Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Well nikushaur jambo moja muhimu kwanza kabisa

Maisha ni zawadi Leo Huko hapa JF unashauriwa na watu usio wajua kesho utakua wapi maisha has alot to learn sema inataka roho Ngumu sana kufikia malengo yako muhimu

Jambo kuu na lenye thaman kwa kijana ni kuwa na uchungu kama ulionao Sasa

Na kubwa zaidi kupenda kufanikisha mambo yako no matter how hard

Lililo kuu ni kwamba Uwe mchungu na pesa sana ata noti ya elfu 1 value it as unaivalue million100

Mwisho take it as bonus Jifunze kutofautisha NEEDS na WANTS thank you n karibu.
 
30 umechelewa tayari!!...wanaume tunapiga mkwanja mrefu tutakosaje hivyo vitu?..
 
And it's true nimemaliza first degree nikiwa na miaka 21, nikaunganisha kusoma Masters, kwa miaka miwili . Sasa hapo uongo uko wapi? Hesabu ndogo hivi zinakushinda

Itakuwa inawezekana iwapo tu miaka yako ya masomo katika ngazi zote za elimu ilikuwa inaanzia January - Desemba. Lakini kama umesoma kama wengine ambao kidato cha tano wanaanza Julai na Chuo wanaanza mwaka wa kwanza Sept/Oktoba basi haiwezekani!
 
It is possible km huna anasa anasa...kila weekend unajirusha...
Nilianza kazi at 23
Nikanunua kijishamba at 24
Nikanunua kigari with my very own money at 25 kwa kumake...(maana wanajamii/jirani walikua wachoyo sana na lift zao wananipita nikienda job[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16])
Swala la kujenga sikutaka kuwaza nikasema mpk nipate mwenza wangu tujenge wote...nisije kosa mume bure...lol...
Ukipunguza spending everything is possible...
ILA KIPINDI HIKI CHA MSUKUMA KILA KITU BEI JUU...SIJUIIIIII..KM
ITAKUWA SIMPLE...bandarini kwenyewe kodi juu lol
pia..jikune unapoweza..usiige watu
Nilitafuta ke wa kwanza kujibu nimekupata.
Kwa akinamama inawezekana maana mnajua kubana ila kwa wanaume hizo ni story za vijiweni kama mtu atatumia mshahara! Mimi mpaka leo napanga nyumba hata baisikeli sina
 
WaPo wengi sana..kuna mmoja amenunua gari ya Million17 from Japan tena ni Senior lecture wa Chuo kimoja hapa Tz na sasa anafanya Phd yake safi!
Sasa anakuaje senior lecture na Hans PhD bado chuo gani huko aisee
 
mimi isingekuwa my extended family na shida nyingi hizi, basi hadi kufikia umri huo ningekuwa na gari na nyumba and more Nashukuru Mungu niliwahi kusoma na kupata kazi nzuri katika umri mdogo, nilimaliza my master degree at the age of 24. Nikapata kazi ya kunilipa mshahara mzuri sana at the age of 25, now nina miaka 27. Namshukuru Mungu napata mshahara si haba, nikijibana naweza nunua gari, nikajenga nyumba na nyongeza kabla ya kufikia 30. Lakini doo, mshahara ukitoka tuu unapukutika hatare, Umtumie bi mdashi home, shangazi sijui mjomba nini na nini basi najukuta naendelea kuwa maskini tuu bila kupenda. saivi ndo nipo nawajengea wazazi nyumba, nimalizanane nao ndo nianze kujijenga mimi.
Wewe unasema hali halisi. Wengine mh!!!!
 
MLU wa FOREX anamiliki BMW

alafu kama ndoto yako ya kumiliki nyumba na gari kabla haujaoa imejengeka kwenye betting utakosa vyote
 
Kwa wasanii na wauza madawa ya kulevya wanamiliki mbona
Ila mimi nashukuru angalao ninamiliki room 3 huko kwetu japo hapa mjini nimepanga
 
Mm nilifukuzwa nyumbani nikiwa 19 yrs nikaowa wen i was 21 nikiwa na escudo bro nikahama bara zima la africa na wife nikiwa 26 yrs nimejenga kigamboni tuna watoto 2 na sijutii uamuzi wakuowa na changamoto zake she is all i needed in life and she has sharpen my mind get a wife utapata vyote .....and more
Umenikumbusha jirani yetu alikuwa anafukuza nyumbani watoto wa kiume baada ya kumaliza sekondari au la saba kama ukubahatika kuendelea, vijana wake wote wako very successful huwezi amini.
 
Inategemea na bahati ya mtu na kikubwa hii bahati isimamiwe na akili zenye utashi kwani umri huo vijana wengi wanawaza starehe zaidi kwa kufikiri maisha yatajiseti baada ya kuanza 30...
 
Back
Top Bottom