Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Naona mjadala ni mzito. Kabla ya kuendelea tukubaliane gari na nyumba zinazoongelewa hapa ni za thamani gani. Kwangu mimi natangaza wazi gari ya chini ya 15m inakosa uhalali wa kuingizwa hapa... nyumba yenye thamani chini ya 40m pia haipaswi kujadiliwa maana ipo chini ya kiwango. Tukubaliane kuwa gari la kuanzia 15m na nyumba iwe kuanzia 40m ndo zimemaanishwa. Kwahiyo kwa mliosema mna nyumba na gari zenye thamani ya chini ya hapo mnaweza ku-edit comments zenu kama sio kuzifuta kabisa.
Hahahahah
 
Kila mtu anafanikiwa kwa muda wake given that unjibidiisha katika kufanya kazi.

Mi nna mfano dingi yangu mdogo alianza maisha mapema after form 6. Mnamo mwaka 1990 kaoa akiwa na 26 years akiwa hana vyote hivyo kapanga akawa anapiga welding ikawa inampa pesa ya bia na kuishi.

Hakuweza kujenga so far, baadae akaona miyeyusho akaamua kupiga ualimu wa csee 2005 kibishi bado hakufanikiwa, 2010 akaji enroll kusoma degree ya sheria na baadae school of law.

Sahivi yuko 50+ ndio maisha yamekubali amepata vyote hivyo ambavyo mtoa mada unawaza. Hii kwangu ni funzo kuwa maisha ni foleni kila mtu anapata kwa wakati wake as long as unajishughulisha na mambo ya kujijenga.

Utafanikisha tu hata ukiwa na umri mkubwa cha msingi ni kuomba uzima tu. Everybody has equal chance in being successful!!!
Usilazimishe mambo kabla ya wakati kwa influence ya watu wengine..
 
Imawezekana kbisa mkuu ni kupunguza matumiz yasio rasmi na kuangalia kila fursa iliyo mbele yako
 
akili huna,kubana matumizi ni mashart ya mganga we tako kweli "siri ya utajiri ni ubahili" achana na utajiri wa kifisadi,utajiri wa kuupigania lazma ujibane,usiwe msengeeeeee wewe muda mwengine matako wewe
Kwahiyo niache kula fresh kisa najibana niwe tajiri?,si usenge huo
 
Hii hoja yako makundi mihimu hata wanaojinasibu wapo humu. Kwa mtazamo wangu makundi hayo ni kama
1. Wakurithi na kuendeleza
2. Wakubebwa
3. Wakuanzia chini kabisa.
4.wenye imani za Kishirikina.
5.Wenye vipaji
6.Wenye bahati.
7.Wezi, Mafisadi
Katika makundi yote hayo tajwa namba 3 ni ngumu sana ndo wengi tupo humu. Hope ndugu yangu mtoa post hupo humo pia. Usikate Tamaa but punguza uaminifu mkuu IPO siku Asante
Hapo kweli mkuu umejitahidi kufafanua vizuri,hio no 3 asilimia kubwa ndio raia tunapambana nayo
 
Unachanzo cha mapato kinachoeleweka....kama unacho endelea kuwa na ndoto kama huna....anza kupigania permanent income...after that plan baada ya mda unataka kuwa na gari na nyumba
 
Mkuu sema Ukweli Kwenye historia yako hakuna backup au Labda hukuelewa mada ya huyu Dogo ...
Inawezekana kabisa.... Kuna majamaa zangu kadhaa walikuwa vitengo vizuri kipindi cha JK posho zile walizokuwa wanalipwa wakisafiri waliweza kufanya yote hayo....

Pia kuna wengine walikuwa wanafanya biashara ya kilimo na mifugo na walifanikiwa vyote hivyo....

Ila all in all KUWA NA BAHATI NA KUMTANGULIZA MUNGU KWA KILA JAMBO... Ndiyo mafanikio ya yote
 
Hayo mawazo wanakuaga nayo watu wasomi na wanalipwa mshahara mkubwa,anaweza miliki mkoko Wa ml40 ila ata pakulipark hana..watu kama hawa huzinduka wakifika under40 so kama wewe ni mmoja wao pole maana unawaza mafao ya ustaafu
 
Inawezekana mbona mi 29 nina gari nimenunua 2.5M ila linatembea sana gereji kuliko barabarani na nina chumba na sebule mambo yanawezekana bhn ni uamuz tu
 
Acha fix danganya wajinga wengine degree huna bodi walikupa mkopo wa diploma au?? Huu uzi 90% ya comment ni fix tupu
We jamaa bwana,
Kwan wap nimesema nina degree?soma maelezo yangu vizuri,sina degree sina nyumba wala gari nina miaka 31 nataka nikasome degree(MD) ila bodi ya mkopo mkopo miyayusho umesahau yaliyotokea mwaka Jana?diploma hawapewi mkopo me nimesema nilipewa mkopo ?!!!!!
 
Nshawaambia pigeni tu ndo solution...mi najuta kutokupiga ingawa nina 33 nna nyumba...gari...mtoto na mke. Lakini naona nipo nyuma sana kimaisha....now nataka nianze business upya coz za nyuma nlikosea investment ila naanza upya niache kazi za kuajiriwa at 38...na nianze ujenzi wa nyumba nyingine.
 
Ila jamaa wa kolomije kwenye hiyo picha wana sura nzuri!! Nafikiria nikaowe huko.
 
Back
Top Bottom