Utakuwa mmoja wao siyo kwa povu hilo!!!Ni vema ukaintroduce huu ustarabu kwenu/kwako.
Wewe unataka tutumie jagi la maji ya kunywa?
Au unadhani kila nyumba ina sinki la kunawia/kuswakia??
Mambo mengine si ya kuyajadili hapa,just kumwambia mumeo/mkeo yatosha!!!))
Sasa toa ushauri namna ya kufanya sio kulalamika tu.Kuna haka katabia cha kutumia ndoo na kopo la kuogea kupigia mswaki
Kwa kweli hii tabia inanikwaza sana.
Mnaofanya hivyo badilikeni aisee. Hata kuweka mswaki juu ya mlango wa bafuni sio usafi kabisa
kweli kabisa mkuu, hawa watumwa wa fikra kila kitu kwao ni uchafu tu. hivi usipotumia kopo la kuogea au ndoo ya kuogea unataka watumie nini? Alafu kila nyumba inautaratibu wake.Ni vema ukaintroduce huu ustarabu kwenu/kwako.
Wewe unataka tutumie jagi la maji ya kunywa?
Au unadhani kila nyumba ina sinki la kunawia/kuswakia??
Mambo mengine si ya kuyajadili hapa,just kumwambia mumeo/mkeo yatosha!!!))
Nadhani busara ni kuwa na kopo lingine kwa ajili ya kupigia mswaki. Ndoo ya kuogea ambayo unaitumia pia chooni. Imagine unapomwaga chooni ni mara ngapi maji yanaruka na kurudi kwenye ndoo. Auunapoweka mswaki juu ya mlango wa bafu ni watu wangapi wameweka vyupi vyao hapo ulipoweka mswaki wako.Ni vema ukaintroduce huu ustarabu kwenu/kwako.
Wewe unataka tutumie jagi la maji ya kunywa?
Au unadhani kila nyumba ina sinki la kunawia/kuswakia??
Mambo mengine si ya kuyajadili hapa,just kumwambia mumeo/mkeo yatosha!!!))
Hilo kopo/ndoo mnatumia wangapi kuogea, kuendea chooni na kufua vyupi alafu unaitumia kupigia mswaki.kweli kabisa mkuu, hawa watumwa wa fikra kila kitu kwao ni uchafu tu. hivi usipotumia kopo la kuogea au ndoo ya kuogea unataka watumie nini? Alafu kila nyumba inautaratibu wake.
Tunakula vichafu vingapi mkuu?Ikishafanya kazi moja inaoshwa inatumiwa kwa kazi nyingine,kasoro maji ya kunywa na kupikia na kuoshea vyomboBadilika mkuu. Sio usafi kwa kweli. Na ndoo hiyo hiyo unatimia kufulia nguo za ndani na mswaki unaweka juu ya mlango wa bafuni.
Sifanyi hivyoHuwa unatumia ndoo ya kuogea kuwekea maji ya kuny'wa?