emmsim
Member
- Dec 7, 2017
- 68
- 46
Shida ni maji kuingia mdomoni au tatizo ni nini!!, Ukiwa unaoga huwa haupeleki maji mdomoni unayooga?Kuna haka katabia cha kutumia ndoo na kopo la kuogea kupigia mswaki
Kwa kweli hii tabia inanikwaza sana.
Mnaofanya hivyo badilikeni aisee. Hata kuweka mswaki juu ya mlango wa bafuni sio usafi kabisa