Subiri dogo wataalam wa hizi mambo wanakujaKwamba mabeyo kaenda kifanyaje sasa
Rwanda wanajenga mtambo wa Nuklia
Samia umemsikia Jana kwamba Askari wetu wako Msumbiji au hukusikia? Shida ya Kagame matangazo kibao na Tanzania haitaki kelele kwenye UgaidiNajaribu kuunga dots kuwa huenda baada ya Kagame kupeleka wajeda wake kule Msumbiji ndio chanzo cha ziara ya siku kadhaa ya bwana Mabeyo pale Kigali
Mods tafadhali msiufute huu uzi maana hauna maudhui yoyote mabaya
NA IRAN ND INAMILIKI DENU LETU LA TAIFAKubadlshana taarfa za kiintelejinsia
Ilibainika kwamba wafadhili wa magaidi ya msumbuji watatu wapo Tanzania yaani wale financiers
Usije kushangaa ubalozi wa Iran unahusika na hii saga
NA IRAN ND INAMILIKI DENU LETU LA TAIFA
NILIULIZA NIKAAMBIWA NI SIRI YA NCHI NA INALINDWA NA TEETHKwa kuagiza mafuta?
NILIULIZA NIKAAMBIWA NI SIRI YA NCHI NA INALINDWA NA TEETH
Mkuu nipo poa kabisa Mr nimekuelewa namshukuru Mungu yeye ndo muweza ya woteNilopoandika mafuta ungefikiria kwa kina ungepata jibu
Walimokopesha mwendazake vifaa vya kujengea kaburi lake la ChatoNA IRAN ND INAMILIKI DENU LETU LA TAIFA
Da wemzeeWalimokopesha mwendazake vifaa vya kujengea kaburi lake la Chato
Sijawahi kukutana na WA IRAN tz Mm Huwa nawachanganya jamii za nnje hasa waarabuWalimokopesha mwendazake vifaa vya kujengea kaburi lake la Chato
Ilibainika wapi???Kubadlshana taarfa za kiintelejinsia
Ilibainika kwamba wafadhili wa magaidi ya msumbuji watatu wapo Tanzania yaani wale financiers
Usije kushangaa ubalozi wa Iran unahusika na hii saga
Et eeuzi wa wenyewe huu! nitajitahidi kuunganisha dots