Kupiga mswaki na kopo la kuogea

Kupiga mswaki na kopo la kuogea

Ni vema ukaintroduce huu ustarabu kwenu/kwako.
Wewe unataka tutumie jagi la maji ya kunywa?
Au unadhani kila nyumba ina sinki la kunawia/kuswakia??
Mambo mengine si ya kuyajadili hapa,just kumwambia mumeo/mkeo yatosha!!!))
Siku hizi kuna ''makopo'' mengi ya plastiki yanauzwa kwa bei rahisi. Ni kiasi cha kununua kila mtu awe na la kuogea na kupigia mswaki.
 
Kuna haka katabia cha kutumia ndoo na kopo la kuogea kupigia mswaki

Kwa kweli hii tabia inanikwaza sana.
Mnaofanya hivyo badilikeni aisee. Hata kuweka mswaki juu ya mlango wa bafuni sio usafi kabisa
Aisee ni kweli Mkuu,Nimepanga huku MINJINGU yaani kuna wapangaji wenzangu wameweka miswaki Chooni yaani huwa nawashangaa sana khaaaaaa......Siku akitokea kichaaa anaweza akaipakaza kubwa akaicha hapo hapo ha ha ha ha.
 
kweli kabisa mkuu, hawa watumwa wa fikra kila kitu kwao ni uchafu tu. hivi usipotumia kopo la kuogea au ndoo ya kuogea unataka watumie nini? Alafu kila nyumba inautaratibu wake.
Mmeelewa anayosema mwanzisha thread? Anataka kuondoa utamaduni mbovu wa watanzania wengi wa kutumia kopo moja kwa matumizi mengi. Makopo yanauzwa rahisi sana na yapo kila mahali. Kwanini tusinunue kila kopo na mtumiaji wake na shughuli yake.
 
Mimi miaka yote natumia kopo la kuogea kupigia mswaki sioni tatizo
 
Sio kila mtu anaweza kununua makopo ya plastiki,fikiria watu kula milo mitatu kwa siku ni shida,wengine hata sehemu ya kuishi ni shida,wengine hata chupi wanayo moja (kauka nikuvae)
Kama una uwezo wa kununua makopo ya plastiki kwa kila mtu kwenye familia yako,hongera sana!!
 
Yani Mimi hata kitendo tu cha kupigia mswaki bafuni yani siwezi,,,,unaanzaje kwanza kuchukua kopo unaweka maji na kupigia mswaki
Unajua watu mnachanganya, Mazingira unayoishi wewe, na wengine, mfano: Mtu anaishi nyumba ya kupanga, ama familia, choo na bafu iko ndani, mwenyeji anamka saa, 11 alfajiri, aende akaswaki nje, alafu arudi ndani kuoga. ni choo ya shimo, ambayo haina sakafu hii naona hairuhusu kuswakia huko.
Kamwe sijawahi toka nje na taulo kuswaki, kama sio ustaarbu ni mimi, maana mimi kuswakia nje naona kuchafua mazingira.
 
Aisee ni kweli Mkuu,Nimepanga huku MINJINGU yaani kuna wapangaji wenzangu wameweka miswaki Chooni yaani huwa nawashangaa sana khaaaaaa......Siku akitokea kichaaa anaweza akaipakaza kubwa akaicha hapo hapo ha ha ha ha.
Katika nchi yenye mila na desturi mbovu za chooni ni nchi yetu. Nadhani watu wanapokuja nchini kwetu huwa wanatushangaa sana. Unaenda chooni tena ni cha public unakutana na li-container kubwa lenye maji na kopo kwa pembeni! Hizi ndizo nyenzo zinazotumika na watu wote na muda wote. Jamani daa! Kinyaaa! Ni kwanini tusibadilike angalau container tuliweke cork ya bomba na yawe ndani ili mtu afungue kama bomba na siyo kuingiza mikono michafu kwenye maji na kushika shika kopo na kinyesi?
 
Ni bora ku share ndoo ya kuogea na kopo lakini pia mkawa na kopo tofauti la kuswaki.
Hayo makopo ya kunawia ya watu saba, na ya akiba kwaajili ya wageni, tuwe tunayatunza wapi, au tujenge na kachumba kidogo, Sambamba na choo, kwaajili ya kuhifadhia makopo ya kunawia, jibu tafadhari, ndiyo tunaelimishana hivyo.
 
Aisee ni kweli Mkuu,Nimepanga huku MINJINGU yaani kuna wapangaji wenzangu wameweka miswaki Chooni yaani huwa nawashangaa sana khaaaaaa......Siku akitokea kichaaa anaweza akaipakaza kubwa akaicha hapo hapo ha ha ha ha.
Hao wanatisha
 
Sio kila mtu anaweza kununua makopo ya plastiki,fikiria watu kula milo mitatu kwa siku ni shida,wengine hata sehemu ya kuishi ni shida,wengine hata chupi wanayo moja (kauka nikuvae)
Kama una uwezo wa kununua makopo ya plastiki kwa kila mtu kwenye familia yako,hongera sana!!
Sikubaliani na hoja yako. Makopo ya plastiki ni bei rahisi sana na yako mengi.
 
Mmeelewa anayosema mwanzisha thread? Anataka kuondoa utamaduni mbovu wa watanzania wengi wa kutumia kopo moja kwa matumizi mengi. Makopo yanauzwa rahisi sana na yapo kila mahali. Kwanini tusinunue kila kopo na mtumiaji wake na shughuli yake.
Asante mkuu
 
Katika nchi yenye mila na desturi mbovu za chooni ni nchi yetu. Nadhani watu wanapokuja nchini kwetu huwa wanatushangaa sana. Unaenda chooni tena ni cha public unakutana na li-container kubwa lenye maji na kopo kwa pembeni! Hizi ndizo nyenzo zinazotumika na watu wote na muda wote. Jamani daa! Kinyaaa! Ni kwanini tusibadilike angalau container tuliweke cork ya bomba na yawe ndani ili mtu afungue kama bomba na siyo kuingiza mikono michafu kwenye maji na kushika shika kopo na kinyesi?
Africa bado sana ndio maana wazungu wanatudharau tupo primitive.
 
Sio kila mtu anaweza kununua makopo ya plastiki,fikiria watu kula milo mitatu kwa siku ni shida,wengine hata sehemu ya kuishi ni shida,wengine hata chupi wanayo moja (kauka nikuvae)
Kama una uwezo wa kununua makopo ya plastiki kwa kila mtu kwenye familia yako,hongera sana!!
Vitu vingine ni kujiendekeza mkuu. Ukose hadi 500
 
Hayo makopo ya kunawia ya watu saba, na ya akiba kwaajili ya wageni, tuwe tunayatunza wapi, au tujenge na kachumba kidogo, Sambamba na choo, kwaajili ya kuhifadhia makopo ya kunawia, jibu tafadhari, ndiyo tunaelimishana hivyo.
Inategemea na nyumba unayoishi. Tatizo sisi waafrika tumeshakubali na kudhani kuwa choo au bafu ni sehemu inayotakiwa kuwa chafu. Kwa wale waliyowahi kusafiri nje kwenda nchi zilizoendelea nadhani wanajua chooni inatakiwa iweje.
 
Katika nchi yenye mila na desturi mbovu za chooni ni nchi yetu. Nadhani watu wanapokuja nchini kwetu huwa wanatushangaa sana. Unaenda chooni tena ni cha public unakutana na li-container kubwa lenye maji na kopo kwa pembeni! Hizi ndizo nyenzo zinazotumika na watu wote na muda wote. Jamani daa! Kinyaaa! Ni kwanini tusibadilike angalau container tuliweke cork ya bomba na yawe ndani ili mtu afungue kama bomba na siyo kuingiza mikono michafu kwenye maji na kushika shika kopo na kinyesi?
Yale maji yanayoshinda kule chooni, hayawekwi, kwaajili ya kuogea, na kuswakia, yanawekwa kwa ajili ya kutawadhia.
Mara nyingi maji huachwa chooni, hasa kwenye vyoo vya familia, hasa huko, huko vijijini.
Ili mgeni aendapo chooni asihangaike na kuchota maji, ama kama ni mgeni, tena mwingine ni mkwe, asiombe maji kwenda haji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom