FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 731
Huruma,
Karibu, cha kwanza umeambiwa. Husitumie computa ya kazini kwako. Pili hizo documents hasa PDF zinz matatizo, ukienda kwenye properties ina record jina na time na computer ya last user aliye i save. Ushauri ni kuwa tumia mobile (laptop) computer au ya home. Komputer ya home sio rahisi kujulikana.
Ukitaka kutuma sensitive documents tumia internet cafe! hata ya home ni nzuri tu maana sio rahisi TCCL nzima au Zantel kukutrace kirahisi. Ingawa inawezekana.
Kwa upande wa JF nina uhakika siri itatunzwa milele! hofu ondoa.
Karibu sana tumkome nyeni giladi!
Amsha watanzania na wadanganyika waliokwisha danganyika!
Karibu mkuu, kuna private email (message) unaweza kuuliza watu vitu mbalimbali ya kukusaidia.
Karibu, cha kwanza umeambiwa. Husitumie computa ya kazini kwako. Pili hizo documents hasa PDF zinz matatizo, ukienda kwenye properties ina record jina na time na computer ya last user aliye i save. Ushauri ni kuwa tumia mobile (laptop) computer au ya home. Komputer ya home sio rahisi kujulikana.
Ukitaka kutuma sensitive documents tumia internet cafe! hata ya home ni nzuri tu maana sio rahisi TCCL nzima au Zantel kukutrace kirahisi. Ingawa inawezekana.
Kwa upande wa JF nina uhakika siri itatunzwa milele! hofu ondoa.
Karibu sana tumkome nyeni giladi!
Amsha watanzania na wadanganyika waliokwisha danganyika!
Karibu mkuu, kuna private email (message) unaweza kuuliza watu vitu mbalimbali ya kukusaidia.