Ukitaka mkeo mnene akonde
saizi unayotaka mwache agundue kama unachepuka tena na mwanamke mzuri
zaidi yake.
congratulations for being portable.huhuuuu! wembamba ndo mpango mzima, mi najiulizaga hivi mtu unaona raha gani kuwa na limwili likubwa? kwa nini usijimaintain ukawa simple tu wakupendeza? ndoa sio sababu ya kukufanya uwe kibonge, wengine sijui wanaona sifaaa kuwa mnene ukiolewaaaaaa! mh hata sielewi ila I hate utukunyema jamani! potable ndo mpangooooo........
hahahahaha hiyo itakuwa ni massive transitiion wasiokujua wanaweza kufikiri umepata miwaya.hapo nitakonda...from asha boko's size mpaka flavi's
haipaswi kufika huko ni mwanamke mwenyewe inabidi ajitambue na kujiweka poa sio mpk apate external pressure za kumforce kuwa mwembambaUkitaka mkeo mnene akonde saizi unayotaka mwache agundue kama unachepuka tena na mwanamke mzuri zaidi yake.
fanyastruggle zako mkuu za kutubandikia picha usimtegemee tayta benki yake ya picha imefilisikaTyta njoo mkuu, #TeamWekaPicha inaomba msaada
congratulations for being portable.
hahahahaha hiyo itakuwa ni massive transitiion wasiokujua wanaweza kufikiri umepata miwaya.
viportable wenye hela zao ndani na nje ya nchi hawaridhiki kwani?tunaridhika jaman daaa
i like vi portable.asante mwaya
i like vi portable.
SAY NO to VITAMBI'S
mwishowe vikojoleo vitashindwa kukutana lolz...
huo unene umeupata lini mara ya mwisho mbona ulikuwa kimodel tu!!