wanayoandika huko sasa?!!!!! Yanatisha! Ni matusi hadi ya nguoni juu yako. Na sasa, wako busy asubuhi, mchana na jioni kukuvua uraia.
-Umeona kuhusu yako uliyoyafanya?!!!! Wanasema hujafanya chochote mpaka sasa.

Tuje kwa JPM:

Alizuia ujinga ujinga wa kuropoka ropoka hovyo;
-Kale kanakojifanya katukutu alipojifanya kutaka kuonyesha utukutu wake alikiona......akakoma na nchi kuhama.
-Walipotaka kuandamana, sijui ukuta sijui nn, jamaa akawaambia nitapiga mpaka shangazi zenu.....kimyaaaa!

JPM akapata nafasi ya kutawala, akasikika kwa kushindo kikuu. Yake, yasiyo yake yote akakusanyiwa yeye na anaendelea kukusanyiwa mpaka leo! Kama JK, yako yanadogoishwa pia mithili ya sisimizi.

Funzo toka kwa JPM; utawala wa Tanzania unahitaji 'ubandidu'......utasemwa muda wa utawala, utaimbwa muda mrefu. Mama hapa hujaamua kujifunza tu bado? Unataka uwe wa kutukanwa kama JK?!
Kwa magufuli toa weka Nyerere mana hakukuwa na kitu positive chochote Cha kujifunza kutoka kwa dictator yule.
 
Back
Top Bottom