Je, kuna dawa asili za uzazi wa mpango?

Mbaga Lazaro

Senior Member
Aug 9, 2020
132
107
Habari waungwana. Hebu Leo tushirikishane kidogo kuhusu dawa asili za uzazi wa mpango. Kiufupi jamii ya Sasa imekuwa ikijikita katika maswala haya ya uzazi wa mpango kwa kutumia njia za kisasa licha ya kuwa tafiti zinaonesha kwamba njia hizi zina faida ila madhara yapo pia.

Kwa kuzingatia uzoefu katika jamii je hazijawahi kugunduliwa dawa za asili za uzazi wa mpango na kama zipo hebu tu share uzoefu mana du isijekuwa majanga siku za mbeleni huko mana kama tafiti zinaonesha kwamba madhara yapo isijekuwa Kuna long-term effects ambazo zawazaonekana na zaweza kuwa mbaya zaidi as time goes.

Uwepo wa dawa asilia ungewezasaidia nusuru hali.
 
Habari waungwana.Hebu Leo tushirikishane kidogo kuhusu dawa asili za uzazi wa mpango.Kiufupi jamii ya Sasa imekuwa ikijikita katika maswala haya,ya uzazi wa mpango kwa,kutumia njia za kisasa licha ya kuwa tafiti zinaonesha kwamba njia hizi zina faida ila madhara yapo pia.

Kwa kuzingatia uzoefu katika jamii je hazijawahi kugunduliwa dawa za asili za uzazi wa mpango na kama zipo hebu tu share uzoefu mana du isijekuwa majanga siku za mbeleni huko mana kama tafiti zinaonesha kwamba madhara yapo isijekuwa Kuna long-term effects ambazo zawazaonekana na zaweza kuwa mbaya zaidi az tym gz.Uwepo wa dawa asilia ungewezasaidia nusuru hali.
Lengo lako ni nini Mkuu?
Kwani uzazi wa mpango si unajipangia ww mwenyewe i.e. Uzae lini na uzae mara ngapi?
1. Wazee wetu zamani walikuwa wanatumia weledi na heshima katika tendo la kujamiiana. Lakini siku hizi tendo hilo limechukua sura mpya ya Starehe na biashara zaidi ndo maana juhidi za kila namna zinafanyika ili kuzuia mimba isiwepo. au ww hilo hulioni? Akina Ke wengi wanatumia tendo hilo kama njia mbadala ya kujikimu kimaisha. :oops: :oops: Akina Me takriban wote wanaichuchumalia sana hiyo starehe mchana na usiku lakini hawako tayari kubeba au kuwajibika kwa matokeo yake.
2. Hata hivyo zipo njia salama za kutumia dawa za asili (Biologicals/mitishamba) e.g. matumizi ya nyonyo(Mbarika) castor plant seed/bean(Ricinus communis).
Subiri na wengine watakuongezea. Lakini uzingatie pia kwamba yapo magonjwa ambayo ni hatari kwa afya yako.
 
Back
Top Bottom