GREGO
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,282
- 2,940
Wewe utakua mtumishi wa umma uliyekua unategemea marupurupu ya safari na vikaoKama ulishindwa enzi ya mkwere kwa age hiyo kwa Magu sahau plus ten years Magu akiondoka ndio utamiliki
Wewe utakua mtumishi wa umma uliyekua unategemea marupurupu ya safari na vikaoKama ulishindwa enzi ya mkwere kwa age hiyo kwa Magu sahau plus ten years Magu akiondoka ndio utamiliki
Muulize kwanza anakwambia degree?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ngariba nioe 😉
Muulize kwanza ana degree?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ngariba nioe 😉
Kuna watu wachokoziiiKumbe kazi ya ungariba inalipa.
Ahaaaa kuna jamaaa wang huwa ana penda kusema jamii forum kila mtu ni msomi ana degree na gar pia coment ako imenifanya ni mkimbuke mshikajiJamíiforums kila mtu ni tajiri, kila mtu ana nyumba na gari!!!!
Wengine hata pikipiki hawana lakini nao wamo!!!!!
Nafikiri hii coment yako imemtosha kbs huenda akapata kichaaMkuu Usipoiba kwa kipindi kilichobaki Haki ya Mungu sikudanganyi ... Labda ukatoe kafara
Acha fix danganya wajinga wengine degree huna bodi walikupa mkopo wa diploma au?? Huu uzi 90% ya comment ni fix tupuDuuh kwa hiyo kama una 30+huna nyumba wala gari na una diploma let's say ya clinical medicine afu unataka ukasome degree MD for 5 years n wa 6 intern you have to think properly,mmmh kaz kwel kwel nna miaka 31 sina hela sina nyumba sina gari sina degree na heslb wanabana mkopo,poor me