Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Ndo mana nimekuambia I was lucky, unlike others. Kila darasa nililopita i was the youngest student. Ndo mana natumia hii statement 'nilibahatika kuanza shule mapema '
[emoji122][emoji122] basi kama ndo hivo u don't quality I this question cz hukukidhi vigezo vyote
 
Duh hii mada inatujeruhi wengine jamani, pole pole aisee. Naomba assessment kwangu. Nina nyumba moja uswahilini ya kawaida tu ila eneo kubwa, nina viwanja viwili vilivyopimwa, nina shamba moja heka nane, nina plot mbili zisizopimwa, nina gari ndogo ya kawaida na hapo umri umesonga balaa, nina 40yrs. Je nipo sawa au sio sawa. Kama sawa ni kwa asilimia ngapi. Naumia sana ninavyoona vijana wadogo kwangu wana maendeleo makubwa kunizidi.
 
Wakuu naomba kuuliza hivi humu jamiiforum kuna kijana yeyote ambaye yupo chini ya miaka 30 ambae anamiliki gari na nyumba.Yani ambae ametafuta kwa jasho lake bila kupewa au kurithi..
WAGOSI WA KAYA Ft. AMARA - UPEPO SIO (NEW OFFICIAL VIDEO) via YouTube
 
Wakuu naomba kuuliza hivi humu jamiiforum kuna kijana yeyote ambaye yupo chini ya miaka 30 ambae anamiliki gari na nyumba.Yani ambae ametafuta kwa jasho lake bila kupewa au kurithi.

Nimeuliza hivi kwa sababu mimi nina miaka 25 na ndoto zangu ni kumiliki gari na nyumba kabla Sijaoa.Lakini kila siku zinavyo sogea naona ndoto inakua ngumu kutimia.

Nikipita barabarani au kwenye kumbi za starehe naona vijana wadogo wamepaki magari yao, basi roho yangu inaumia sana.

Hivi inawezekana kweli au ni ndoto za mchana hizi ninazo ota.
Mimi nipo 18 ninavyo vyote pamoja na meli
 
Tupo na tunatafuta kwa jasho...

Kuwa na mafanikio au mali nyingi haijaalishi ni za kupewa au za kurithi, as long as za halali na unazimiliki wewe haina tatizo...
Huwezi kuwa na mafanikio makubwa bila msaada wa watu wengine... iwe kutoka kwa wazazi, jamaa au marafiki...

Screen Shot 2017-06-07 at 11.49.36 AM.png




cc: mahondaw
 
Ndio, mimi hapa nina Miaka 23 na similiki Gari na nyumba!
 
[emoji122][emoji122] basi kama ndo hivo u don't quality I this question cz hukukidhi vigezo vyote

Nimependa hiki kienglish chako hadi na mie nimetamani ningekuwa najua kingereza kama wewe, hongera uko vizuri kwenye hii lugha ya Malikia Elizabeth
 
Wakuu naomba kuuliza hivi humu jamiiforum kuna kijana yeyote ambaye yupo chini ya miaka 30 ambae anamiliki gari na nyumba.Yani ambae ametafuta kwa jasho lake bila kupewa au kurithi.

Nimeuliza hivi kwa sababu mimi nina miaka 25 na ndoto zangu ni kumiliki gari na nyumba kabla Sijaoa.Lakini kila siku zinavyo sogea naona ndoto inakua ngumu kutimia.

Nikipita barabarani au kwenye kumbi za starehe naona vijana wadogo wamepaki magari yao, basi roho yangu inaumia sana.

Hivi inawezekana kweli au ni ndoto za mchana hizi ninazo ota.
Tupo kibao.
 
Back
Top Bottom