Kupiga mswaki na kopo la kuogea

Kupiga mswaki na kopo la kuogea

Vitu vingine ni kujiendekeza mkuu. Ukose hadi 500
Nyumba nyingine ni za familia zina watu 11,sasa wawe na makopo ya kuchambia,wawe na makopo ya kupigia mswaki.
Hapo itabidi kuwe na stoo au strong room kwa ajili ya kutunza makopo tu.
Je na wale wanaoishi nyumba za kupanga,chumba kimoja na sebule itakuwaje??
Kila mtu aishi apendavyo na awezavyo!!
 
Katika nchi yenye mila na desturi mbovu za chooni ni nchi yetu. Nadhani watu wanapokuja nchini kwetu huwa wanatushangaa sana. Unaenda chooni tena ni cha public unakutana na li-container kubwa lenye maji na kopo kwa pembeni! Hizi ndizo nyenzo zinazotumika na watu wote na muda wote. Jamani daa! Kinyaaa! Ni kwanini tusibadilike angalau container tuliweke cork ya bomba na yawe ndani ili mtu afungue kama bomba na siyo kuingiza mikono michafu kwenye maji na kushika shika kopo na kinyesi?
Mbaya zaidi wakishachamba wananawa kwenye hilo container
 
Mswaki unalala bafuni lkn kutumia kopo la kuogea unaona uchafu?!
Wewe, kama walivyo waafrika wengi, umeshakubali kuwa choo au bafu ni lazima iwe chafu na haina haja kusafishwa sana. Ndugu nikipiga picha ya bafu nalotumia ni kama chumba cha VIP hapo bongo. Nilipokuwa nafanya kazi ya box nyumba zote nilizokuwa nafanya usafi bafu ian kila kikombwelezo. Na miswaki ndiko inakokaa. Kama hujaruka majuu ni ngumu kuelewa.
 
Naunga mkono hoja
Hususan kwenye nyumba za kupanga ustaarabu ni chini ya F
Inawezekana wewe ndoo ya kuogea huendei chooni ila ndoo hiyo hiyo wao wanaendea chooni.
Hilo ni tatizo tujali afya zetu.
Kopo langu la chooni sio chafu ila ndoo yangu ndio chafu.
Mimi ninazani nyumba ya kupanga, kila mtu anatumia ndoo yake, kwa sababu kila mtu pia, anatumia maji yake. Ku share ndoo ya kuogea wapangaji, dar sijui inawezekana.
 
Naunga mkono hoja
Hususan kwenye nyumba za kupanga ustaarabu ni chini ya F
Inawezekana wewe ndoo ya kuogea huendei chooni ila ndoo hiyo hiyo wao wanaendea chooni.
Hilo ni tatizo tujali afya zetu.
Kopo langu la chooni sio chafu ila ndoo yangu ndio chafu.
 
Yale maji yanayoshinda kule chooni, hayawekwi, kwaajili ya kuogea, na kuswakia, yanawekwa kwa ajili ya kutawadhia.
Mara nyingi maji huachwa chooni, hasa kwenye vyoo vya familia, hasa huko, huko vijijini.
Ili mgeni aendapo chooni asihangaike na kuchota maji, ama kama ni mgeni, tena mwingine ni mkwe, asiombe maji kwenda haji.
Najua na ndiyo maana nasema ni mila mbovu kuliko. Watu wengine wanachota maji na mikono yenye kinyesi.
 
Wewe, kama walivyo waafrika wengi, umeshakubali kuwa choo au bafu ni lazima iwe chafu na haina haja kusafishwa sana. Ndugu nikipiga picha ya bafu nalotumia ni kama chumba cha VIP hapo bongo. Nilipokuwa nafanya kazi ya box nyumba zote nilizokuwa nafanya usafi bafu ian kila kikombwelezo. Na miswaki ndiko inakokaa. Kama hujaruka majuu ni ngumu kuelewa.
Bora ww mzungu
 
Hayo makopo ya kunawia ya watu saba, na ya akiba kwaajili ya wageni, tuwe tunayatunza wapi, au tujenge na kachumba kidogo, Sambamba na choo, kwaajili ya kuhifadhia makopo ya kunawia, jibu tafadhari, ndiyo tunaelimishana hivyo.
Basi muwe na makopo mawili. Moja la kuogea na kupigia mswaki
 
Nyumba nyingine ni za familia zina watu 11,sasa wawe na makopo ya kuchambia,wawe na makopo ya kupigia mswaki.
Hapo itabidi kuwe na stoo au strong room kwa ajili ya kutunza makopo tu.
Je na wale wanaoishi nyumba za kuoanga,chumba kimoja na sebule itakuwaje??
Kila mtu aishi apendavyo na awezavyo!!
Hapana mkuu. Makopo yawe mawili tu. La kuogea na kuswaki
 
kweli kabisa mkuu, hawa watumwa wa fikra kila kitu kwao ni uchafu tu. hivi usipotumia kopo la kuogea au ndoo ya kuogea unataka watumie nini? Alafu kila nyumba inautaratibu wake.
Unatetea jambo hatari kwa afya ya binadamu.
Makopo ya kuogea ndio mnatumia kama makopo ya kutawazia, yamejaa wadudu wa salmonella kibao.
Ukiumwa Tyhoid unaanza kumlalamikia Mungu hakulindi na magonjwa wakati kakupa akili za kutambua jambo zuri na baya.
Ninyi ndio mnawaza kila tatizo la kiafya litokanalo na uzembe ni uchawi.
 
Wewe, kama walivyo waafrika wengi, umeshakubali kuwa choo au bafu ni lazima iwe chafu na haina haja kusafishwa sana. Ndugu nikipiga picha ya bafu nalotumia ni kama chumba cha VIP hapo bongo. Nilipokuwa nafanya kazi ya box nyumba zote nilizokuwa nafanya usafi bafu ian kila kikombwelezo. Na miswaki ndiko inakokaa. Kama hujaruka majuu ni ngumu kuelewa.
Inategemea pia
 
Unatetea jambo hatari kwa afya ya binadamu.
Makopo ya kuogea ndio mnatumia kama makopo ya kutawazia, yamejaa wadudu wa salmonella kibao.
Ukiumwa Tyhoid unaanza kumlalamikia Mungu hakulindi na magonjwa wakati kakupa akili za kutambua jambo zuri na baya.
Ninyi ndio mnawaza kila tatizo la kiafya litokanalo na uzembe ni uchawi.
Asante mkuu
 
Nadhani busara ni kuwa na kopo lingine kwa ajili ya kupigia mswaki. Ndoo ya kuogea ambayo unaitumia pia chooni. Imagine unapomwaga chooni ni mara ngapi maji yanaruka na kurudi kwenye ndoo. Auunapoweka mswaki juu ya mlango wa bafu ni watu wangapi wameweka vyupi vyao hapo ulipoweka mswaki wako.
Kuna gharama gani kununua jagi kwa ajili ya kupigia mswaki?

Nyie wengine mna ugonjwa ila bado hujajitambua.
 
Kuna haka katabia cha kutumia ndoo na kopo la kuogea kupigia mswaki

Kwa kweli hii tabia inanikwaza sana.
Mnaofanya hivyo badilikeni aisee. Hata kuweka mswaki juu ya mlango wa bafuni sio usafi kabisa

Hakuna cha ajabu ndoo na kopo natumia mimi mwenyewe shida ipo wapi?

Uswahilini beseni la kuoshea vyombo linatumika kufulia nguo hadi nepi za mtoto.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom