Ewe binti kama una mpango wa kuzaa usije jaribu kutumia P2, wala njia za uzazi wa mpango

jiwe angavu

JF-Expert Member
Aug 28, 2015
19,108
35,935
Wazazi,walezi tuwakumbushe binti zetu jambo hili.

Kwa sasa ndoa nyingi sana zinapitia changamoto ya uzazi,hii ni kutokana mabinti wengi walitumia njia za uzazi wa mpango ama p2 kwa muda mrefu kipindi cha ujana.

Hii imepelekea mvurugikano wa homoni za kuchochea uzazi,kupatwa na magonjwa kama fibroids,kansa za kizazi,mvurugiko wa homoni n.k

Ewe kijana kama unatafuta mke wa kuoa na kukuletea familia epuka wanawake waliowahi kutumia madawa ya uzazi wa mpango hakika utateseka kupata uzao.

Enyi mabinti chondechode msitumie hayo madawa kama unalengo la kuwa na familia badae.

Wanawake wanene kupitiliza nao wana changamoto kubwa za uzazi.

Msije sema sikuwaambia.

Muwe na Jpl njema.
 
Waache watumie sababu ukifikiria kwa makini hamna sababu ya kuleta watoto duniani waje kuzunguka duara lilelile la kuwanufaisha kina Yehova, Allah, Jah na wajanja wengine wengi

Yani uzae mtoto aende shule, atafute hela ajenge nae alete watoto kisha afe.
Mzunguko uleule wa kuishi kunufaisha miungu iliyo mbali na iliyokaribu kwanini?
Bora tulio hai tuendelee kupungua ili wanaonufaika na sisi(miungu) ipate changamoto ya kuishi kuhangaika kama inavyotuhangaisha sisi.

Wametugeuza minara yao kwa manufaa yao huku sisi tukiwa hatupati faida yoyote zaidi ya mateso
 
Kwa ufupi ulichosema hakina ukweli wowote,
Watu kibao wanatumia njia za uzaz wa mpango na wanapata watoto,

Halafu hilo tatizo la kutopata mimba sio kubwa kama unavyolizungumza hapa,
 
Kwa ufupi ulichosema hakina ukweli wowote,
Watu kibao wanatumia njia za uzaz wa mpango na wanapata watoto,

Halafu hilo tatizo la kutopata mimba sio kubwa kama unavyolizungumza hapa,
Kama hujui jambo tulia tu. Kuna tatizo kubwa la uzazi hasa Kwa wanawake wenye umri kuanzia 35+ fibroids imekuwa tatizo kubwa sana.

Sema ubishi umewajaa ukiwaambia uzazi wa mpango unasababisha fibroids wanakuwa wabishi.

Kuna mda utafika single Maza watakuwa na soko.
 
Jambo la kisayansi linapingwa kwa ufatiti wa kisayansi sio sweeping statements zisizo za kitaalamu.Ushauri wako ungebeba uzito kwa kuweka figures kuonyesha wangapi walitumia dawa za kuzuia mimba wakiwa vijana na kupata matatizo ya uzazi baadaye.
Bila hivyo ni assumptions tu.
 
Hivi ntajuaje kama huyu mdada aliwahi tumia P2? Vipimo vya hospital vinaonesha?

Ntajuaje aliwahi toa mimba? Au mpaka aniambie mwenyw

Ntajuaje aliwahi zaaa?
 
Nilimkataza wife njia za uzaz,,
Nikawa namwaga nje,,
Mara moja moja nikawa naweka kambani 🤣 ,
Kupima mjamzito, 😂,

Hii njia ya kumwaga nje hatar sana,,
Tone moja la bao, linatosha kutia mimba. Kumwaga nje sio salama. Pia kuna wanawake wako very fertile, mayai yao yako karibu mno, tone moja, imooo.
 
Back
Top Bottom