Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Ni wachache sana mdogoangu ila kwa tawala zilizopita, ila atakuwa amefanya figisu somewhere aidha kukwepa kodi, kutapeli, kuiba au njia yoyote isio halali.
Unawaza kuiba baada ya kuajiriwa siyo ?
 
mimi isingekuwa my extended family na shida nyingi hizi, basi hadi kufikia umri huo ningekuwa na gari na nyumba and more Nashukuru Mungu niliwahi kusoma na kupata kazi nzuri katika umri mdogo, nilimaliza my master degree at the age of 24. Nikapata kazi ya kunilipa mshahara mzuri sana at the age of 25, now nina miaka 27. Namshukuru Mungu napata mshahara si haba, nikijibana naweza nunua gari, nikajenga nyumba na nyongeza kabla ya kufikia 30. Lakini doo, mshahara ukitoka tuu unapukutika hatare, Umtumie bi mdashi home, shangazi sijui mjomba nini na nini basi najukuta naendelea kuwa maskini tuu bila kupenda. saivi ndo nipo nawajengea wazazi nyumba, nimalizanane nao ndo nianze kujijenga mimi.
Kuwa Mu africa ni ujinga sana..

Unawajengea wazazi kabla ya kujijengea wewe..
Ukitumbuliwa ghafla utarudi kuishi kwa wazazi.?
 
Toa maelezo ulivipata vp
siri ni moja tu,ubahili ukiwa bahili haya yote yanakuja shindia kachapat mchuzi,usihonge wanawake weka beer pembeni,jiunge na vifurushi vya dimu kibahili,achana na simu za gharama kama iphone nk mradi kuonekana afu kuwa smart and simple
 
siri ni moja tu,ubahili ukiwa bahili haya yote yanakuja shindia kachapat mchuzi,usihonge wanawake weka beer pembeni,jiunge na vifurushi vya dimu kibahili,achana na simu za gharama kama iphone nk mradi kuonekana afu kuwa smart and simple
Kumbe naongea na mjinga hayo ni mashariti ya mganga wa kienyeji
 
Kumbe naongea na mjinga hayo ni mashariti ya mganga wa kienyeji
akili huna,kubana matumizi ni mashart ya mganga we tako kweli "siri ya utajiri ni ubahili" achana na utajiri wa kifisadi,utajiri wa kuupigania lazma ujibane,usiwe msengeeeeee wewe muda mwengine matako wewe
 
Kumbe naongea na mjinga hayo ni mashariti ya mganga wa kienyeji
we unaingiza kipato mfano m kwa mwezi afu starehe laki 8 mafanikio utayaona wapi? acha umbuzi wewe mama unaamini uganga sana makalio wewe
 
Mimi nimemiliki gari nyumba moja na boma la nyumba nikiwa 28yrs. Hiyo sio ishu kwa sisi mabahili tunapiga chini starehe za ujana
 
WaPo wengi sana..kuna mmoja amenunua gari ya Million17 from Japan tena ni Senior lecture wa Chuo kimoja hapa Tz na sasa anafanya Phd yake safi!
Mkuu senior lecturer anafanyaje PhD tena? Au ulimaanisha assistant lecturer?
Kwa nafasi yake kama ni assistant lecturer inawezekana kabisa kuwa na vitu hivyo!
 
Specify nyumba ya gharama ipi labda na gari ya gharama ipi
Maana bila hivyo kuna watu wana nyumba za room mbili na gar la million 3 nao watasema wametusua
Kwa mtazamo wangu, kijana aliyepitia elimu ni ngumu sana below 30 kumiliki nyumba & gari la kifahari
Kweli mkuu!
 
Sio lazima utoboe kwa hela za wazazi. Nina mifano kama 3 real. Kuna rafiki yangu under 30 kaacha kazi mwaka jana pale World vision anamiliki mark x kali na nyumba. Hajarithi chochote. Mwingine alivyomaliza chuo kapiga ymachinga kariakoo kisha kashirikiana na wenzie kupanga chumba kariakoo, sasa hivi anapiga biashara china, india, tz. Kama unajua kodi ya chymba pale kariakoo utaelewa, Hajarithi kokote.
Mwingine ni ndugu yangu kabisaa, mwanajeshi sasa hivi anamalizia mjengo kigamboni, napiga nae story anasema mwezi wa saba ananunua gari. Naye hajarithi chochote na ni under 26.
Kiukweli sometime miaka tunayotumia kwenye elimu zetu hizi za calculus, zinatucheleweshea maendeleo kutufanya watafuta kazi
Lakini mkuu wengine elimu ndio zinatuweka mjini.
Kimsingi kutoka kimaisha hakuna formula maalumu. Muhimu ni kujua kuzichanga karata ulizo nazo.
Kwetu watoto wengi wa maskini elimu imetusaidia sana kupata mitaji!
Lakini ujasiriamali ndio unatoa sana kimaisha!
 
Sio lazima utoboe kwa hela za wazazi. Nina mifano kama 3 real. Kuna rafiki yangu under 30 kaacha kazi mwaka jana pale World vision anamiliki mark x kali na nyumba. Hajarithi chochote. Mwingine alivyomaliza chuo kapiga ymachinga kariakoo kisha kashirikiana na wenzie kupanga chumba kariakoo, sasa hivi anapiga biashara china, india, tz. Kama unajua kodi ya chymba pale kariakoo utaelewa, Hajarithi kokote.
Mwingine ni ndugu yangu kabisaa, mwanajeshi sasa hivi anamalizia mjengo kigamboni, napiga nae story anasema mwezi wa saba ananunua gari. Naye hajarithi chochote na ni under 26.
Kiukweli sometime miaka tunayotumia kwenye elimu zetu hizi za calculus, zinatucheleweshea maendeleo kutufanya watafuta kazi
Lakini mkuu wengine elimu ndio zinatuweka mjini.
Kimsingi kutoka kimaisha hakuna formula maalumu. Muhimu ni kujua kuzichanga karata ulizo nazo.
Kwetu watoto wengi wa maskini elimu imetusaidia sana kupata mitaji!
Lakini ujasiriamali ndio unatoa sana kimaisha!
 
mimi isingekuwa my extended family na shida nyingi hizi, basi hadi kufikia umri huo ningekuwa na gari na nyumba and more Nashukuru Mungu niliwahi kusoma na kupata kazi nzuri katika umri mdogo, nilimaliza my master degree at the age of 24. Nikapata kazi ya kunilipa mshahara mzuri sana at the age of 25, now nina miaka 27. Namshukuru Mungu napata mshahara si haba, nikijibana naweza nunua gari, nikajenga nyumba na nyongeza kabla ya kufikia 30. Lakini doo, mshahara ukitoka tuu unapukutika hatare, Umtumie bi mdashi home, shangazi sijui mjomba nini na nini basi najukuta naendelea kuwa maskini tuu bila kupenda. saivi ndo nipo nawajengea wazazi nyumba, nimalizanane nao ndo nianze kujijenga mimi.
Hongera kwa kutimiza yakupasayo kuyafanya hasa kwa wazazi.
Muhimu ni kuwa na malengo tu na kufanya jitihada kuyatekeleza yale uliyojipangia! Wazazi ni baraka naamini hutapungukiwa ila zaidi utazidi kuzidishiwa tu!
 
Tupo na tunatafuta kwa jasho...

Kuwa na mafanikio au mali nyingi haijaalishi ni za kupewa au za kurithi, as long as za halali na unazimiliki wewe haina tatizo...
Huwezi kuwa na mafanikio makubwa bila msaada wa watu wengine... iwe kutoka kwa wazazi, jamaa au marafiki...

View attachment 520618



cc: mahondaw
Ppp
Tupo na tunatafuta kwa jasho...

Kuwa na mafanikio au mali nyingi haijaalishi ni za kupewa au za kurithi, as long as za halali na unazimiliki wewe haina tatizo...
Huwezi kuwa na mafanikio makubwa bila msaada wa watu wengine... iwe kutoka kwa wazazi, jamaa au marafiki...

View attachment 520618



cc: mahondaw

Heeeeeee teinaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
........................................


Ngoja Nikae kimya aseeeh mchawi si lazima arogeeeeeeeeeeeeeee

Nakupenda sana Smart911 my king
 
Hii hoja yako makundi mihimu hata wanaojinasibu wapo humu. Kwa mtazamo wangu makundi hayo ni kama
1. Wakurithi na kuendeleza
2. Wakubebwa
3. Wakuanzia chini kabisa.
4.wenye imani za Kishirikina.
5.Wenye vipaji
6.Wenye bahati.
7.Wezi, Mafisadi
Katika makundi yote hayo tajwa namba 3 ni ngumu sana ndo wengi tupo humu. Hope ndugu yangu mtoa post hupo humo pia. Usikate Tamaa but punguza uaminifu mkuu IPO siku Asante
 
Mkuu Canter au Trekta na dalala siyo Gari????????????????????????????????? Au ni nini Mkuu???????????????????
Trekta halifai kwenda mjini, kwenye misele, viwanja au kwenye kumbi za starehe mkuu. Huko ni watu ma magari yao. Hata mwenye caterpillar haingii kwenye orodha ya watu wenye magari. Mtoa mada ingekuwa inazungumzia mali ingekuwa sawa. Kuna vijana wadogo under 20yrs wanamiliki zaidi ya ng'ombe 1000 (siyo wa urithi) lakini hawana gari wala nyumba.
 
Its possible,
nilinunua isuzu journey nikiwa mwaka wa3 chuon (tena kwa jasho langu), I think nilikuwa na 22/23 yrs!
 
Back
Top Bottom