Kuhusu Kenya kupeleka jeshi Congo DR, nini lengo hasa la Kenya? Rwanda inaliangaliaje hili?

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,230
6,469
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amefanya ziara hivi majuzi nchini Congo DR na kuingia mikataba mbalimbali na Rais Felix Tshekedi.
Mmoja ya mkataba muhimu ni ule wa ulinzi huku Kenya ikipewa kibali cha kupeleka jeshi Congo DR kuimarisha ulinzi mashariki mwa nchi hiyo.

Ikumbunwe mwaka 2013 Tanzania na Rwanda ziliingia ktk mgogoro wa maneno na pengine Vita vya kidiplomasia ambapo baadae ilifahamika chanzo ni hasira ya Rais Kagame kwa Tanzania kupeleka jeshi lake nchini Congo DR.

Pia Kenya imeahidi kufungua Ofisi ndogo za ubalozi huko Goma na Lubumbashi.

Je, Kenya ina agenda gani Congo? Rwanda itanyamazia hili au itaanzisha mzozo na Kenya?
 
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amefanya ziara hivi majuzi nchini Congo DR na kuingia mikataba mbalimbali na Rais Felix Tshekedi.
Mmoja ya mkataba muhimu ni ule wa ulinzi huku Kenya ikipewa kibali Cha kupeleka jeshi Congo DR kuimarisha ulinzi mashariki mwa nchi hiyo.

Ikumbunwe mwaka 2013 Tanzania na Rwanda ziliingia ktk mgogoro wa maneno na pengine Vita vya kidiplomasia ambapo baadae ilifahamika chanzo ni hasira ya Rais Kagame kwa Tanzania kupeleka jeshi lake nchini Congo DR.

Pia Kenya imeahidi kufungua Ofisi ndogo za ubalozi huko Goma na Lubumbashi.

Je Kenya ina agenda gani Congo? Rwanda itanyamazia hili au itaanzisha mzozo na Kenya?
Kagame hawezi kubali, wale waasi wanamnufaisha pakubwa.
 
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amefanya ziara hivi majuzi nchini Congo DR na kuingia mikataba mbalimbali na Rais Felix Tshekedi.
Mmoja ya mkataba muhimu ni ule wa ulinzi huku Kenya ikipewa kibali Cha kupeleka jeshi Congo DR kuimarisha ulinzi mashariki mwa nchi hiyo.

Ikumbunwe mwaka 2013 Tanzania na Rwanda ziliingia ktk mgogoro wa maneno na pengine Vita vya kidiplomasia ambapo baadae ilifahamika chanzo ni hasira ya Rais Kagame kwa Tanzania kupeleka jeshi lake nchini Congo DR.

Pia Kenya imeahidi kufungua Ofisi ndogo za ubalozi huko Goma na Lubumbashi.

Je Kenya ina agenda gani Congo? Rwanda itanyamazia hili au itaanzisha mzozo na Kenya?
Kwani congo ni jimbo la Rwanda?
 
Na hapa ndipo nchi yangu Tanzania inafeli kwenye siasa za uchumi wa kikanda. Nchi kama Congo, Malawi, mozambique na Zambia zilitakiwa kuwa na control yetu indirect. Upatikanaji wa marais kwenye nchi hizi ulitakiwa usimamiwe na TISS.

Nchi hizi zina utajiri wa rasilimali mkubwa sana, ilitakiwa tuitumie rasilimali watu yao, ili bidhaa za kilimo zikauzwe kwao kwa wingi. Pia tulitakiwa kuunda kampuni kubwa mbili au tatu, ambazo zitaonekana ni private, lakini zitakua na control ya moja kwa moja na serikali yetu. Kampuni hizi zingejikita kwenye madini, Nishati na bidhaa za vyakula na vitu vigumu.

Bandari yetu ndio ingekua inatumika kwa lazima na Nchi kama kongo, zambia na malawi. Ni lazima tu 'corrupt' mfumo mzima wa serikali za nchi hizo.

Nasema haya kwakua nna uzoefu na Nchi kama malawi na Zambia. Ni nchi dhaifu hasa kwenye utawala. Haiwezekani Kagame na nchi yake ya Rwanda anaweza ku control Congo. Wakati Tz Nchi ambayo ni kubwa mara 35 ya Rwanda tunacheka cheka tu. Ni lazima kubadili mitazamo, hasa kwenye uchumi huu wa kibepari
 
Na hapa ndipo nchi yangu Tanzania inafeli kwenye siasa za uchumi wa kikanda. Nchi kama Congo, Malawi, mozambique na Zambia zilitakiwa kuwa na control yetu indirect. Upatikanaji wa marais kwenye nchi hizi ulitakiwa usimamiwe na TISS.

Nchi hizi zina utajiri wa rasilimali mkubwa sana, ilitakiwa tuitumie rasilimali watu yao, ili bidhaa za kilimo zikauzwe kwao kwa wingi. Pia tulitakiwa kuunda kampuni kubwa mbili au tatu, ambazo zitaonekana ni private, lakini zitakua na control ya moja kwa moja na serikali yetu. Kampuni hizi zingejikita kwenye madini, Nishati na bidhaa za vyakula na vitu vigumu.

Bandari yetu ndio ingekua inatumika kwa lazima na Nchi kama kongo, zambia na malawi. Ni lazima tu 'corrupt' mfumo mzima wa serikali za nchi hizo.

Nasema haya kwakua nna uzoefu na Nchi kama malawi na Zambia. Ni nchi dhaifu hasa kwenye utawala. Haiwezekani Kagame na nchi yake ya Rwanda anaweza ku control Congo. Wakati Tz Nchi ambayo ni kubwa mara 35 ya Rwanda tunacheka cheka tu. Ni lazima kubadili mitazamo, hasa kwenye uchumi huu wa kibepari
Tuko na ufala sana.
 
Na hapa ndipo nchi yangu Tanzania inafeli kwenye siasa za uchumi wa kikanda. Nchi kama Congo, Malawi, mozambique na Zambia zilitakiwa kuwa na control yetu indirect. Upatikanaji wa marais kwenye nchi hizi ulitakiwa usimamiwe na TISS.

Nchi hizi zina utajiri wa rasilimali mkubwa sana, ilitakiwa tuitumie rasilimali watu yao, ili bidhaa za kilimo zikauzwe kwao kwa wingi. Pia tulitakiwa kuunda kampuni kubwa mbili au tatu, ambazo zitaonekana ni private, lakini zitakua na control ya moja kwa moja na serikali yetu. Kampuni hizi zingejikita kwenye madini, Nishati na bidhaa za vyakula na vitu vigumu.

Bandari yetu ndio ingekua inatumika kwa lazima na Nchi kama kongo, zambia na malawi. Ni lazima tu 'corrupt' mfumo mzima wa serikali za nchi hizo.

Nasema haya kwakua nna uzoefu na Nchi kama malawi na Zambia. Ni nchi dhaifu hasa kwenye utawala. Haiwezekani Kagame na nchi yake ya Rwanda anaweza ku control Congo. Wakati Tz Nchi ambayo ni kubwa mara 35 ya Rwanda tunacheka cheka tu. Ni lazima kubadili mitazamo, hasa kwenye uchumi huu wa kibepari
Rwanda! Small country but with big dreams and big thinking capacity. Hii nchi agenda yao mtakuja kuijua kama 10 years coming. Kwa sasa Rais wa centrol africa kawapa wawekezaji kutoka Rwanda kuinvest huko kwenye sector tofauti bila kulipa kodi kwa mda wa 10 years.
 
Na hapa ndipo nchi yangu Tanzania inafeli kwenye siasa za uchumi wa kikanda. Nchi kama Congo, Malawi, mozambique na Zambia zilitakiwa kuwa na control yetu indirect. Upatikanaji wa marais kwenye nchi hizi ulitakiwa usimamiwe na TISS.

Nchi hizi zina utajiri wa rasilimali mkubwa sana, ilitakiwa tuitumie rasilimali watu yao, ili bidhaa za kilimo zikauzwe kwao kwa wingi. Pia tulitakiwa kuunda kampuni kubwa mbili au tatu, ambazo zitaonekana ni private, lakini zitakua na control ya moja kwa moja na serikali yetu. Kampuni hizi zingejikita kwenye madini, Nishati na bidhaa za vyakula na vitu vigumu.

Bandari yetu ndio ingekua inatumika kwa lazima na Nchi kama kongo, zambia na malawi. Ni lazima tu 'corrupt' mfumo mzima wa serikali za nchi hizo.

Nasema haya kwakua nna uzoefu na Nchi kama malawi na Zambia. Ni nchi dhaifu hasa kwenye utawala. Haiwezekani Kagame na nchi yake ya Rwanda anaweza ku control Congo. Wakati Tz Nchi ambayo ni kubwa mara 35 ya Rwanda tunacheka cheka tu. Ni lazima kubadili mitazamo, hasa kwenye uchumi huu wa kibepari
Mawazo hayo huwa yanafanikiwa kwa nchi ambazo zina mlengo wa kutengeneza matajiri hata kwa lazima lakini kwa Tanzania ni ngumu sababu sisi bado tunawaza upinzani . China wana kampuni nyingi sana za hivyo, Marekani pia wanazo na saa nyingine wanashirikiana na makampuni makubwa ya watu binafsi, mf, hoteli ya Sheldon Adelson iliyokuwa Macau ndio kilikuwa kitovu cha operations za CIA nchini China.
 
Rwanda! Small country but with big dreams and big thinking capacity. Hii nchi agenda yao mtakuja kuijua kama 10 years coming. Kwa sasa Rais wa centrol africa kawapa wawekezaji kutoka Rwanda kuinvest huko kwenye sector tofauti bila kulipa kodi kwa mda wa 10 years.
Mbona bado makapuku tu. Unawafanya kuwa smart sana tofauti na uhalisia.
 
Na hapa ndipo nchi yangu Tanzania inafeli kwenye siasa za uchumi wa kikanda. Nchi kama Congo, Malawi, mozambique na Zambia zilitakiwa kuwa na control yetu indirect. Upatikanaji wa marais kwenye nchi hizi ulitakiwa usimamiwe na TISS.

Nchi hizi zina utajiri wa rasilimali mkubwa sana, ilitakiwa tuitumie rasilimali watu yao, ili bidhaa za kilimo zikauzwe kwao kwa wingi. Pia tulitakiwa kuunda kampuni kubwa mbili au tatu, ambazo zitaonekana ni private, lakini zitakua na control ya moja kwa moja na serikali yetu. Kampuni hizi zingejikita kwenye madini, Nishati na bidhaa za vyakula na vitu vigumu.

Bandari yetu ndio ingekua inatumika kwa lazima na Nchi kama kongo, zambia na malawi. Ni lazima tu 'corrupt' mfumo mzima wa serikali za nchi hizo.

Nasema haya kwakua nna uzoefu na Nchi kama malawi na Zambia. Ni nchi dhaifu hasa kwenye utawala. Haiwezekani Kagame na nchi yake ya Rwanda anaweza ku control Congo. Wakati Tz Nchi ambayo ni kubwa mara 35 ya Rwanda tunacheka cheka tu. Ni lazima kubadili mitazamo, hasa kwenye uchumi huu wa kibepari
Miongoni mwa ndoto zangu nikija kuwa Mtu mkubwa wa nchi hii Kidplomasia. Eeh Mungu baba naomba nitimize ndoto hii ya kuirudisha Tanzania ya Nyerere Magufuli alianza ila ameishia njiani ingawa kwenye Diplomasia ya nje hakujikita nayo sana ila alikua anaweza kuisemea Tanzania kama Mwalimu Nyerere kwa kuwa mtetezi wa wanyinge dhidi ya Mabeberu. Natamani kuona Tanzania iliyokua inapika akina Museveni,Filipe Nyusi,Mzee kabila na wapigania uhuru wote wa Africa hapa ndipo palikua jikoni pa ukombozi wa Africa. Hii ndio misingi iliyoasisiwa ya Taifa hili eeh baba nipe umri mrefu niwahi Tanzania hii.
 
Miongoni mwa ndoto zangu nikija kuwa Mtu mkubwa wa nchi hii Kidplomasia. Eeh Mungu baba naomba nitimize ndoto hii ya kuirudisha Tanzania ya Nyerere Magufuli alianza ila ameishia njiani ingawa kwenye Diplomasia ya nje hakujikita nayo sana ila alikua anaweza kuisemea Tanzania kama Mwalimu Nyerere kwa kuwa mtetezi wa wanyinge dhidi ya Mabeberu. Natamani kuona Tanzania iliyokua inapika akina Museveni,Filipe Nyusi,Mzee kabila na wapigania uhuru wote wa Africa hapa ndipo palikua jikoni pa ukombozi wa Africa. Hii ndio misingi iliyoasisiwa ya Taifa hili eeh baba nipe umri mrefu niwahi Tanzania hii.
Kwa mifano yako, ushafeli kabla ya kuanza.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Nasema haya kwakua nna uzoefu na Nchi kama malawi na Zambia. Ni nchi dhaifu hasa kwenye utawala. Haiwezekani Kagame na nchi yake ya Rwanda anaweza ku control Congo. Wakati Tz Nchi ambayo ni kubwa mara 35 ya Rwanda tunacheka cheka tu. Ni lazima kubadili mitazamo, hasa kwenye uchumi huu wa kibepari
Mkuu ingia chimbo tena. UN Mapping Report ambayo ilipelekea vikosi vya Tanzania na Malawi kupelekwa DRC ili-reveal kwamba Rwanda disguised as M23 ni proxy wa mabeberu wanaotumiwa ku-destabilize DRC.
 
Rwanda! Small country but with big dreams and big thinking capacity. Hii nchi agenda yao mtakuja kuijua kama 10 years coming. Kwa sasa Rais wa centrol africa kawapa wawekezaji kutoka Rwanda kuinvest huko kwenye sector tofauti bila kulipa kodi kwa mda wa 10 years.
Hakika mkuu, sujui Tz tunakwama wapi
 
Back
Top Bottom