Kuoa/kuolewa sio sababu ya kunenepeana

Kuoa/kuolewa sio sababu ya kunenepeana


acha tujinenepee sie
kuchaguliwa katika wale wengi
c mchezo,mi sina tofauti na asha boko na bado
nataka ninenepe zaidi ebooo!!
 
Kama mme wake atafuraishwa na iyo hali haina shida.Ubaya ni pale mume anapotaka urudi kwenye umbo lako then mwanamke hutaki full kujiachia.
 
Huwa tunashanga sana hata sisi ambao hatujaoa, vipi mtu anakuwa na matuta ya viazi kwenye mwili wake? Wanaboa sana ni kujiachia tu na ni uvivu! We mtu kila kitu dada fanya hiki, lete hiki, yeye kaganda kwenye tv.
 
wengi huuwa wanaanza mazoezi ili wapungue lakini kwenye swala la diet ndio huchemka watu huwa hawawezi kujinyima wanapenda sana kubugia hasa vitu vya mfauta mafuta so ushauri wangu ukianza mazoezi jitahidi sana pia kuangalia chakula unachokula otherwise itakuwa kazi bure.

Hapo kwnye chakula ndo tatizo na huu ukibonge wangu ni toka nina siku moja hapa duniani,,,
Diet naianza pia ntakupa mrejesho wake..
 
Hapo kwnye chakula ndo tatizo na huu ukibonge wangu ni toka nina siku moja hapa duniani,,,
Diet naianza pia ntakupa mrejesho wake..
hwish u all the best katika struggle zako. za kupungua.kama witness aliweza kupungua naamini hata wewe huwezi kushindwa
 
huhuuuu! wembamba ndo mpango mzima, mi najiulizaga hivi mtu unaona raha gani kuwa na limwili likubwa? kwa nini usijimaintain ukawa simple tu wakupendeza? ndoa sio sababu ya kukufanya uwe kibonge, wengine sijui wanaona sifaaa kuwa mnene ukiolewaaaaaa! mh hata sielewi ila I hate utukunyema jamani! potable ndo mpangooooo........
 
unene una raha yake
huhuuuu! wembamba ndo
mpango mzima, mi najiulizaga hivi mtu unaona raha gani kuwa na limwili
likubwa? kwa nini usijimaintain ukawa simple tu wakupendeza? ndoa sio
sababu ya kukufanya uwe kibonge, wengine sijui wanaona sifaaa kuwa mnene
ukiolewaaaaaa! mh hata sielewi ila I hate utukunyema jamani! potable
ndo mpangooooo........
 
Ambao hatujaoa wala kuolewa kwa kweli tunakonda na mawazo tu ya lini tutaoa na kuolewa, na ndio maana mtu akishaoa na kuolewa yale mawazo yanaondoka na ananenepa. we mtu unakimbilia miaka 40 hata kusalimiwa husalimiwi, utanenepaje???:biggrin1::biggrin1:
 
mmh umenichekesha kwel leo.. tuna tabu vimodel tukiolewa! ina maana itabid tumaintain umodel we2.. hahahaha uwiiiii
 
Back
Top Bottom