Kusema ukweli nchi ya Rwanda ni nzuri sana

Kusema ukweli nchi ya Rwanda ni nzuri sana

Ushafika Kiwira wewe?Hiyo wilaya ya Rungwe inalisha hiyo Nchi miaka,
Hapo hatujaja Tokyo,Kyela ,Uporoto,Swaya,Songwe,Chunya,Utengule,Ileje,Mbozi kwa mwashambwa, Makambako
Hako kanchi unakabeba kwa mbeleko tu.
Kuna ndizi Mbeya wanakula Nguruwe,na sijui km unazijua mkono wa tembo?
Ndizi moja mnakula ukoo mzima.
Huko panafaa kufanga kiwanda cha kutengeneza bia zitokanazo na ndiz..
 
Fatilia na pato la kila raia..Nchi ipo vizuri kimiundombinu lakin raia ni masikini wakutupwa..halafu Rwanda ni nchi ndogo sana ni sawa na Mkoa mmoja wapo wa Tz.
Kisingizio cha udogo ni ujinga uliokithiri, kuna kama China na India kukua kwake kwa uchumi kunahusishwa na ukubwa na idadi ya watu. Comoro vipi na udogo wake, Burundi nayo si ni ndogo pia?
Miundo mbinu ni moja ya kichocheo cha ukuaji wa uchumi, Rwanda has risen from the bottom and they're still on the right track heading to the top. Give credit where is due.
 
hahahahahahaha !! Ndugu kwanin usiende kuishi huko? Hali yakuwa maendeleo ya nchi yako huyaoni..Unadhani TZ ya miaka 1990 ndo ya leo? Unaejiona unaupeo wa kufikiri umeisaidia nini nchi yako kutokana na uwezo wako wa kufikiri..kwani huyaoni au unajifanya kipofu.
Nina mpango huo wa kuondoka Tanzagiza maana imejaa maudhi na wajinga wengi sana kwanzia viongozi wenu mpaka nyie watetezi wao.

Kama kwa muda ambao taifa hili limekuwa huru(miaka zaidi 63), na rasilimali lilizonazo unaona hizi hatua mbili mlizopiga kwenye suala la miundo mbinu ni jambo la kijivunia kiasi cha kuzodoa nchi kama Rwanda, basi fikra zako ni mbovu sana maana zimejaa ushamba na ujinga.

Miaka 64 ya uhuru na hamjawahi kuingia kwenye majanga yoyote yale kama civil war ila bado mna shida ya maji na barabara mbovu ambazo kila siku zinaua watu, halafu eti unaita kuna maendeleo? Kama umeridhika na hayo maendeleo duni basi wewe una akili za kimaskini na za kijima.

Rwanda ambayo unaibeza imetoka kwenye civil war miaka 30 tu iliyopita ila wana miundo mbinu mizuri kiasi cha kuwa mfano wa mataifa mingine.

Kuhusu mimi nimelisaidia vp taifa, naskitika kusema jibu lolote ulilonalo kuhusu hili swali ni sahihi, maana kodi yangu siamini kama huwa inafanya jambo lolote la maana
 
Rwanda siyo nchi ndogo. Kieneo sawa ni ndogo. Lakini ina watu milioni 14. Imepita nchi nyingi kubwa kwa eneo kama Namibia na Botswana. Pia makazi ya wananchi na muonekano wao hawaonyeshi huo umasikini wa kutupwa. Hata kwenye slums na vijijini watu wanaonekana wana sura za 'matumaini'. Na hata kipato hatujapishana sana. Wao wana pato la mtu wastani dola 1,000 na sisi dola 1,300.
Mnatoa wapi hizi taarifa?
Mkoa wa Morogoro pekee ni Mkubwa Kuliko Nchi ya Rwanda

Yani ukiunganisha Rwanda na Burundi bado hazifikii ukubwa wa Mkoa wa tabora

Rwanda inaingia mara 30 Kwa nchi ya Namibia, Namibia inakaribiana ukubwa na Tanzania

Afu kufananisha nchi kama Namibia na Rwanda hata Kwa maendeleo ni Ujuha
 
Nenda huko ukaishi kama huoni maendeleo ya nchini kwako sahv barabara za lami kila kona..huduma za afya mpaka ngazi ya kata..maji japo yakusua ila yapo..umeme mpaka vitongojini..n.k. TZ ya 1990 ndo unaiyona leo? Au ndo wale wa 2000 msiojitambua mmekuta kila kitu kipo..halafu ningekuona unaakiri zaidi kama ungeweka mlinganisho hapa.
Eti barabara za lami kila kona, hebu nitolee uongo kawandangaye machawa wenzio huko mnaolingana nao akili, hivi unajua ni barabara ngapi ambazo zinaunganisha wilaya na wilaya ila hazina hata changarawe achilia mbali lami Tanzagiza hapa? Nchi imejaa barabara za vumbi na zilizowekewa lami ni nyembamba kama uchochoro halafu uko unataka kunilisha matango pori utafikiri unabishana na mjinga mwenzio?

Unajua kuwa watanzania wenye accessibility ya huduma ya umeme hawajafika hata 60% halafu unaniambia eti siku hizi kuna umeme mpaka vijijini? Unajua kitendo tu cha kutokuwa na huduma ya umeme wa uhakika tayari huko ni kufeli na hupaswi kabisa kujivunia?

Nyie machawa na vibaraka wa majizi mmezoea kushabikia mediocrity mnataka kila mtu awe na akili mbovu kma zenu, afurahie na kujivunia haya maendeleo duni ambayo hayaendani na rasilimali tulizonazo pamoja na muda ambao tumepata uhuru.

Una miaka 64 ya uhuru halafu unaongelea habari za kifikisha umeme vijijini kweli? Tungekuwa na viongozi wenye akili hilo wala hata lilikuwa sio suala la kuongelea nyakati hizi.

Nina uhakika serikali ya Rwanda ingekuwa inaiongoza Tanzagiza, halafu serikali hii ya ccm ingekuwa inaiongoza Rwanda.... ndani ya miaka kumi tu Tanzagiza ingekuwa Singapore na Rwanda ingekuwa na hali mbaya kwenye kila kitu mara kumi ya ilivyo sasa.

Viongozi wa Tanzagiza hawana akili kama tu ulivyo wewe mtetezi wao.
 
Kisingizio cha udogo ni ujinga uliokithiri, kuna kama China na India kukua kwake kwa uchumi kunahusishwa na ukubwa na idadi ya watu. Comoro vipi na udogo wake, Burundi nayo si ni ndogo pia?
Miundo mbinu ni moja ya kichocheo cha ukuaji wa uchumi, Rwanda has risen from the bottom and they're still on the right track heading to the top. Give credit where is due.
kwahyo unashauri nini? Maana unazunguuka mule mule.
 
Nina mpango huo wa kuondoka Tanzagiza maana imejaa maudhi na wajinga wengi sana kwanzia viongozi wenu mpaka nyie watetezi wao.

Kama kwa muda ambao taifa hili limekuwa huru(miaka zaidi 63), na rasilimali lilizonazo unaona hizi hatua mbili mlizopiga kwenye suala la miundo mbinu ni jambo la kijivunia kiasi cha kuzodoa nchi kama Rwanda, basi fikra zako ni mbovu sana maana zimejaa ushamba na ujinga.

Miaka 64 ya uhuru na hamjawahi kuingia kwenye majanga yoyote yale kama civil war ila bado mna shida ya maji na barabara mbovu ambazo kila siku zinaua watu, halafu eti unaita kuna maendeleo? Kama umeridhika na hayo maendeleo duni basi wewe una akili za kimaskini na za kijima.

Rwanda ambayo unaibeza imetoka kwenye civil war miaka 30 ...KUISIFIA NCHI NYINGINE BILA KUWA NA TAKWIMU SAHIHI NI UJUHA...KAMA RWANDA IPO VIZURI KWANINI RAIA WAO WENGI TUNAWANASA WAKIINGIA KUOMBA HIFADHI? WAKATI KWAO KUNA KILA KITU...PUNGUZA MIHEMKO.
 
Kisingizio cha udogo ni ujinga uliokithiri, kuna kama China na India kukua kwake kwa uchumi kunahusishwa na ukubwa na idadi ya watu. Comoro vipi na udogo wake, Burundi nayo si ni ndogo pia?
Miundo mbinu ni moja ya kichocheo cha ukuaji wa uchumi, Rwanda has risen from the bottom and they're still on the right track heading to the top. Give credit where is due.
lete data halisi na picha hayo maeneo unayosema...kwan Tz hakuna miundombinu? acheni stori za vijiweni.
 
Ishu sio umaskiini Wala pato, ishu ni discipline na accountability, TZ chukulia mfano ripot ya CAG japo imepikwa madudu still yapo lakini hakuna anayejali, kosa kubwa LA dunia ambalo limefanyika TZ ni kuvuruga mahakama na bunge wallah hayo ni majuto makubwa kabisa Kwa watu wenyewe akili wanaofikiria mbali, hatuwezi kutoboa kamwe Kwa namna hii
Ukishaua mbunge na mahakama usitegemee wananchi kuwa na nidhamu nchini, ndio suala tunalokabiliana nalo hapa Tanzania. Watanzania ni waoga na hawako smart. Hawana nidhamu, si wa bunge wala viongozi, na hata watu wa kawaida, nchi ni chafu, mipangilio ya mambo hakuna ufisadi na uzembe umekithiri, watu hawajali kabisa kuiweka nchi kuwa smart. Na ukishakuwa na nchi ya viongozi wanaofikiria uchaguzi tu huwezi kuwa na nchi yenye mipangilio.
 
Eti barabara za lami kila kona, hebu nitolee uongo kawandangaye machawa wenzio huko mnaolingana nao akili, hivi unajua ni barabara ngapi ambazo zinaunganisha wilaya na wilaya ila hazina hata changarawe achilia mbali lami Tanzagiza hapa? Nchi imejaa barabara za vumbi na zilizowekewa lami ni nyembamba kama uchochoro halafu uko unataka kunilisha matango pori utafikiri unabishana na mjinga mwenzio?

Unajua kuwa watanzania wenye accessibility ya huduma ya umeme hawajafika hata 60% halafu unaniambia eti siku hizi kuna umeme mpaka vijijini? Unajua kitendo tu cha kutokuwa na huduma ya umeme wa uhakika tayari huko ni kufeli na hupaswi kabisa kujivunia?

Nyie machawa na vibaraka wa majizi mmezoea kushabikia mediocrity mnataka kila mtu awe na akili mbovu kma zenu, afurahie na kujivunia haya maendeleo duni MIMI SIO CHAWA ILA KWENYE UKWELI TUSEME..HEBU NAOMBA ORODHA YA BARABARA ZOTE ZINAZOONGANISHA WILAYA NA WILAYA AMBAZO HAZINA LAMI NA ZENYE LAMI...HUNA HOJA.
 
Mie ni mbongo na nishafika mikoa 19 nchi hii.kote nilipopita ni shithole miji michafu Kila Kona na boda boda wanavunja Kila Sheria ya barabarani na trafiki wanachekelea
Bila shaka utakuwa unatokea kanda ya ziwa...Je, Miji Michafu= Uvunjifu wa sheria za barabarani=Maendeleo ya nchi=Miundombinu ya Nchi?
 
Mnatoa wapi hizi taarifa?
Mkoa wa Morogoro pekee ni Mkubwa Kuliko Nchi ya Rwanda

Yani ukiunganisha Rwanda na Burundi bado hazifikii ukubwa wa Mkoa wa tabora

Rwanda inaingia mara 30 Kwa nchi ya Namibia, Namibia inakaribiana ukubwa na Tanzania

Afu kufananisha nchi kama Namibia na Rwanda hata Kwa maendeleo ni Ujuha
China ni kubwa mara kumi yetu. Mbona hatujaendelea kuipita? Kama ukiwa na eneo dogo ndiyo unaendelea zaidi! Mkoa wa Xinjiang ni mkubwa karibu mara mbili ya Tanzania.

Hivi hii namna ya kufikiri mnaitoaga wapi? Ndiyo mnaitumia kuendeshea maisha?
 
lete data halisi na picha hayo maeneo unayosema...kwan Tz hakuna miundombinu? acheni stori za vijiweni.
Wewe uliyetoa kisingizio baseless ungetoa na supporting data pia ungejibibiwa kwa data, hata mifano tu ya uhalisia to support your crap haujaweka hata mmoja that's being delusional.
Muanzishe wenyewe story za vijiweni when challenged that's when you're trying to twist the matter, peleka ujinga wako kwa watoto wenzio.
 
Back
Top Bottom