Kupiga mswaki na kopo la kuogea

Kupiga mswaki na kopo la kuogea

Baada ya kuwapiga chini ungehakikisha una sink na running water bafuni ili wasitumie hayo makopo. Wangekwambia hawawezi kutumia makopo ungesema wana nyodo
Mi ni mpangaji mkuu
 
Na kuna siku mwenzi ataudosha chini then ataurudishia alipoutoa bila kusafisha
Uzuri wake ni msafi na akiudondosha atauokota na kuusafisha kabla ya kurudisha unapokaa. Jitahidi bafu liwe safi.
IMG_20180507_040813.jpg
 
Hilo kopo/ndoo mnatumia wangapi kuogea, kuendea chooni na kufua vyupi alafu unaitumia kupigia mswaki.

Daah. Alafu mbaya zaidi kila mtu ana ustaarabu wake sasa
du, mmegenerorizi sana, ndoo yang na kopo langu moja chooni kwangu , kila nyumba ina utamaduni wake, nyumba nyingine hata kama za kupanga wanashare choo kila mtu na vifaa vyake!
 
Haya yote ni umasikini tu hakuna kingine, mtu hana sink chooni, hakuna maji ya uhakika kwamba mtu anaweza kuaccess maji hadi ndani, chumba kimoja bafu mtaa wa pili.

Nchi za kimaskini kuanzia serikali hadi watu wake.
Na hayo ndo maisha ya watanzania wengi.
 
Kuna haka katabia cha kutumia ndoo na kopo la kuogea kupigia mswaki

Kwa kweli hii tabia inanikwaza sana.
Mnaofanya hivyo badilikeni aisee. Hata kuweka mswaki juu ya mlango wa bafuni sio usafi kabisa
Juu ya mlango wa bafuni unaweka wapi mswaki?
 
Ni vema ukaintroduce huu ustarabu kwenu/kwako.
Wewe unataka tutumie jagi la maji ya kunywa?
Au unadhani kila nyumba ina sinki la kunawia/kuswakia??
Mambo mengine si ya kuyajadili hapa,just kumwambia mumeo/mkeo yatosha!!!))
Mmoja wapo huyu apa,ww mtu acha uchafu huo.
 
Kuna haka katabia cha kutumia ndoo na kopo la kuogea kupigia mswaki

Kwa kweli hii tabia inanikwaza sana.
Mnaofanya hivyo badilikeni aisee. Hata kuweka mswaki juu ya mlango wa bafuni sio usafi kabisa
Nikadhani umekuja na utafiti wa kisanyansi juu ya athari za tabia hizo kumbe unakwazika na tamaduni ya kiafrica maana hiyo siyo tabia ni tamaduni. nashauri uhamie zimbabwe.
 
Wala hakuna tatizo, ila ni imani kama kawaida yetu, kopo lako, mswaki wako, sijuwi kwanini wa pembeni anakereka?!
Ni kama wenzetu waislamu, mbona hawapigi kelele tunapokula kiti moto?!
Wafaransa wanakula vyura, sisi tulalamike ya nini?!
Wamakonde kwa kula Panya ni hatari, ila ni uchafu kwa kabila zingine!
Wachina kwa kula nyoka, paka, kono kono, mbwa, na chochote kile chenye miguu minne wanapeta, ila tukianza kulalamika tutaonekana majuha!
Watani zangu wagogo, kwa kuomba omba ni ma "champions", mbona sisi Wasukuma hatulalamiki?!🙂😉
Kisichokudhuru wewe kwanini wakereka?!
 
Ni vema ukaintroduce huu ustarabu kwenu/kwako.
Wewe unataka tutumie jagi la maji ya kunywa?
Au unadhani kila nyumba ina sinki la kunawia/kuswakia??
Mambo mengine si ya kuyajadili hapa,just kumwambia mumeo/mkeo yatosha!!!))
Duh kaka nawe unatumia kopo la kutawazia kupigia mswaki! Twafwaaaaa
 
Wala hakuna tatizo, ila ni imani kama kawaida yetu, kopo lako, mswaki wako, sijuwi kwanini wa pembeni anakereka?!
Ni kama wenzetu waislamu, mbona hawapigi kelele tunapokula kiti moto?!
Wafaransa wanakula vyura, sisi tulalamike ya nini?!
Wamakonde kwa kula Panya ni hatari, ila ni uchafu kwa kabila zingine!
Wachina kwa kula nyoka, paka, kono kono, mbwa, na chochote kile chenye miguu minne wanapeta, ila tukianza kulalamika tutaonekana majuha!
Watani zangu wagogo, kwa kuomba omba ni ma "champions", mbona sisi Wasukuma hatulalamiki?!🙂😉
Kisichokudhuru wewe kwanini wakereka?!
Ndio maana kipindupindu hakiishi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom