Kuoa/kuolewa sio sababu ya kunenepeana

Kuoa/kuolewa sio sababu ya kunenepeana

nimesikia kabadilishiwa sketi na karudi kazini

10257714_669761659727233_7256969632847530736_n.jpg


Tutaaandamana wametunyima haki yetu ya kufaida mambo mazuri
Kwa kweli mimi nitaunga mkono maandamano hatukubaliani na unyanyapaa huo kwa nini wengine wavae fupi na yeye ashonowe ndefu hivyo utafiti na Tized njooni huku
 
Last edited by a moderator:
Tutaaandamana wametunyima haki yetu ya kufaida mambo mazuri
Kwa kweli mimi nitaunga mkono maandamano hatukubaliani na unyanyapaa huo kwa nini wengine wavae fupi na yeye ashonowe ndefu hivyo utafiti na Tized njooni huku
maandamano ya nini sasa wewe mkenya??
 
mbona kuongeza unene easy tu mwone mwallu amesema asha boko kampita kidogo tu

Hahahahahahaaaa! Mndengereko unautani na mwallu wewe! Kuliko Asha boko tena!! Kwi kwi kwi!
Eti mwallu, ni kweli alioyasema Mndengereko?

mimi kuwa kama Asha boko sitaki, kama vipi nisaidie tu at least niwe na unene kama wa Almarhum Kanumba!
 
Last edited by a moderator:
mi mwenyewe nataka kupungua..kwa mwili huu nilionao hakuna hata anaenisogelea
nimesikia kuna virutubisho vinawasaidia baadhi ya watu kurudi kwenye Mwili wako Halisi vinaitwa
POWER OF CLEAN 9 FOOD SUPPLIMENTS

Sio KEMIKALI....Ni Virutubisho Mbadala! inasemekana vimewasaidia wengi kama utakuwa interested mcheki seth kwenye namba hizi
0754 711243
,(haya maelezo nimeyatoa kwenye ukurasa wa fb wa seth-giovani mwenyewe anadai imewasida wengi kupungua ushahidi picha hizi hapa


1461753_669729043063828_5219466115283299474_n.jpg


1175382_669729076397158_1333596430828755522_n.jpg


1901332_669729143063818_7176964230637848877_n.jpg


10258845_669729399730459_4050514405287299865_n.jpg
 
Kwani si kuna jumuiya ya Africa Mashariki mkuu kukaa popote nahamishia makazi huko kwa sababu yake na nikishahamisha makazi namtafuta
hahah utaandamana peke yako mkuu kwa hilo sikuungi mkono unataka ajali ziendelee kenya na foleni zisizo na ulazima?
 
Hahahahahahaaaa! Mndengereko unautani na mwallu wewe! Kuliko Asha boko tena!! Kwi kwi kwi!
Eti mwallu, ni kweli alioyasema Mndengereko?

mimi kuwa kama Asha boko sitaki, kama vipi nisaidie tu at least niwe na unene kama wa Almarhum Kanumba!
sijamsingizia mkuu hayo maneno kafunguka mwenyewe mwallu
 
Last edited by a moderator:
hahah utaandamana peke yako mkuu kwa hilo sikuungi mkono unataka ajali ziendelee kenya na foleni zisizo na ulazima?

Mkuu niunge mkono bana tuwatetee wapate haki yao ya kuvaa watakavyo na hata hapa bongo sheria isiwabane wavae hata mini na top kabisatuone maumbo yao
 
we uongezeke kidogo tu..mi ndo nafanya juhudi za kupungua aseee..hii si hali nzuri
Hahahahahahaaaa! Mndengereko unautani na mwallu wewe! Kuliko Asha boko tena!! Kwi kwi kwi!
Eti mwallu, ni kweli alioyasema Mndengereko?

mimi kuwa kama Asha boko sitaki, kama vipi nisaidie tu at least niwe na unene kama wa Almarhum Kanumba!
 
Last edited by a moderator:
kujiachia ruksa lakini isipitilize mpk sasa mtu ukawa haueleweki wala hauvutii tena matokeo yake unakujikuta zamani mapigo yote unayamudu sasa hivi umenenepeana unakuwa selective kwenye mapigo....

Tatizo unapokuja kuuzuia ni kazi ngumu sana
Na mtu ambaye hata mazoezi kwake ni shida tangu zamani hali ndo inakuwa ngumu zaidi
 
haya ndo mambo ninayoyataka kwa sasa
[FONT=lucida
grande]nimesikia kuna virutubisho vinawasaidia baadhi ya watu kurudi
kwenye Mwili wako Halisi vinaitwa [/FONT]

POWER OF CLEAN 9 FOOD
SUPPLIMENTS

Sio KEMIKALI....Ni Virutubisho Mbadala! inasemekana
vimewasaidia wengi kama utakuwa interested mcheki seth kwenye namba
hizi

0754 711243
,(haya
maelezo nimeyatoa kwenye ukurasa wa fb wa seth-giovani mwenyewe anadai
imewasida wengi kupungua ushahidi picha hizi hapa


1461753_669729043063828_5219466115283299474_n.jpg




1175382_669729076397158_1333596430828755522_n.jpg




1901332_669729143063818_7176964230637848877_n.jpg




10258845_669729399730459_4050514405287299865_n.jpg
 
Yaan ni shida maah!!! Sijui tutaolewa na nani make kila mwanaume anataka kimodo.

Sie matukunyema tutasugua goti sana!!!!

mi nakupenda ivo ivo ulivyo, charminglady. Ningekuwa bado kijana na sijaoa hakyanani ungekuwa mama watoto...au tuhamie Kenya maana kule kuna sheria rafiki ya ndoa?
 
Last edited by a moderator:
Halafu mwallu kwa michango yako hapa kwenye uzi ukirudi jioni uje na fimbo kabisa nina kazi nazo:shock:
 
Last edited by a moderator:
hips.com hivi amechangia chochote hapa??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom