102???? Unataka kupasuliwa mbao??????
hahaha Mndengereko maisha ya bongo ni magumu sana kujiweka juu si kazi ndogo wallah sasa ndo umepata mume ukikohoa tu waulizwa nini shidaa kwanini nisinenepe kila kitu unapewa acheni tujiachie lol
neddy roastkuku walindizi ipo njiani mwambie tolu awe anamaintain time
mi nanenepa tu..hata sijui nanenepeshwa na nini..
juzi nikikuwa na Excel kwenye sherehe za muungano kaniambia na ww umeanza kuota kitambi anapata shida kukubeba
hahahahaha una swagga tatizo jina lako lantishaje
even a pig fall in love do not hesitate
kwahiyo wanene tukiwapita huwa mnatuchunia enhee
hahahaaaaaaaaa ngoja nianze kumaintain sa sijui nitamaintain nini hapa
hahahahaha ngoja niongeze speed mume mwenyewe anavyojua kudekeza hahahaha atanibeba na machine soon
jiangalie usije ukamvunja kiuno mtoto wa mwanamke mwenzio hahahaa
Hivi una nyege au unanitaka?
hahahaha mgirik bhana mbona unaniangusha atavunjikaje kiuno na yeye ndo mkwezi lol