Huyo jamaa anasema hivyo badae chumvini anazama!!sasa yupi msafi?kweli kabisa mkuu, hawa watumwa wa fikra kila kitu kwao ni uchafu tu. hivi usipotumia kopo la kuogea au ndoo ya kuogea unataka watumie nini? Alafu kila nyumba inautaratibu wake.
Tumieni vdumu acheni ubishi .na wale wanaopiga mswak nje tena kandokando ya njia huku wamevaa vbukta vfup na tumbo waz nao c ustaarabKuna haka katabia cha kutumia ndoo na kopo la kuogea kupigia mswaki
Kwa kweli hii tabia inanikwaza sana.
Mnaofanya hivyo badilikeni aisee. Hata kuweka mswaki juu ya mlango wa bafuni sio usafi kabisa
Hebu fuatana nami kidogo hapa.... Niliuliza hapo juu kuwa kama mtu uwwezi kuweka maji ya kupikia kwenye ndoo ya kuogea iweje uwe na ujasiri wa kuchota maji kwenye hiyo hiyo ndoo na kupigia mswaki
Ni nyumba ya kupanga na kila mtu ana ndoo yake. Hii tabia nimeiona kwa wapangaji wenzangu na girls wawili ambao nimewahi kutoka naoBila shaka bado unaishi na wazazi na hapo nyumban ni nyumba ya familia, yaan wazazi wakoShangaz,mjomba,mamdogo na watoto zao mabalehe na wali wote mmechanganyika humo
Au
Umepanga nyumba yenye wapangaji wenzako wengine wengi, na ni nyumba za uswahilili, chumba kimoja tuu, jiko, store ( kama ipo), ukumbi (sebule), choo na bafu mnatumia kwa pamoja sasa kuna ndoo moja ya chooni/bafuni na kopo moja
Kwa hali kama hii kweli sio ustaharabu kabisa, lkn mm nae tumia ndoo na kopo na mama yako mdogo tuu hapo tatizo lipo wapi?[emoji23]
Hiyo ndo inafuliwa pia inaoshwa mm hapo sijaona kama ni uchafu, labda kama mswaki kuuweka mlango wa bafuni hapo sawa ni uchafuBadilika mkuu. Sio usafi kwa kweli. Na ndoo hiyo hiyo unatimia kufulia nguo za ndani na mswaki unaweka juu ya mlango wa bafuni.
huyu ni mimi Kabisa [emoji16][emoji16][emoji3]Kuna rafiki yangu mmoja alikua anaishi geto kisela kibachela yaani, yeye hatumii kopo la bafuni kupiga mswaki lakini anatumia kikombe ambacho hukitumia kuchota maji ya matumizi ya kawaida kwenye ndoo zingine. Nilipigwa na butwaa.
Lakini mtoa mada usipende kulalamika tu, come up with a solution.
hahaha aiseeeTunakula vichafu vingapi mkuu?Ikishafanya kazi moja inaoshwa inatumiwa kwa kazi nyingine,kasoro maji ya kunywa na kupikia na kuoshea vyombo
[emoji23][emoji28][emoji23] hiyo ni situation nyingine ss chiefasante kwa hii mada ...inatukumbusha kuhusu usafi ...lakini ajabu waweza kukuta na wewe nimnyonyaji mzuri na maarufu wa papuchi
[emoji23][emoji28][emoji23] aseeNyumba zetu za kupanga uswahilini mbona kawaida tu.
Dirisha la bafuni limejaa miswaki ya kila aina usipokuwa makini unajikuta umetumia mswaki wa baba Nyamizi jirani yako.!
Kuna wengine anaoga dawa za kienyeji kisha anasahau kikaratasi cha dawa dirisha la bafuni!
NakaziaKwani ndoo ya kuogea na kopo ni vichafu??? Utaona vichafu endapo na wewe ni mchafu.
Mimi nikikupa ndoo yangu ya kuogea utakunywa na maji bila kujua. Na kopo la kuogea unanywea maji bila kujua ni kopo la kuogea.
Uchafu wako ndo unaokufanya uone ni uchafu ..[emoji23][emoji23] be smart
chief"" nayo inahusika na usafi pia...maana kule Bactria hawaishi ""[emoji23][emoji28][emoji23] hiyo ni situation nyingine ss chief
Unatumia choo cha aina gani? Una flash au ni cha kumwaga maji na ndoo? Hiyo ndoo unatumia kuogea tu au kwendea chooni na kufulia nguo za ndaniKwani ndoo ya kuogea na kopo ni vichafu??? Utaona vichafu endapo na wewe ni mchafu.
Mimi nikikupa ndoo yangu ya kuogea utakunywa na maji bila kujua. Na kopo la kuogea unanywea maji bila kujua ni kopo la kuogea.
Uchafu wako ndo unaokufanya uone ni uchafu ..[emoji23][emoji23] be smart
[emoji4][emoji4]Asante Mumu
Kuogea tuUnatumia choo cha aina gani? Una flash au ni cha kumwaga maji na ndoo? Hiyo ndoo unatumia kuogea tu au kwendea chooni na kufulia nguo za ndani