Niambie basi!
Nifanyeje niwe chibonge?
haya ndo mambo ninayoyataka kwa sasa
Tatizo unapokuja kuuzuia ni kazi ngumu sana
Na mtu ambaye hata mazoezi kwake ni shida tangu zamani hali ndo inakuwa ngumu zaidi
Niambie basi!
Nifanyeje niwe chibonge?
kiukweli ukiolewa lazima utatanuka kidogo hata kama unafanya nini, umeolewa na kilo 50, unazaa bado unakilo 50,mmh hapo jichunguze utakuwa na roho mbaya ambayo inakusumbua mwili hauwezi kukubali kujiachia, mwaya ukiolewa na ukipendwa lazima utanuke tena sana tuu
Mkuu niunge mkono bana tuwatetee wapate haki yao ya kuvaa watakavyo na hata hapa bongo sheria isiwabane wavae hata mini na top kabisatuone maumbo yao
utasababisha majobless wajazane /walundikane kwenye makutano ya barabara au sehemu atakayopangiwa kazi huyo askari
kazi kwako ushindwe wewe tu.
Mimi ni muslim but sio kigezo cha kusema niseweke shavu!kwa kweli sijui dini yako kama inaruhusu..ila kitimoto...ni msaada sana ...
halafu,kuna uji wa ulezi...ule wenye mchanganyiko wa soya,karanga,ulezi, na dagaa kama utapenda......huo uji ukipikwa unatiwa maziwa pia...mwezi mmoja tu shavu hiloo
kabla hujakuwa chibonge hivi unajua kwamba kunenepa ni kazi rahisi kuliko kukonda so kuwa mwangalifu sana.
Mimi ni muslim
but sio kigezo cha kusema niseweke shavu!
Yule mdudu hajaharamishwa moja kwa moja kama ilivyoharamishwa zinaa na
kamari! Cha ajabu watu wanagegedana kila leo! Wanasemaga haina shee!
Na kuhusu kamari unaona mwenyewe watu wanavyobeti!
:focus:
Mimi nitamkula kama dawa ili niwe chibonge!
Dadadeko nataka atokee shee m1 tu anipinge hapa aone nntakavyomsomea
halbadiri!
Hata bangi ni haramu but kwa dawa inaruhusika!
Pambaf! nilishapigwa kibuti na kuambiwa sitorudiwa hadi niwe chibonge!
mwallu hakuna nisichokula!
Tena nitakuwa mpuuzi nikiweza kumeza viribirizo na kushindwa kula dagaa!
Ukizingatia nakula kama dawa! Mwallu sinaga pozi mwenzio! Ukizingatia
sijakremu!
The issue is zati kwa sasa sipo kwa mkoa wenye beach! Sasa hao dagaa
sijui nitawapataje!
Labda uniambie jee ni lazima na dagaa wawemo? Dagaa wa maji maridi je?
naomba unijibu hapo!
...
All in all, nakushukuru sana na ubarikiwe kwa jina la bwana
Yesu!
Mkuu Mndengereko huyu Tized bado anapambana na yule traffic wa kwa Uhuruto nafikiri leo yuko huko aise anamtafuta
Me kibonge nyanya dhambi ya unene inanitafuna haswaaaaaa!!!!!
Ngoja nianze zoezi labda ntakua mis...
Mndengereko na Mr Rocky acheni hizo!!!! Nimeenda kumbe keshaamishwa kituo bhana. Hizo ni fitna za Mr Rocky tu.
Kaka Mndengereko umenena mkuu, Big up. Ni ukweli usiopingika kuwa kwenye kula watu tunajisahau sana ndio unakuta tuna mamiili mikubwa isiyo na tija. Na pengine imani kuwa unene unaonesha maisha bora au kuridhika na maisha. Au pengine ni mtazamo hasi kuwa kunenepa ndio kunaonesha afya imekubali.
Mkoloni amechachamaa sana, Ndo kaniachia punde.. Nitarudi mkuu... ngoja nikaliweke Oil na grisi lile BASI la Morinyo leo lina route ya Atletico baada ya kutoka liva.
Mmh! Kunenepa ni kazi rahisi?????
both are applicable since you are a she am real he ,i love yo salt LMAO