Mkuu we unaona ni sawa kweli mkuu. Niliuliza hapo juu kuwa kama mtu uwwezi kuweka maji ya kupikia kwenye ndoo ya kuogea iweje uwe na ujasiri wa kuchota maji kwenye hiyo hiyo ndoo na kupigia mswakiUSTAARABU UPO: endapo unatumia mwenyewe au na mkeo/mumeo.
Suala la usafi ni la mtu binafsi, so tabia yako kutaka kuwafundisha wanaoishi single wasitumie kopo ni ngumu ku_apply kwa wengine.
Wee endelea kupigia mswaki ndoo na kopo ambalo ukichamba unanawa kwenye ndoo hiyo hiyo, Ukiwa mwezini unafulia humo humo na hata yale mabaki ya maji mazito kwenye vyupi unafulia humo humo. Usiasahau kuna wengine wanaendaga mbali zaidi wanakojoa humo humo usiku😎😎😎😎😎 Mfyuuuuuuu. Mwisho wake mtaanza kusema kuwa sabuni ikidondoka chooni tusiiokote.... Kwendraaaaaa😵😵😵
Nadhani busara ni kuwa na kopo lingine kwa ajili ya kupigia mswaki. Ndoo ya kuogea ambayo unaitumia pia chooni. Imagine unapomwaga chooni ni mara ngapi maji yanaruka na kurudi kwenye ndoo. Auunapoweka mswaki juu ya mlango wa bafu ni watu wangapi wameweka vyupi vyao hapo ulipoweka mswaki wako.
Kuna gharama gani kununua jagi kwa ajili ya kupigia mswaki?
USTAARABU UPO: endapo unatumia mwenyewe au na mkeo/mumeo.
Suala la usafi ni la mtu binafsi, so tabia yako kutaka kuwafundisha wanaoishi single wasitumie kopo ni ngumu ku_apply kwa wengine.
Nakaziaasante kwa hii mada ...inatukumbusha kuhusu usafi ...lakini ajabu waweza kukuta na wewe nimnyonyaji mzuri na maarufu wa papuchi
Ni uchafu tena sio kidogo, wanaofanya hivyo hawataki kubadilika maana mazoea yameshajenga tabia.
Mazoea ndio yanawasumbua..Asante mkuu. Naona wenye tabia zao hawataki kubadilika
Na kwenye papuchi zetu zipo fungus kibao. Mi binafsi naishi mwenyewe kwenye nyumba na bafu na choo natumia peke yangu. Natumia jagi la ndani kupiga mswaki uani na natumia jagi hilohilo kunywea maji na kuchotea maji ya kupikia kwenye ndoo na kuhamishia kwenye sufuria kiroho safi kabisa.Wewe unashangaa mtu kupiga mswaki na kopo/ndoo ya chooni,mbona huulizi wanazama chumvini na kwenye tigo kunyonya.
Hii dunia ukitaka kuwa free deal na mambo yako,ya wengine yatakuumiza kichwa tu.
Kwako haramu kwa wengine halali!!