MONEY IS NOT EVERYTHING
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 1,420
- 1,953
Mbona maono wanayo wangekuwa hawana maono hata hilo daraja la Busisi Mkoani Mwanza usingeliona,..SGR Usingeziona..Barabara za juu usingeziona na mambo kadha wa kadha usinge yaona au wewe ulitaka sahv tuwe tunaishi Mbinguni au Sayari nyingine ndo ujue tumepiga hatua kimaendeleo???Rudin nyumbani tujenge uchumi wetu sio mnasemea nje huko..Nyumbani kumenoga...Kutulinganisha na Rwanda nikutukosea heshima kama unavowakosea heshima viongozi wako....Changamoto hazikosekani zipo..na changamoto hzo zinasababishwa na mfumo wa kisiasa uliopo na sio viongozi...Leaders must have visions, they should be walking the walk or walking the talk no these morons who keep on talking the talk and nothing is being done.