Kupiga mswaki na kopo la kuogea

Kupiga mswaki na kopo la kuogea

Kuna demu flani nilshuhudia anafanya hivyo mbona nilimnyima kiss nkamtafutia sababu ya kumpiga chin
 
Kwa nini usiwaambie kinagaubaga wenye tabia hiyo uko kwenu!!? Nyie watu wa nyumba za kupanga kwani mkoje, mbona mnapenda masengenyo!!?
 
Watu wanakula tigo na papuchi kwa mdomo kavu kavu... Ipi nafuu, yaani usafi wa hali ya juu sana unahitajika kwa kila kitu kabla ya kuingia mdomoni.. Kama ni tigo au papuchi osha haswaaa haswaaa kabla ya kwenda sodoma na gomora.. Likewise miswaki na vyombo vyake viwe very clean.
 
Mkuu siongelei nyumba bali naongelea wenye tabia hiyo. Nimekutana na mademu wawili na nikaewapiga chini kwa sababu ya tabia hiyo
Baada ya kuwapiga chini ungehakikisha una sink na running water bafuni ili wasitumie hayo makopo. Wangekwambia hawawezi kutumia makopo ungesema wana nyodo
 
Kwa nini usiwaambie kinagaubaga wenye tabia hiyo uko kwenu!!? Nyie watu wa nyumba za kupanga kwani mkoje, mbona mnapenda masengenyo!!?
Kuwaambia wapangaji wenzangu tu haitoshi mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom