Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,247
- 26,148
Kwa kumbukumbu zangu hii Wizara haina Waziri aliyekaa zaidi ya mwaka mmoja na nusu Taingia awamu ya tano mwishoni.
Embu tusaidieni wanabodi. Kuna tatizo gani?
Mawaziri wa Katiba na Sheria kuanzia mwaka 2015
Embu tusaidieni wanabodi. Kuna tatizo gani?
Mawaziri wa Katiba na Sheria kuanzia mwaka 2015
2015 -2017 | Mhe.Dkt Harrison George Mwakyembe (Mb) | |
2017 - 2019 2019 - 2020 2020 - 2021 2021 - 2022 2022 - 2022 2022 - 2023 2023 - | Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi (Mb) Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga (Mb) Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi (Mb) Mhe. George Simbachawene (Mb) Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (Mb) Mhe. Dkt. Pindi Chana (Mb) |